...........nimeangalia hiyo link kumbe zanzibar ..si tu kuwa ilijaribu bali ilijiunga kabisa..na someni maelezo waliyopeleka huko yanakatisha tamaa..
hizo uganda ilijiunga na OIC wakati wa IDDI amin DADA ambaye inajulikana dhahiri alitaka kuifanya uganda ISLAMIC REP.....NA moja ya strategy ya kwanza aliyoanza nayo ilikuwa OIC...mnajua kila kitu huanza kwa kuingiza kichwa....then unazama..."hata ngamia ukimruhusu aingize kichwa utamuona analazimisha kuingiza mwili mzima ..japo asilani hautaingia....."
Na ukiangalia nchi hizo za waafrika weusi walio katika kundi hilo zaidi ya 80 % ndio wenye migogoro ya kivita.
Zifuatilieni tu hizo nchi za afrika ndio wanamigogoro ya kipigana pigana.