Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 55,039
Tanzania kwenye masuala ya kijeshi hatuna show off kama hizo zenu, mnadhani nyie ndiyo mna vifaa na zana za kijeshi kumbe mnaandika msichojua.
Juzi Rais alisema ananunua ndege na jeshini pia zinanunuliwa ila hazisemwi sasa nyie kila mkipata kibaiskeli mnaweka mtandaoni ili kujilinganisha na sisi nawapa pole.
Kwanza tuna hazina kubwa sana ya nguvu kazi tukisema tuanze kushindana kwa rasilimali watu nadhani tutaanza kuwazidi hapo. Tanzania tuko vyema hata rais wenu anajua na mkuu wenu wa majeshi anajua ila wanaogopa kuwaambia.
Ukiona nchi imetunza siri zake za kijeshi na msijue anamiliki nini basi ujue tuna uwezo wa kumiliki hata usivyokuwa na uwezo navyo na tukatulia. Nyie kwa mfano tu wa Al Shabab nakiri na kusema kwanza usalama wa taifa lenu ni hovyo na ni usalama wenye kutia mashaka.
Tunaingia kwenu na kutoka tupendavyo. NYANG'AU.
Juzi Rais alisema ananunua ndege na jeshini pia zinanunuliwa ila hazisemwi sasa nyie kila mkipata kibaiskeli mnaweka mtandaoni ili kujilinganisha na sisi nawapa pole.
Kwanza tuna hazina kubwa sana ya nguvu kazi tukisema tuanze kushindana kwa rasilimali watu nadhani tutaanza kuwazidi hapo. Tanzania tuko vyema hata rais wenu anajua na mkuu wenu wa majeshi anajua ila wanaogopa kuwaambia.
Ukiona nchi imetunza siri zake za kijeshi na msijue anamiliki nini basi ujue tuna uwezo wa kumiliki hata usivyokuwa na uwezo navyo na tukatulia. Nyie kwa mfano tu wa Al Shabab nakiri na kusema kwanza usalama wa taifa lenu ni hovyo na ni usalama wenye kutia mashaka.
Tunaingia kwenu na kutoka tupendavyo. NYANG'AU.