Mwandishi kwenye hiyo habari anasema ni kesi iliyomahakamani, sasa hapa tumwamini nani, mahakama, mwandishi, jeshi?
Tena utapata uenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ......!.Siku si nyingi atatolewa mtu kucha mimi yangu macho.Bora uandike habari za kumkashifu Lowassa utaheshimika ila hizo zingine.................
Kuna maswali bado wanapaswa waueleze umma wa watanzania kwa kuwa kwa muda mrefu hili suala la Kijiji cha Tondoroni limekuwa likiripotiwa na vyombo vya habari kwa muda mrefu. Jeshi letu linataka kutumia mabavu kuuzima ukweli kwamba wamekuwa wakiwanyanyasa raia wa Kijiji cha Tondoroni kwa muda mrefu. Ni vyema wakatutanabaisha:JWTZ yakanusha taarifa za kuibwa kwa kifaru, lasema taarifa hizo hazina ukweli, lasisitiza ulinzi katika maeneo ya jeshi uko imara.
Hata hivyo Jeshi hilo limelitaka Gazeti la Dira kuomba radhi Mara moja wakishindwa kufanya hivyo hatua Kali na za kinidhamu zitachukuliwa dhidi yao.
![]()
Chanzo: ITV
Hivi ni hatua kali za kinidhamu, au za kisheria!!!??? Ukiona hivi wanataka kuvunja sheria....JWTZ yakanusha taarifa za kuibwa kwa kifaru, lasema taarifa hizo hazina ukweli, lasisitiza ulinzi katika maeneo ya jeshi uko imara.
Hata hivyo Jeshi hilo limelitaka Gazeti la Dira kuomba radhi Mara moja wakishindwa kufanya hivyo hatua Kali na za kinidhamu zitachukuliwa dhidi yao.
![]()
Chanzo: ITV
June 20, 2016
JWTZ yatoa ufafanuzi kuhusu Kifaru kilichoripotiwa kuibiwa.
''Kifaru'' kilikuwa kipo ktk eneo la kufanyia mazoezi ya shabaha ndani ya eneo la kijeshi. ''Kifaru'' hicho kilikuwa ''scrapper'' ikitimika kama ''object'' kwa ajili ya kufanyia mazoezi ya ''range'' ili kupiga shabaha kwa kutumia zana mbalimbali za kijeshi.
Source: Millard Ayo