kiboje
JF-Expert Member
- Aug 9, 2013
- 377
- 62
JESHI la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limevitaka vyombo vya habari kuacha kuandika taarifa za mgogoro wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), badala yake taarifa rasmi zitakuwa zikitolewa na jeshi hilo kila baada ya wiki mbili.
.
Safi sana maana kuna makajanja walikuwa wanatupeleka kuzimu kwa kutuletea taarifa za umbeya. Natamani sana watakotuletea tena vitaarifa vyao vile wapelekwe kambini wa................!