K Basil sasa ni askofu chini ya kanisa la Gwajima

K Basil sasa ni askofu chini ya kanisa la Gwajima

Kuna jamaa tumesoma naye Olevel alipata div 4,lakin miaka miwili baadae alinipigia simu akanambia yuko kusomea upadree.
itakuwa upadre wa kanisa la orthodox,mimi nimesoma consolata seminary hakuna mtu aliekuwa na chuni ya divission 1 ambae amewahi kuwa padre na kwanza kule unakuta darasa div 1 ziko 40 div 2 ziko 4 na three 1 full stop na bado wanachukua watatu bora tuu
 
kuna siku gwajima anaongea nikajiuliza hii sura mbona kama ya kbazir,aka rais wa wasanii 2005??nikajipuuza kwamba labda naona vibaya.
 
Ni askofu akihudumia mkoa wa Arusha

View attachment 3378119
aliokokaga zamani sana, ilikuwa ni baada ya Mungu kumkomboa toka mikononi mwa lishangazi lililokuwa limemwekea madawa ya kichawi likamfanya awd kama mateka wa kumfanya ngono tu, likawa linaishi naye Nairobi miaka ilee, wanasema lilikua lishangazi tajiri kweli ila la biashara za kishirikina. si unajua mashangazi wanavopenda vijana wembamba warefu. Mungu alimponya, akapata fahamu, akakimbia kurudi bongo akaokoka na kufunguliwa. ndio safari yake ilianzia hapo. hamu ya mziki wa kidunia na uchafu wote vilishapukutikaga miaka ilee. alitoa ushuhuda huu yeye mwenyewe.
 
Kwamba elimu stahiki ya teolojia si muhimu tena? Kwamba kiingereza si intelligence bali ni medium of expression tu?
ukitaja elimu ya theolojia, uwe na balance, mimi binafsi nina elimu kubwa tu ya theolojia, ila ni theolojia ya mlengo wangu. ukisoma chuo cha theolojia ya waroma, ni tofauti, chuo cha wasabato ni tofauti, chuo cha walutheran ni tofauti, na chuo cha walokole ni tofauti. kuna mambo ya historia tu ndio mtafanana, ila doctrine ambacho ndio cha muhimu, kila mtu ana chake. kwa hiyo wewe msomi wa theolojia ya katholiki ukija kwangu nitakuona sio msomi ni mtu uliyechanganyikiwa tu kwa sababu una doctrine za ukristo tofauti na zangu, hivo hivo na wasabato n.k na nitaona theolojia yako hainisaidii kitu, na hata uwe na phd hukokwako hauwezi kustahili kuwa mchungaji wangu au askofu. kwa sababu doctrine zako ni tofauti na zangu.
 
Aiseeeeeee... kweli ndio maana sitokaa nihame kanisa Takatifu Katoliki... ili uwe walau padre tu unahitaji degree mbili... haya makanisa ya kikanjanja yanaokota watu mtaani kesho wamekuwa maaskofu... dah...
kwa bahati mbaya sana,kanisa katoliki sio takatifu, hata wewe mwenyewe aidha unajua, au umekosa ufahamu.

kanisa la kwanza lile la mitume lililoanzishwa kuanzia siku ile ya pentekoste,lina sifa tofauti kabisa na hili katoliki kwa kila kitu. yaani wale kina Petro na wengine wakifufuka sasaivi wakaenda kanisa lolote la catholic ukawaambia hili ni kanisa waliloanzisha wao, watakupinga na kukataa kabisa, kwa sababu shetani alishaingia akalikamua taratibu zote za Kimungu na limebaki dini isiyo na msaada wowote. kama hutakuwa mvivu, soma kitabu cha Matendo chote, uwe na kalamu na daftari ukiweka notes, utagundua haya nisemayo.
 
Kwani hakunywa sumu kipindi anaimba bongo fleva?
 
Aiseeeeeee... kweli ndio maana sitokaa nihame kanisa Takatifu Katoliki... ili uwe walau padre tu unahitaji degree mbili... haya makanisa ya kikanjanja yanaokota watu mtaani kesho wamekuwa maaskofu... dah...
Ewe kenge unaedharau imani za wengine, wanafunzi wa yesu walikuwa. A degree ngapi?
 
Ni jambo jema kashtukia muziki haulipi, sasa anaenda kukamua kondoo za bwana.....
Huko ndio kuna hela....
 
Back
Top Bottom