JWTZ, KDF: Wanawake kazini

JWTZ, KDF: Wanawake kazini

Dah kwahyo bbc walotangaza turkana kuna njaa ndio watz au bbc walotangaxa kenya mmevamiwa westgate mall ni watz we kweli.kuku
nyuzi za aina hii ni watanzania wenzako wanazifungua kwa nia ya ku ikejeli Jeshi la kenya na kujilinganisha na kenya.Lakini wakishindwa kujilinganisha au kutetea hoja zao wanasema wakenya wanapenda show off.
 
nyuzi za aina hii ni watanzania wenzako wanazifungua kwa nia ya ku ikejeli Jeshi la kenya na kujilinganisha na kenya.Lakini wakishindwa kujilinganisha au kutetea hoja zao wanasema wakenya wanapenda show off.
Kwani jeshi letu lipo kwa ajili yenu? Unatumia firigisi kuwaza au ubongo, JW ni kwa ajili ya watanzania siyo wakenya endeleeni kutazama upande wenu.

Huo ni muwasho sugu kuanza kujilinganisha na mtu asiyekuwaza wala kukufikiria. Tunawaza namna ya kuwasaidia chakula kwa sasa siyo kuwaua.
 
Hawa ndio polisi wa bongo?....[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
tapatalk_1558898854872.jpeg
 
Ukweli unauma sio maandishi ya kimagumashi km hujui mm sio mtaalam sana wa kiswahili.thats why naandika hv nimezoea kuandika lugha ya kutoka right kwenda left nadhan unaijua hyo lugha
Kwa huu uandishi wako wakimagumashi acha niseme tu kwamba sina la ziada. Nimekuelewa.
 
Kwani jeshi letu lipo kwa ajili yenu? Unatumia firigisi kuwaza au ubongo, JW ni kwa ajili ya watanzania siyo wakenya endeleeni kutazama upande wenu.

Huo ni muwasho sugu kuanza kujilinganisha na mtu asiyekuwaza wala kukufikiria. Tunawaza namna ya kuwasaidia chakula kwa sasa siyo kuwaua.
And why are you on this thread kwani unawashwa?
 
Mkuu achana na huyo jamaa hana uhakika wa kula kesho asubuhi kwa sababu ya njaa huko kwao. Usije akapata kisingizio kuwa amekufa kwa mabishano kumbe njaa.
Upuuzi mtupu, unadhani sote tunalala kwa mama kama wewe tukingoja wali uive? Wake up, jiongeze boss acha kujiona mjanja wakati unatupia comment kama za droupout wa darasa la tatu.
 
Upuuzi mtupu, unadhani sote tunalala kwa mama kama wewe tukingoja wali uive? Wake up, jiongeze boss acha kujiona mjanja wakati unatupia comment kama za droupout wa darasa la tatu.
Jiongezeni kwanza nyie siyo kufa na njaa kama Nzige.
 
Back
Top Bottom