JWTZ Wakanusha taarifa za kuibiwa Kifaru

JWTZ Wakanusha taarifa za kuibiwa Kifaru

Lazima unamatatizo ya viungo vya kufikiri
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka sana mkuu lakini isije kuwa wewe ndio unamatatizo ya viungo vyako vya kufikiri maana hiyo avatar duh[emoji15]
 
Nakubaliana na wewe kabisa na umeandika kile nilichotamani nikiandike mimi pia, JW waeleze ukweli utakaokanusha ule ukweli wa DIRA, sio short statement zisizo na kichwa wala miguu


Eeeh, what happened, really? Unaibaje kifaru kwa mfano? Unatafuta chuma chakavu za rijeshi ra wananchi?
 
JWT linatafute namna nyingine ya kuurubuni uma.

Sioni Sababu ya kulitisha hilo gazeti wakati nalo limewanukuu wahusika, kuanzia Polisi hadi mahakamani.

Labda wangesema hao walioshitakiwa walibambikiwa kesi, kidogo tungewaelewa.
 
Inawezekana hakikuibwa ila kilisahaulika kwa bahati mbaya nje ya nyumba ya mwanakijii mmoja, wakati wakufanya stock wakagundua kimoja kina misi.
eti wakamis kimoja. Dubwana hilo limekuwa sindano?
 
Ingekuwa Dar watu wengesha tajirika kwa vyuma chakavu mapema mno
 
Wacha tuone hii muvi itaishia wapi, ila mm nljua tu lazima watakanusha, sasa cjui hyo kesi iliyoko mahakamani ya Kifaru mnyama ama nn hii nchi bwana haiishiwi na matukio
 
Mwandishi kwenye hiyo habari anasema ni kesi iliyomahakamani, sasa hapa tumwamini nani, mahakama, mwandishi, jeshi?
Hivi kama kesi ipo mahakamani na jeshi limekanusha si tayari watuhumiwa wanakuwa huru? Maana inakuwa ni kesi hewa.Kesi ya kubambikiwa
 
Aisee!! Hivi Ndio wameiba Kweli walitaka kufanyia nini....??
 
JWTZ yakanusha taarifa za kuibwa kwa kifaru, lasema taarifa hizo hazina ukweli, lasisitiza ulinzi katika maeneo ya jeshi uko imara.

Hata hivyo Jeshi hilo limelitaka Gazeti la Dira kuomba radhi Mara moja wakishindwa kufanya hivyo hatua Kali na za kinidhamu zitachukuliwa dhidi yao.

ClY_I9oVAAEsSEt.jpg:large


Chanzo: ITV
Mi nikidhani ni April mosi
 
Back
Top Bottom