JWTZ, KDF: Wanawake kazini

JWTZ, KDF: Wanawake kazini

Jwtz kwenye majukumu ya UN
496212 - Copy.jpeg
 
Kuku ww mtu unapokuwa umeishiwa silaha maybe wafaa tumia martial law km hyo kuipata kwa adui yako ndio maana alshabaab wanawakeketa nje ndan
Sasa mwenye ako na bazuka utamwendea kwa mkono ati juu umeivia boxing? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ushamba mwingine bana. Yaani mambo sipo hivi ndio huwa wanatumia kuwahadaa kwamba wao ndio majogoo? Tukitumia vigezo hivyo hivyo hata NYS ya Kenya ni zaidi ya JWTZ. Alafu National Youth Service(NYS) hata sio KDF wala Kenya Police, yaani hawa ndio vijana ambao hapo baadaye huwa wanajiunga na KDF.
nys-kenya-1-1024x768.jpg
Huyo jamaa amedelete that pic because of your critic [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Eti huyu naye ni mkenya!!! Yaani Kenya ukikosa lishe tu wanakugeuza kuwa comedian.

#Njugush.

#E. Omondi.
images(39).jpg
 
Huyo jamaa amedelete that pic because of your critic [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha! 😀 Watu wanajivunia kwamba wanajeshi wao wanavunja matofali, ila silaha modern na vifaa vya kivita vya Kenya ni show off. Wabongo bana. [emoji38]
 
KK security wanavaa vizuri kuliko polisi wenu[emoji16][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
parade.JPG
tapatalk_1558901785252.jpeg
 
KK security wanavaa vizuri kuliko polisi wenu[emoji16][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1108917View attachment 1108919
Boss hakuna mtu ambaye huwa ame'kaukiwa' na 'kurarukiwa' kama mfanyakazi wa umma Tz. Magwanda ya JWTZ na jeshi la polisi huwa yameisha yameparapara, wengine hawana boots huwa wanavaa gumboots za mvua. Alafu sura ndio usiseme, yaani jamaa huwa wamekata tamaa kabisa na hali zao za kikazi. Kila wakati wamenuna zaidi ya mabushmen jangwani wakiwinda nungunungu.
 
Unaropoka huongei km Wafanya kaz wa tz choka,mbaya mbona nyie ndio mnaongoza kulala nyumba za kupanga
Boss hakuna mtu ambaye huwa ame'kaukiwa' na 'kurarukiwa' kama mfanyakazi wa umma Tz. Magwanda ya JWTZ na jeshi la polisi huwa yameisha yameparapara, wengind hawana boots wanavaa gumboot za mvua. Alafu sura ndio usiseme, yaani jamaa huwa wamekata tamaa kama mabushmen wakiwinda nungunungu.
 
Back
Top Bottom