swalehe shiza
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 1,616
- 2,386
Jeshi la mwendokasi
Kitakuwa kilienda kufanya nini huko kwa mwanakijiji huyo mmoja? (if that was the case, anyway)Inawezekana hakikuibwa ila kilisahaulika kwa bahati mbaya nje ya nyumba ya mwanakijii mmoja, wakati wakufanya stock wakagundua kimoja kina misi.
Siku si nyingi atatolewa mtu kucha mimi yangu macho.Bora uandike habari za kumkashifu Lowassa utaheshimika ila hizo zingine.................Ukisoma ile story ina uhalisia Zaidi kuliko walichokanusha JW, yule mwandishi amemhoji Polisi na amemnukuu Hakimu na jina la Hakimu liko pale, inawezekanaje iwe story ya uongo???
***JWTZ yakanusha taarifa za kuibwa kwa kifaru, lasema taarifa hizo hazina ukweli, lasisitiza ulinzi katika maeneo ya jeshi uko imara.
Hata hivyo Jeshi hilo limelitaka Gazeti la Dira kuomba radhi Mara moja wakishindwa kufanya hivyo hatua Kali na za kinidhamu zitachukuliwa dhidi yao.
![]()
Chanzo: ITV
Ni hatua za kisheria wala siyo kinidhamu. Nadhani waandishi wa DIRA siyo wanajeshi. Serikali (waziri) ndiyo wangetoa ilani ya kuwataka waombe radhi. Jeshi walipaswa waishie angalau kukanusha tu. Watajikuta wanaingia kwenye malumbano makubwa pale gazeti la DIRA litakapokaza uzi. Ngoja tuone.JWTZ yakanusha taarifa za kuibwa kwa kifaru, lasema taarifa hizo hazina ukweli, lasisitiza ulinzi katika maeneo ya jeshi uko imara.
Hata hivyo Jeshi hilo limelitaka Gazeti la Dira kuomba radhi Mara moja wakishindwa kufanya hivyo hatua Kali na za kinidhamu zitachukuliwa dhidi yao.
![]()
Chanzo: ITV
aahaha kuna watu sijui watumia akili za wapi kufikiria....angeangalia habari za TBC na UHURU gazet na magazeti mengine na vyombo vingine vya habari...habari zao zinautofauti though inaweza kuwa habari mojaDuh! hii yako ni kali. yaani ITV ikachukulie habari zake TBC1? Radio One, Clouds FM. Kiss FM, Tanga Kunani FM zikapange foleni kuomba habari toka TBC FM? Kweli wewe ni jiniasi.
Una uhakika gani kama serikali itatoa data zote bila magumashi.?Wakidhibitiwa hawa makanjanja utasikia oooh wanarudisha nyuma demokrasia,uhuru wa vyombo vya habari na majungu mengi sasa mukipewa uhuru ndio kuandika utumbo.
Ombi langu kwa serikali vyombo vyote vya habari vitoe taarifa zao kutoka katika vyanzo vya vyombo vya Serikali na sio kujitafutia habari zao za uzushi.
Lazima unamatatizo ya viungo vya kufikiriWakidhibitiwa hawa makanjanja utasikia oooh wanarudisha nyuma demokrasia,uhuru wa vyombo vya habari na majungu mengi sasa mukipewa uhuru ndio kuandika utumbo.
Ombi langu kwa serikali vyombo vyote vya habari vitoe taarifa zao kutoka katika vyanzo vya vyombo vya Serikali na sio kujitafutia habari zao za uzushi.
Lazma kilipitia mbinguni [emoji1] [emoji1] [emoji1]nAOMBENI HIYO STORI WAJEDA HAPA NINACHEKA TU KWASABABU NAHISI NINACHOKIWAZA SICHO, ETI KIFARU KIMEIBIWA HAYO SI MAAJABU YA DUNIA
Ombi langu kwa serikali vyombo vyote vya habari vitoe taarifa zao kutoka katika vyanzo vya vyombo vya Serikali na sio kujitafutia habari zao za uzushi.