JWTZ, KDF: Wanawake kazini

JWTZ, KDF: Wanawake kazini

Yaani Westgate mall mlikesha week nzima mnahangaika na vijigaigi na wakafanya yao na kutoroka via mtaro,unataka kufananisha na JWTZ? Utakuwa umerogwa wewe
 
This is Kenya.
downloadfile-6%20(5).jpeg
 
Je wanaotandikwa na alshabaab vyumban mwao tuwasemeje.
Kweli watu wanaotandikwa na vitoto vya chekechea si wa kufananishwa na jeshi lolote ulimwenguni. Ni wa kufananishwa na vijana wadogo wanaopigana vichochoroni.
 
JWTZ Ina Air force kweli?? Ukizingatia wanatumia Ndege za ATCL for logistics.
Unaziona hzo za jwtz ukishoboka unakeketwa nazo zilirushwa na kujaribiwa 2014 ktk sherehe za muungano tz
images-4.jpeg
Y.8-200%2BCub%2B%2BJW-9034%2B%2B%2B%2B2-13.jpeg
800px-2010-09-14_13-00-35_Tanzania_-_Ihale.jpeg
 
Yaani Westgate mall mlikesha week nzima mnahangaika na vijigaigi na wakafanya yao na kutoroka via mtaro,unataka kufananisha na JWTZ? Utakuwa umerogwa wewe
we are only comparelable to the best and thats why we train with the best
some hostage situations can take a wrong turn read the link below from Russia and USA
 
hatuna airforce mkuu tuna jeshi la anga!! kama hilo ndio lenu la anga huko kwenu mmekwisha
Hapo mkuu umenena asa jeshi la KDF wakiniletea wanawake siwapigi nawabusu maanake kwanza wamekonda km wanyarwanda then wazuri
 
Hey a person must be best in action not by words and ego of prestige show action how can you be best while an attack of alshabaab in west gate took you alot to deal with
we are only comparelable to the best and thats why we train with the best
some hostage situations can take a wrong turn read the link below from Russia and USA
 
So far interms Of rifles we only differ here .

Kenya


1.
IMG_0117.JPG




Tanzania

1.
IMG_0119.JPG



2.
IMG_0120.JPG



3.
IMG_0124.JPG


The rest seems to be the same . IMO , According to many Photos shared.
 

Attachments

  • IMG_0120.JPG
    IMG_0120.JPG
    97.9 KB · Views: 18
we are only comparelable to the best and thats why we train with the best
some hostage situations can take a wrong turn read the link below from Russia and USA
Aaah hamna lolote, kdf is weak compared to TPDF,am sure you guys you're well informed about that
 
Kaka msomali watamweza wapi wala sukuma week hawa sijui sukuma month
Wakenya naona mnakwepa swali langu! Nitajieni vita MOJA TU ambayo mmewahi kupigana na mkashinda!!! Ili kuweka kumbukumbu sawa, nalazimika kukukumbusha kwamba hata wanamgambo wa Al Shabaab ambao hawa mafunzo yoyote ya kijeshi na wenyewe mmewashindwa!!!
 
Aib aib hawana uwezo sukuma week hazikufanya uwezo mwilin usiwalaum
Kumbe wanamgambo wasio na mafunzo yoyote ya kijeshi mnapambana nao kwa kutumia zana za kisasa za kivita na bado wanawatoa kamasi halafu bado mnajigamba mna jeshi bora!!! Tena basi ni ma-invetory mliyoanza kuyajaza baada ya kuanza na Al Shabaab! Are you serious?! Unajaza ma-invetory kwa ajili ya kupambana na kikosi cha wanamgambo wasio na mafunzo yoyote ya kijeshi?! Very sorry for you, mnadhani jeshi imara linapimwa for number of inventories tena ambazo zimenunuliwa with little military need!! Tuchezeeni siku moja kama hamjazikimbia hizo! No wonder nimewauliza mmewahi kupigana vita gani na mkashinda, hakuna hata mmoja aliyenijibu hilo swali!

Halafu ma-KDF bhana, wanaenda kombania mzima na mavifaru juu kwenda kupambana na wanamgambo sita! Yenyewe inafika eneo la tukio, badala ya kupambana, inaishia kuiba juice na biskuti supermarket 😀😀 :

 
Nataka kenya unitajie vita ipi ulioshinda katika historia yako si bora hata Rwanda ana war experience ya hutu vs tutsi
You must be really desperate you are now posting patrol boats armed with machine guns ?....post a battle ship that can engage Kns Jasiri or even Nyayo in maritime combat.
 
Out of topic Kidogo, the new Wazito Fc bus assembled In Kenya
IMG_20190526_195854.jpeg
IMG_20190526_195858.jpeg
IMG_20190526_195901.jpeg
 
Back
Top Bottom