K Basil sasa ni askofu chini ya kanisa la Gwajima

K Basil sasa ni askofu chini ya kanisa la Gwajima

Degree mbili za kulawiti watoto

Wanafunzi wa YESU hakuna hata Moja aliyekuwa na Elimu ya DINI
Gwajima alijirekodi akiwa anafanya mapenzi. Mbona husemi kuhusu hili?.. halafu anafufua watu kwa uwongo... na bado mnamuamini???? Mnasema ni mambo ya Rohoni?????
SIsemi kuwa wakatoliki wako perfect, but atleast wana taasisi imara, mashule, mahospitali, vyuo e.t.c... na hili pia linawezeshwa na kuwa na wasomi imara ndani ya taasisi. Makanisa ya kikanjanja wanamiliki vijikanisa vyao tu.. hata nursery school ni changamoto
 
Kwamba elimu stahiki ya teolojia si muhimu tena? Kwamba kiingereza si intelligence bali ni medium of expression tu?
ELimu yoyote huongeza maarifa kwa binaadamu ila siyo kwamba asiyekuwa nayo siyo kiongozi mzuri kiroho
Na unaweza kuwa na elimu nzuri ya theolojia ila ukawa kiroho ni mshenzi tu na hufai hata kuwa kiongozi wa kiroho
 
Gwajima alijirekodi akiwa anafanya mapenzi. Mbona husemi kuhusu hili?.. halafu anafufua watu kwa uwongo... na bado mnamuamini???? Mnasema ni mambo ya Rohoni?????
SIsemi kuwa wakatoliki wako perfect, but atleast wana taasisi imara, mashule, mahospitali, vyuo e.t.c... na hili pia linawezeshwa na kuwa na wasomi imara ndani ya taasisi. Makanisa ya kikanjanja wanamiliki vijikanisa vyao tu.. hata nursery school ni changamoto
Kwa kuwa GWAJIMA ni kanjanja nikubali kuwa na walawiti?

Kwan lazima niwe na GWAJIBOY au malawiti?
Hamna kanisa engine?
 
Degree mbili za kulawiti watoto

Wanafunzi wa YESU hakuna hata Moja aliyekuwa na Elimu ya DINI
Punguzeni basi wewe mara ya mwisho umelawitiwa lini? Unataja tu ndio michezo yako kupigwa nyuma?
 
Aiseeeeeee... kweli ndio maana sitokaa nihame kanisa Takatifu Katoliki... ili uwe walau padre tu unahitaji degree mbili... haya makanisa ya kikanjanja yanaokota watu mtaani kesho wamekuwa maaskofu... dah...
Umesahau sifa nyingine muhimu, kua shoga ama kushabikia ushoga. Mwanaume ni eitha upige mtu miti ama upigwe wewe miti, sasa mwanaume huna mwanamke, kitakachofuata ni wewe kushikishwa ukuta tu.
 
Aiseeeeeee... kweli ndio maana sitokaa nihame kanisa Takatifu Katoliki... ili uwe walau padre tu unahitaji degree mbili... haya makanisa ya kikanjanja yanaokota watu mtaani kesho wamekuwa maaskofu... dah...
Acha ujinga, padri anamaliza seminary ndogo form 5&6 then anaenda seminary kuu, then anakuwa padri kama atakidhi vigezo. Wapi wanasoma degree ya kwanza na masters? Taja hivyo vyuo vinavyotoa masters kwa mapadre.
 
Acha ujinga, padri anamaliza seminary ndogo form 5&6 then anaenda seminary kuu, then anakuwa padri kama atakidhi vigezo. Wapi wanasoma degree ya kwanza na masters? Taja hivyo vyuo vinavyotoa masters kwa mapadre.
Seminari kuu wanasoma theology na philisophy...fuatilia mkuu.. na lazma uwe umefaulu vizuri form 4 na form 6.....
 
Aiseeeeeee... kweli ndio maana sitokaa nihame kanisa Takatifu Katoliki... ili uwe walau padre tu unahitaji degree mbili... haya makanisa ya kikanjanja yanaokota watu mtaani kesho wamekuwa maaskofu... dah...
Degree zinasaidia nini katika masuala ya kiimani.Ndio maana sasa hivi matapeli ni wengi kwenye nyumba za ibada sababu wasomi wengi ni wezi
 
Aiseeeeeee... kweli ndio maana sitokaa nihame kanisa Takatifu Katoliki... ili uwe walau padre tu unahitaji degree mbili... haya makanisa ya kikanjanja yanaokota watu mtaani kesho wamekuwa maaskofu... dah...
Mungu humuita yeyote kutumika shambani kwake ,onavyo Mungu juu ya watu wake ni tofauti na tunavyo ona sisi wanadamu.Ipo mifano mingi katika biblia ,mfano Daudi alikuwa mchunga kondoo,mtume petro alikuwa mvuvi wa samaki Mungu akamfanya mvuvi wa watu.

TUKIJA kwa hao mapadri wako wa KATOLIKI wenye madigrii unaowasema sio wote waishi katika misingi na viapo..Kuna yule wa kagera aliua albino,kuna wenye kuzaa na wanawake,wapo washirikina,wapo mafisadi,wapo wanao wazinzi,wabakaji,walawiti,walevi,wachawi ,wauwaji ,wanasiasa,mafisadi,wezi wa mali n.k

KIFUPI :MUNGU ANAWEZA KUMTUMIA MTU YEYOTE KUFANYA KAZI YAKE,na mara nyingi kama umefuatilia Mungu hutumua watu ambao hawakupewa kipaumbele au waliodharaulika au wasiotarajiwa au walio onekana hawafai WANASTAHILISHWA wale WALIODHARAULIKA bila kujali hali yake.Mifano ipo mingi kama WAKOMA (kishindo cha wakoma,Daudi against goliath,hata Yesu alikuja low profile na alizaliwa zizini mwa ngombe,hata sasa watumishi wa Mungu wapo ambao ni low profile lakini wana tumika na nguvu ya Mungu...kwa viwango vikubwa kuliko hao high profile mitume na manabii maarufu au wachungaji na maaskofu maarufu.

HALAFU KIVYOVYOTE VILE HAIFAI KUMDHARAU MWANADAMU MWENZAKO kwa sababu yeyote ile, elimu ya degree hizi za kukariri..hazikifanyi uwe bora kulliko wengine..

kuna watu hawajapata fursa ya kusoma elimmu za darasani ila magenious mfano kijana wa Zambia aliyegundua gari linalotumia mawimbi ya radio ameishia fomu two,na wengi waliofanya mambo makubwa na ugunduzi mwingi wa kisayasnsi hawakusoma hata wafanyabiashara wakubwa na mabilionea.
 
Back
Top Bottom