Madela Wa- Madilu
JF-Expert Member
- Mar 24, 2007
- 3,063
- 743
Kwa hiyo siku ukiundwa umoja wa nchi za kikristo duniani Tanzania itajiunga bila tatizo wala nini.
Isiwe ni kutamani faida kadhaa za kujiunga bila kuzingatia maana na matokeo ya ujumla ya kujiunga na umoja huo.
Iwapo kuna mikataba Feki kila kona ya nchi ambayo kisingizio chake ni kukosa utaalaamu wa kuchambua vifungu na kuweka maslahi ya taifa mbele, ni vipi leo serikali tusiitilie mashaka juu ya uamuzi wa kujiunga na jumuia ya kiislamu?
Kesho mambo yakienda kisengere nyuma watakuja twambia kwamba hawakusoma kanuni vizuri lakini nia ya kujiunga ilikuwa ni njema kabisa. Kisha Membe atamalizia kwa kusema alipigwa shinikizo kutoka juu.
Isiwe ni kutamani faida kadhaa za kujiunga bila kuzingatia maana na matokeo ya ujumla ya kujiunga na umoja huo.
Iwapo kuna mikataba Feki kila kona ya nchi ambayo kisingizio chake ni kukosa utaalaamu wa kuchambua vifungu na kuweka maslahi ya taifa mbele, ni vipi leo serikali tusiitilie mashaka juu ya uamuzi wa kujiunga na jumuia ya kiislamu?
Kesho mambo yakienda kisengere nyuma watakuja twambia kwamba hawakusoma kanuni vizuri lakini nia ya kujiunga ilikuwa ni njema kabisa. Kisha Membe atamalizia kwa kusema alipigwa shinikizo kutoka juu.