Mbona huyo ana degree ya udsm, acha dharau za kitotoAiseeeeeee... kweli ndio maana sitokaa nihame kanisa Takatifu Katoliki... ili uwe walau padre tu unahitaji degree mbili... haya makanisa ya kikanjanja yanaokota watu mtaani kesho wamekuwa maaskofu... dah...
Kumjua Mungu hatusomei Bali tunafunuliwa, hao unaowasema Wana degree mbili ndio wanaoongoza kwa vitendo vya ulevi uzinzi na kulawiti watotoAiseeeeeee... kweli ndio maana sitokaa nihame kanisa Takatifu Katoliki... ili uwe walau padre tu unahitaji degree mbili... haya makanisa ya kikanjanja yanaokota watu mtaani kesho wamekuwa maaskofu... dah...
hoja yako haina mashiko huo ni mfumo wa na taratibu zoo waroma wamejiwekea , ila kwa mungu na maswala ya kiroho haimaanishi mwenye degree mbili ndio yupo vizor kiroho au kiongozi mzuri wa kirohoAiseeeeeee... kweli ndio maana sitokaa nihame kanisa Takatifu Katoliki... ili uwe walau padre tu unahitaji degree mbili... haya makanisa ya kikanjanja yanaokota watu mtaani kesho wamekuwa maaskofu... dah...
Hizi njaaa hizi
Babu wa babu yako alikuwa kanisa ganiAiseeeeeee... kweli ndio maana sitokaa nihame kanisa Takatifu Katoliki... ili uwe walau padre tu unahitaji degree mbili... haya makanisa ya kikanjanja yanaokota watu mtaani kesho wamekuwa maaskofu... dah...
Degree mbili za kulawiti watotoAiseeeeeee... kweli ndio maana sitokaa nihame kanisa Takatifu Katoliki... ili uwe walau padre tu unahitaji degree mbili... haya makanisa ya kikanjanja yanaokota watu mtaani kesho wamekuwa maaskofu... dah...
Huyu hajui kuhusu mambo ya ROHONIhoja yako haina mashiko huo ni mfumo wa na taratibu zoo waroma wamejiwekea , ila kwa mungu na maswala ya kiroho haimaanishi mwenye degree mbili ndio yupo vizor kiroho au kiongozi mzuri wa kiroho
Architect wa kusomea au kujiita tu? Wa kusoma hawezi kuwa mpuuzi wa kiwango hiki. Unajua vizuri historia ya Basil na ameingiaje huko? Au hisia tu kwa sababu amekuwa mwanamuziki?Aiseeeeeee... kweli ndio maana sitokaa nihame kanisa Takatifu Katoliki... ili uwe walau padre tu unahitaji degree mbili... haya makanisa ya kikanjanja yanaokota watu mtaani kesho wamekuwa maaskofu... dah...
Mbona huyo ana degree ya udsm, acha dharau za kitoto
Kwamba elimu stahiki ya teolojia si muhimu tena? Kwamba kiingereza si intelligence bali ni medium of expression tu?hoja yako haina mashiko huo ni mfumo wa na taratibu zoo waroma wamejiwekea , ila kwa mungu na maswala ya kiroho haimaanishi mwenye degree mbili ndio yupo vizor kiroho au kiongozi mzuri wa kiroho
Watoke wengi huko kwa shetani waje kwa Madhabahu ya MUNGU.Kutoka madhabahu ya bongo fleva hadi ya kwa Gwaji boy! What a transition!!