Kabila gani, watu wake wanaongoza kuwa Facebook!?

Hata kama unafanya research lazima ujue ni methodology gani utatatumia kupata data. lakini ukija kwa kukurupuka matokeo yake ndo kama hayo. Please, refer research methodology classes
 
Hivi mtu unapata wapi muda wa kuanza kuchunguza makabila ya watu FB? for what
 
Nia na madhumuni ni yapi, kuna faida gani kwangu kutoa data hzo pia kuna faida gani kwako na kuna nini kitakachofanyika baada kujua?
 
daaah mi nilifikir ukabila umeisha bongo hadi leo kumbe unaendelea....kweli kazi ya baba wa taifa imedharauliwa....hii post haina maana yeyote ushamba mtumpu!
 
Kumejaa kabila la wapenda udaku,huku jf kuna kabila la great thinkers.face book mostly wa2 wanaishia kutongozana!
 
you dont sound like a tanzanian....maswali ayo ya ukabla sie hua hatuulizani...ila huwezi kua kwa facebook kama hujui kutumia internet na ikiwa huna access na internet na zaidi ikiwa hauna interest na facebooking meeen....watu hawaingii kwa facebook kwa sababu ni wa kabila fulani....na zaidi kabila sio kigezo cha kua ndani ya facebook na ndio maana wakati unafungua io account ya facebook, hakuna sehemu unajaza kabila lako meeen!! ila nafikiri swali lako litaendana na statistics za wsomi tanzania....maana waliosoma (wasomi) ndio zaidi wana access na internet...ivo itaendana na makabila ambayo yanaongoza kwa kua na wasomi zaidi hapa nchi.....kama sio wahaya, nia wachagga au wanyakyusa....UKITAKA KUBSHA NA UBISHEEEE
 
:majani7:............. kutaja ukabila ni dhambi .................. sawa sawa na kula nyama ya muutu.................
 
Back
Top Bottom