JWTZ, KDF: Wanawake kazini

JWTZ, KDF: Wanawake kazini

Mkuu matusi hayo kwa wala sukuma week
Yaani jeshi lao wanalisifia tu kuwa na vifaa ambavyo kila mtu amevijua ila hawaoni wana kasoro ya kuwa na intelejensia hovyo kuwahi kutokea baada ya vita ya pili ya dunia.

Jeshi linaendana na ushushushu na ndiyo maana linafeli kwa Al Shabab kwa sababu linafanya kazi kwa kutumia ramri.
 
Kaka mungu anawaona matusi mnayowapa wala sukuma week
Wanapigwa na njaa na bado wanakesha hapa kupiga kelele kuhusu KDF yao kuwa ni imara...!!! Kwanini wasitumie hilo jeshi kupambana na njaa.

Nina uhakika tukiwapa mafunzo wafungwa wetu wataleta upinzani kwenye jeshi lao hilo lisilokuwa na aibu kuyumbishwa na wanamgambo.
 
1108776


Acheni mwembwe.
Atakayeonyesha mwenye mkono mkakamavu kama wa huyu mwanamama wa kikongo nampa ushindi.
 
Tanzania sio nchi ya wapenda sifa kwenye ulinzi na usalama.
Ndiyo maana kwenye sherehe za muungano tunawaletea vifaru vyenye kutu vinazimika barabarani.

Sasa siku mkijichanganya sidhani kama mtaona kifaru chenye kutu cha mwaka 1977.

Wakenya muulizeni rais wenu, kwanini al shabab wanaingia mpaka mjini ikiwa jeshi lenu imara?

Jiulizeni maswali kwanini mtu kama Inayat Kassam anawasaidia mpaka kwenye ulinzi na usalama wa nchi yenu?
 
Dah tz ndio walienda huku kwa wakongo au nakosea.
Asa huyu dada mbona kakomaa kuliko ht alshabaab mm msomali wa Djibouti kaka somalians hata wapige chuma watavimba kdogo tuu sio kutoka muscles na kuwa muscular km huyu mmama
View attachment 1108776

Acheni mwembwe.
Atakayeonyesha mwenye mkono mkakamavu kama wa huyu mwanamama wa kikongo nampa ushindi.
 
Sportpesa mdhamin mdogo sana wadhamin wakubwa nadhan unawajua matajir kuliko nyie makapuku wala sukuma week kina bakhresa na Mo dewji matajir amongst wa Africa ambao kenya hamna nambie kuna klab ya kuizid hela azam fc kiwanja cha chamaz cha azam complex kizuri na kina value kuliko national stadium ya kenya hata Unicef anaidhamin barca ila ni mdhamin mdogo huwez mfananisha na Qatar airways mdhamin wa zaman wa barca
Vilabu vyenu vina hela sana ndio maana vinadhaminiwa na SportPesa. A Kenyan company. 😀😀😀
 
Sportpesa mdhamin mdogo sana wadhamin wakubwa nadhan unawajua matajir kuliko nyie makapuku wala sukuma week kina bakhresa na Mo dewji matajir amongst wa Africa ambao kenya hamna nambie kuna klab ya kuizid hela azam fc kiwanja cha chamaz cha azam complex kizuri na kina value kuliko national stadium ya kenya hata Unicef anaidhamin barca ila ni mdhamin mdogo huwez mfananisha na Qatar airways mdhamin wa zaman wa barca
Mkuu achana na huyo jamaa hana uhakika wa kula kesho asubuhi kwa sababu ya njaa huko kwao. Usije akapata kisingizio kuwa amekufa kwa mabishano kumbe njaa.
 
Wakijitangaza mnakufa na njaa Turkana wewe Maunda.
nyuzi za aina hii ni watanzania wenzako wanazifungua kwa nia ya ku ikejeli Jeshi la kenya na kujilinganisha na kenya.Lakini wakishindwa kujilinganisha au kutetea hoja zao wanasema wakenya wanapenda show off.
 
Ahahhahahahhaahaahhahahhqahahahahahahhahahahahahahahhahahabaahanahaahahahahahahahhahahahahhaahhaahahhaahhaahhahahha.
Ndio namshangaa usikute hajalipa kodi pia maana wakenya wengi wameshindwa kumudu ujenzi wamepanga.
We Sportpesa jina lake tumeliweka nyuma mkunduni huko eti oooh inadhamin vilabu vyenu ilhali mmiliki wa Sportpesa na manji manji billionaire uwanja wa taifa wa kenya na azam complex azam mzuri tena azam complex mbali shamba la bibi tu mzuri kuliko wa taifa wa kenya
Mkuu achana na huyo jamaa hana uhakika wa kula kesho asubuhi kwa sababu ya njaa huko kwao. Usije akapata kisingizio kuwa amekufa kwa mabishano kumbe njaa.
 
Sportpesa mdhamin mdogo sana wadhamin wakubwa nadhan unawajua matajir kuliko nyie makapuku wala sukuma week kina bakhresa na Mo dewji matajir amongst wa Africa ambao kenya hamna nambie kuna klab ya kuizid hela azam fc kiwanja cha chamaz cha azam complex kizuri na kina value kuliko national stadium ya kenya hata Unicef anaidhamin barca ila ni mdhamin mdogo huwez mfananisha na Qatar airways mdhamin wa zaman wa barca
Kwa huu uandishi wako wakimagumashi acha niseme tu kwamba sina la ziada. Nimekuelewa.
 
Back
Top Bottom