Wanataka kusema hata hakimu na hao watuhumiwa ni wazushi?Nilijua tu hii habari lazima Ikanushwe, ila ni vema wangekanusha halafu watupe Ukweli halisi wa jinsi ilivyo maana kwa wengi haituingii akilini.
Kwenye gazeti inasema ni stori ya mahakamani sioni kosa la GazetiJWTZ yakanusha taarifa za kuibwa kwa kifaru, lasema taarifa hizo hazina ukweli, lasisitiza ulinzi katika maeneo ya jeshi uko imara.
Hata hivyo Jeshi hilo limelitaka Gazeti la Dira kuomba radhi Mara moja wakishindwa kufanya hivyo hatua Kali na za kinidhamu zitachukuliwa dhidi yao.
![]()
Chanzo: ITV
Acha kukurupuka na kutoa mapovu jambo usilolijua Gazeti limeandika ni kesi ya mahakamani watuhumiwa wametajwa Huo ukanjanja uko wapi?Wakidhibitiwa hawa makanjanja utasikia oooh wanarudisha nyuma demokrasia,uhuru wa vyombo vya habari na majungu mengi sasa mukipewa uhuru ndio kuandika utumbo.
Ombi langu kwa serikali vyombo vyote vya habari vitoe taarifa zao kutoka katika vyanzo vya vyombo vya Serikali na sio kujitafutia habari zao za uzushi.
We nawe! Si ukanunue gazeti? Mbona unapenda sana free rides?Naomba mwenye habari kamili ya hiyo taarifa kutoka kwenye hilo gazeti aiiweke hapa nasi tuweze kuisoma yote.
Bado nina ukakasi mkubwa na huyo aliyeendesha hicho kifaru! Hawezi kuwa mwananchi wa kawaida hata kidogo...ni mtu mwenye know how na vifaru na mambo ya kijeshiMwandishi ameenda mahakamani na kuikuta kesi inaendeshwa, na hata hakimu alishangaa. Nadhani jeshi lilitakiwa limkomalie aliyewafungulia kesi ya kuiba kifaru wale wananchi
Kama wamekanusha inamaana wananchi 'wameshashinda' kesi.Si afadhali wamekanusha
Sure!!!!Nakubaliana na wewe kabisa na umeandika kile nilichotamani nikiandike mimi pia, JW waeleze ukweli utakaokanusha ule ukweli wa DIRA, sio short statement zisizo na kichwa wala miguu
Acha nidhamu za uoga!!!Siku si nyingi atatolewa mtu kucha mimi yangu macho.Bora uandike habari za kumkashifu Lowassa utaheshimika ila hizo zingine.................
Hah hah hah..eti wakamis kimoja. Dubwana hilo limekuwa sindano?
mkuu mbona umebadilisha avatar yako ya Anoldi bleck and white ile?? Tulikuzoea na ile pichaNakubaliana na wewe kabisa na umeandika kile nilichotamani nikiandike mimi pia, JW waeleze ukweli utakaokanusha ule ukweli wa DIRA, sio short statement zisizo na kichwa wala miguu
mjeda alienda nalo kutongozeaKitakuwa kilienda kufanya nini huko kwa mwanakijiji huyo mmoja? (if that was the case, anyway)
Wakidhibitiwa hawa makanjanja utasikia oooh wanarudisha nyuma demokrasia,uhuru wa vyombo vya habari na majungu mengi sasa mukipewa uhuru ndio kuandika utumbo.
Ombi langu kwa serikali vyombo vyote vya habari vitoe taarifa zao kutoka katika vyanzo vya vyombo vya Serikali na sio kujitafutia habari zao za uzushi.
Haikuwa wizi wa kawaida na waliofanya hivyo sio wananchi (mark my words) kulikuwa na kitu kingine kibaya zaidi kikubwa zaidi ambacho kwa sababu zisizojulikana kilisitishwa kuna siku kitakuja kujulikanaWapendwa naomba mnisaidie hili nimesoma hilo gazeti la dira nikaogopa kidogo kama si sana tu
Jaman hivi kama kweli watu 20 wanatuhumiwa kwa kuiba kifaru kosa ni la Nani?
Je wenye jukumu la ulinzi walikuwa hapo katika Lindo?
Je uhifadhi wa zana hizo za kivita ktk jeshi huwekwa wapi nje kama yadi za magari au chumba maalumu kama godown?
Lakn ikiwa kifaru kinaweza kuibiwa vp kuhusu silaha zingine ndogo kama bunduki,mabomu na vingine kama hivyo vina usalama kweli?
Na vp kuhusu ulinzi wa mipaka ya nchi kwa upana wake?
Hili sitaki kuliomba lakn iwapo kama kweli hili limetokea je ushindi dhidi ya adui wa Tanzania utakuepo?
Siwezi kustaajabu hili maana nilisoma na kuona baadhi ya picha kwenye mitandao ya jamii Twiga kubebwa ktk ndege huku askari pori wakiwa wapo na bila shaka walishika doria
Naomba sana tusifanye mzaha na vitu hivi maana mshangao na sifa yake si nzuri tena hakuna kufurahi katika hilo Bali tuchukue tahadhari. Naombeni majibu ya maswali yangu angalau nipumzishe zawadi ya Mungu aliyetupa ili tuweze kufikiri (ubongo)