JWTZ, KDF: Wanawake kazini

JWTZ, KDF: Wanawake kazini

Hahahahaha, Hahahahaha. Kuanzia Leo ukisikia Tanzania wanasifia JWTZ, usiseme kitu, acha wasifie.
You must be really desperate you are now posting patrol boats armed with machine guns ?....post a battle ship that can engage Kns Jasiri or even Nyayo in maritime combat.
 
Huyo kichaa aliyeshangaa JWTZ kusafirishwa kwa dream liner, lakini a kushindwa kushangaa KDF wakiridishwa NYUMBANI kwa ndege mbovu baada ya kufukuzwa kutoka South Sudan na UN kwa kushindwa kutimiza majukumu yake ya kulinda RAIA, huyu jamaa unamkumbuka?
KDF walirudi kwa KQ ama military plane? Afu SI uweke hiyo picha kdf wakiabiri KQ...afu weka ya JWTZ wakiabiri drimulaina.
 
Hahahahaha, all those weapons are not older than 7 years, we bought them in 2014. We grounded our Mig 21, which are second generation like F-5, we replaced them with J-7 which are third generation.

Umeona nguvu za JWTZ baharini na An gani?, ndio sababu nikakuambia Kenya tunaweza kuikamata ndani ya masaa 36 kama tutashambulia kutoka Angani, baharini na nchi kavu. Sio mchezo JWTZ.
Nyinyi tunawaitia wale vijana was kongo...panga Boyz wamalize kazi Hadi Ikulu ya Dar.
 
KDF moto wa kuotewa mbali. Hongereni waKenya wenzangu. Mmewavua midanganyika 😂 bado hawaamini.
 
di
meanwhile did you know these rifles can pay salaries of more than 10 JWTZ personnel
View attachment 1108200View attachment 1108204View attachment 1108196

Ahhh, Kwa hiyo hata huyo aliyobeba hilo rifle analipwa zaidi Au na yeye kabeba kifaa cha thamani kuliko Mshahara wake, Just asking .


Nimeona Kuna maeneo kadhaa nchi zetu zinatumia Rifle zinafana.

Hizi Naziona sana kwa wakenya, Tz pia wanazo ila zinaonekana mbaya sana 🤣

1.
IMG_0107.JPG



2.
IMG_0100.JPG



3.
IMG_0101.JPG



4.
IMG_0110.JPG



5.
IMG_0105.JPG



6.
IMG_0103.JPG



7.
IMG_0109.JPG



8.
IMG_0106.JPG



9.
IMG_0108.JPG



10.
IMG_0102.JPG
 

Attachments

  • IMG_0107.JPG
    IMG_0107.JPG
    102.6 KB · Views: 23
Ahhh, Kwa hiyo hata huyo aliyobeba hilo rifle analipwa zaidi Au na yeye kabeba kifaa cha thamani kuliko Mshahara wake, Just asking .


Nimeona Kuna maeneo kadhaa nchi zetu zinatumia Rifle zinafana.

Hizi Naziona sana kwa wakenya, Tz pia wanazo ila zinaonekana mbaya sana [emoji1787]

1. View attachment 1108516


2. View attachment 1108517


3.View attachment 1108518


4. View attachment 1108519


5.View attachment 1108521


6.View attachment 1108522


7. View attachment 1108523


8.View attachment 1108524


9.View attachment 1108525


10. View attachment 1108526
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawa ndio wanaume?
 
Ahhh, Kwa hiyo hata huyo aliyobeba hilo rifle analipwa zaidi Au na yeye kabeba kifaa cha thamani kuliko Mshahara wake, Just asking .


Nimeona Kuna maeneo kadhaa nchi zetu zinatumia Rifle zinafana.

Hizi Naziona sana kwa wakenya, Tz pia wanazo ila zinaonekana mbaya sana 🤣

1. View attachment 1108516


2. View attachment 1108517


3.View attachment 1108518


4. View attachment 1108519


5.View attachment 1108521


6.View attachment 1108522


7. View attachment 1108523


8.View attachment 1108524


9.View attachment 1108525


10. View attachment 1108526
apart from the Tavors and the M 16 most of your weapons are outdated .I even see cold war era Chinese weapons on pic number 9
 
Unataka tupambane nao kutumia nini?? mapanga kama M23 rebels
Kumbe wanamgambo wasio na mafunzo yoyote ya kijeshi mnapambana nao kwa kutumia zana za kisasa za kivita na bado wanawatoa kamasi halafu bado mnajigamba mna jeshi bora!!! Tena basi ni ma-invetory mliyoanza kuyajaza baada ya kuanza na Al Shabaab! Are you serious?! Unajaza ma-invetory kwa ajili ya kupambana na kikosi cha wanamgambo wasio na mafunzo yoyote ya kijeshi?! Very sorry for you, mnadhani jeshi imara linapimwa for number of inventories tena ambazo zimenunuliwa with little military need!! Tuchezeeni siku moja kama hamjazikimbia hizo! No wonder nimewauliza mmewahi kupigana vita gani na mkashinda, hakuna hata mmoja aliyenijibu hilo swali!

Halafu ma-KDF bhana, wanaenda kombania mzima na mavifaru juu kwenda kupambana na wanamgambo sita! Yenyewe inafika eneo la tukio, badala ya kupambana, inaishia kuiba juice na biskuti supermarket 😀😀 :

KDF.png
 
apart from the Tavors and the M 16 most of your weapons are outdated .I even see cold war era Chinese weapons on pic number 9

You have the same

Kenya

IMG_0111.JPG


Tanzania

IMG_0100.JPG



Kenya

IMG_0115.JPG



Tanzania

IMG_0107.JPG



Kenya

IMG_0112.JPG



Tanzania

IMG_0103.JPG



Kenya

IMG_0113.JPG



Tanzania

IMG_0116.JPG



The rifle that we don’t have and you have

Kenya

IMG_0117.JPG



What I didn’t see from your troops that Tanzania Have .

You say chinese riffle is outdated while some of your troops use 1950s Rifle ??? 🤣


IMG_0122.JPG



IMG_0120.JPG



My friend this rifle even stopped production long ago .

IMG_0111.JPG



14A87655-C6C7-497F-8A5C-C3DAF8FE1CCE-1504-000001A7519001F1.jpg


Waosha vinywa waelewe naongelea rifles kulingana na picha nilizoona. Wanaojua nimekosea unatakiwa ulete picha ueleweshe sio kuosha tu kinywa. 🤣
 

Attachments

  • IMG_0119.JPG
    IMG_0119.JPG
    116 KB · Views: 20
  • IMG_0121.JPG
    IMG_0121.JPG
    54.1 KB · Views: 23
KDF moto wa kuotewa mbali. Hongereni waKenya wenzangu. Mmewavua midanganyika 😂 bado hawaamini.
Wakenya naona mnakwepa swali langu! Nitajieni vita MOJA TU ambayo mmewahi kupigana na mkashinda!!! Ili kuweka kumbukumbu sawa, nalazimika kukukumbusha kwamba hata wanamgambo wa Al Shabaab ambao hawa mafunzo yoyote ya kijeshi na wenyewe mmewashindwa!!!
 
Back
Top Bottom