passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,779
- 13,005
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Al shabab wana mgambo tu sio hata ka foreign force usiwape cheo hao wanachapwa na wanamgambo wanaoshindia mirungi na kandoro
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Al shabab wana mgambo tu sio hata ka foreign force usiwape cheo hao wanachapwa na wanamgambo wanaoshindia mirungi na kandoro
We kweli zwazwa unaulizwa huko na hiyo miuniform yako umewahi shinda wapi?Waganda waliwafurusha hao Manyag'au kule mijingu,Alshabab wanacheza kwenye korido zenu hapo Nairobi.
Kama vipi tuandae pambano la kirafi ili ubishi uishe JWT vs KDF,hii hoja nitaipeleka kwenye kikao cha bunge la Africa Mashariki.
Most of these days and women's I know them. Nashangaa kukaa meza moja na makonde. Ambaye wanajua waajiri wao wanna shida naye
Mbona huyo hayuko na Full Battle Order?
Eti huyu naye ni mkenya!!! Yaani Kenya ukikosa lishe tu wanakugeuza kuwa comedian.
Njugush namkubali sana huyu jamaa na mkewe wakavinye