Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Nafikiri un luck kitu hapo.

Serikali yenu sio tu inalipa pango katika hospitali hizo pia inalipa mishahara ya madaktari nawahudumu wa afya na vile vile ina supply madawa na kuleta hata vyombo vya maabara. Lain kumuka hospital hizo ni mali ya kanisa. sasa kiuchumi tunaona bora ijenge hospitali zake kuepusha hayo mapesa wanayolipwa kanisa.


Ungekuwa umesoma uchumi basi ungelitazama hilo kama janga kubwa sana la kupoteza na kuuwa uchumi wenu.

Punguza na kulitazama hili kiimani au kisiasa. Litazame kiuchumi utanielewa nakusudia nini.

Pole sana

Sidhani kama wanalipa pango exclusively,ila wanalipa pango kwa maeneo ya kulipa mishahara, kutoa dawa za magonjwa fulani ambayo yanatibiwa mojakwa moja kama huduma ya serikali.Mengine mengi tuu yanasaidiwa kwa ushirikiano wa wafadhili kama DANIDA,NORAD etc kwa ushirikiano na serikali.

Pia ujue serikali inajukumu la kutoa ruzuku kwa taasisi za afya hata mila kuwa na MoU ili kupunguza bei kubwa sana za hiyo huduma.Pia ujue kila daktari raia wa Tanzania anastahiki mengi sana toka kwa serikali ikiwepo kusomeshwa na kusaidiwa kutumikia taifa.

Kama ni kulitazama kiuchumi pia bado hujatoa jibu sahihi sana.Si mara ya kwanza kuona watu wakiwa na patrneship na mmojawapo kupeleka staff wake na kuwagharamia kwa kila kitu na hat k ulipia pango.Hasa pale panapokuwa na umuhimu wa kuhakikisha kuwa Sera za huyo mbia(serikali) zinafuatwa kikamilifu na kwa jinsi itakiwavyo na serikali.So sidhani kama kanisa litatrain watu kufanya polisi za serikali.Ukiachia mbalia mambo ya kisiasa,pia makampuni kama microsoft pia huweza peleka wasomi wao katk vyuo vikuu duniani kutoa elimu huku wakilipwa na Microsoft.Lengo ni kuahmisha elimi ila pia ni kufanikisha malengo yao zaidi.Hapa kataka afya serikali ndio ina majukumu na malengo yake ambayo wanayafanikisha kwa kutumia miundombinu ya wengine.UNHCR wamekodi majengo ya AICC na pia wameyakarabati kwa kiasi kiwafaacho+ wameweka ulinzi kwa kiasi walichokitaka yet AICC nao wanafaid huo ulinzi.
 
Hapa mambo yapo wazi ila watu wanataka kupindisha mambo na kuanza kuislim nchi kirahisi. OIC ni umoja wa nchi za kiislam sio jumuia za kiislam. sasa Tanzania sio nchi ya kiislam japo ina waislam. 2 Mahakama ya kadhi wanataka ianzishwe na sheria ya bunge ili kwanza iendeshwe kwa kodi zetu wote hata sisi wateja wa TBL. Mbili kwakuwa ikipitishwa na bunge maendeo ya pembezoni ambayo ndugu zetu ni wengi kuliko wakistristu wataanza kuhukumu watu kwa kutumia sheria hii kwa lazima. Chukulieni uzoefu wa kinachoendelea Kano Nigeria. So kwasasa tukubaliane kuwa si jukumu la serikali kuhakikisha kuwa watu wake wote wanaenda peponi au ahela. Jukumu la serikali ni kuhakikisha kuwa watu wake wote wanaabudu kwa amani na utulivu na bila kugusa imani za wengine. So mambo ya mbinguni na serikali za duniani yabaki kama zilivyo mbingu na nchi. Far from each other
 
Hapa mambo yapo wazi ila watu wanataka kupindisha mambo na kuanza kuislim nchi kirahisi. OIC ni umoja wa nchi za kiislam sio jumuia za kiislam. sasa Tanzania sio nchi ya kiislam japo ina waislam. 2 Mahakama ya kadhi wanataka ianzishwe na sheria ya bunge ili kwanza iendeshwe kwa kodi zetu wote hata sisi wateja wa TBL. Mbili kwakuwa ikipitishwa na bunge maendeo ya pembezoni ambayo ndugu zetu ni wengi kuliko wakistristu wataanza kuhukumu watu kwa kutumia sheria hii kwa lazima. Chukulieni uzoefu wa kinachoendelea Kano Nigeria. So kwasasa tukubaliane kuwa si jukumu la serikali kuhakikisha kuwa watu wake wote wanaenda peponi au ahela. Jukumu la serikali ni kuhakikisha kuwa watu wake wote wanaabudu kwa amani na utulivu na bila kugusa imani za wengine. So mambo ya mbinguni na serikali za duniani yabaki kama zilivyo mbingu na nchi. Far from each other

teh teh..kuna wengine wanafikiri kwa staili ya kuchekesha..Yaani suala la Bakwata kukataliwa na waislam watu wengi hata wasio waislam waliona ni vyema kama iliruhusu serikali ingilia uhuru wao.Ila sasa hili za Kadhi na serikali linapinga sababu za kuikataa BAKWATA.Kwa ujumla ni kujichachanganya.
 
msio waislamu mnaona kama mambo ya waislamu ni kutaka kuleta vita si ndio. Waacheni waislamu na dini yao na kama hamjajua lengo kubwa hapo ni mahakama kupewa haki yake yaani kesi ikishaamuliwa na kadhi haipingwi na mahakama ya nchi
 
msio waislamu mnaona kama mambo ya waislamu ni kutaka kuleta vita si ndio. Waacheni waislamu na dini yao na kama hamjajua lengo kubwa hapo ni mahakama kupewa haki yake yaani kesi ikishaamuliwa na kadhi haipingwi na mahakama ya nchi

Sasa hapo ndipo pagumu,nchi kuwa na mamlaka 2 za kimahakama.Hawakai mafahali wawili ktk zizi moja popote duniani.Yaani mahakama nyingine zote zifanya mambo yake bila kupinga mfumo rasmi wa mahakama ya nchi.Sula jingine ni masuala ya hel aza kuendesha.Hela za makafiri zitakuwa zinatoka mara mbili n ahivyo kufanya kila kundi litake mahakama zake.Hapo nchi inaweza jikuta ikiwa na mifumo kibao ya mahakama.Binadamu ni viumbe wana wahusiano katk ardhi ya pamoja, kesi zihusuzo wa tu wamakundi mbalimbali zitahukukumiw ana mahakama gani?

Mwisho siku watu inabidi waache ushabiki watafute kinachotekelezeka katk hiii dunia ya mahusiano ya ajabuajabu.watu wenye hofu ya Mungu wala hawahitaji mahakam aya kanisa, kijiji,ya kikundi, mahakama ya Kadhi ili kufuata mafundiho ya dini yake.
 
Kama unaelewa kuwa kina fulani wamefika walipo kutokana na namna walivyolelewa na kurithishwa utamaduni wa kujitoa na kupenda kujiendeleza, suala ni wewe kufanya the same kwa jamii yako. Swali alilouliza mdau ni la maana kwani wengi wenu mlimchukia Dr.Omari Ally Juma kwa kuwa aliwaambia ukweli. Hivyo unavyoongea hapo chini ni vitisho vya kitoto na kipuuzi. Hakuna suala la utajiri hapa ni suala la ustawi wa jamii na maendeleo ya elimu miongoni mwa jamii. Hizi dini zilikuja, zote mbili hilo tukubaliane. Na waliozileta hizi dini walituachia na tamaduni zao pia. Ni ukweli usiopingika kuwa Mwarabu ni mzembe na mvivu na hali hiyo inatokana na mazingira yake ya alikotoka. Sasa kama mliorithi tamaduni zake hamkulizingatia hilo, je hilo ni suala la kuwalaumu watu wengine? We chunguza halafu unieleze ni lini na wapi ambapo Mkoloni wa Kiarabu aliacha shule au zahanati? Iliishia kwa Tip Tip kukamata ndugu zetu na kuwauza utumwani huku akiitwa bwana. Leo tunagombania nani agharamie mahakama ya kadhi, kesho utakuja ugomvi mpya: Nani agharamie fedha za kumlipa mtu atakayetekeleza fatwa. Sitanii hapa, $3.3m zimetengwa kwa atakayemuua Sulman Rushdie na waarabu wa Iran, fedha ambazo zingetosha kufanya msaada kwa waislamu wengine duniani wenye mahitaji ya kijamii. Ila kwa kuwa kuua nako ni ibada kwenu, basi zitatumika kwa suala hilo ili kumpendeza allah. Hao ni wa Iran, wanazo. Hapa kwetu za kulipia fatwa zitatolewa na nani?
OK OK OK ndo maana nikashauri kua tuongelee namna ya kwenda mbele kama wa Tanzania lakini tukianza kuulizana yaliyotokea nyuma tutajenga jamii isiyo faa nasisitiza hali ya waislam waliyonayo ni ya kusababishiwa. walioanzisha harakati za kudai uhuru ni waislaam.wole wote ambao historia yao imefutwa kwa maksudi kuanzia akina Mkwawa, Alibushiri enzi hizo mpaka uje kwa akina Hassan suleiman,Juma Ponda,mpaka akina Titi Mohammed na Abdulwahidi Sykes ambao huwakuti kwenye historia za maana wote ni waislaam wakati huo nyinyi mkiwa mmelala(vibaraka).Mwl nyerere alikaribishwa na hao wazee na mpaka akawa anafungishwa swaumu na kuomba Dua kwa ajili ya uhuru.Baada ya uhuru utakuta maisha ya Abdulwhid sykes yamefutwa katika Historia binafsi ya TANU (chama kilichokua na misingi ya mgongo wa waislam) na harakati za kudai uhuru. wataalamu na wajuzi ambao wlikua tayari (sio kama wa BAKWATA wanajua lakini DUNIA imewashika) kusema kweli kama marehemu Mufti Shekh Hassan bin Amir mwanasiasa walipokemea hayo mambo akiwa na wengine ulizia yaliyowakuta (hili sikupi).Waislamu walishakua na umoja wao wa nguvu East African Muslimu ASSocation ukavunjwa wakachukuliwa waislamu uchwara ikaundwa BAKWATA (kibaraka wa utawala).shule za waislmu zikataifishwa na wakapigwa chenga kwa kuchanganywa na za wakristo kidogo ambazo kama si zote nyingi zi sharudishwa na akachukuliwa PADRI (mwakilishi wa kanisa jina tunalo) akawekwa kwemye baraza la mitihani na ndo maana kama unakumbuka idadi ya waislaam kuongezeka kidogo ilikua mara ya kusahau akawekwa USTADH KIGOMA ALLY MALIM kua waziri wa Elimu akakuta madudu ya ajabu ndo akaleta mbinu ya kutumia namba kwenye mitihani kama kificho cha majina.Ndo maana pamoja na nia nzuri katika baadhi ya maeneo lakini sababu mojawapo ya kanisa kutaka madaraka ya Rais yapuguzwe ni baada ya kushtuka kua kwa mwamko walio nao waislaamu wa sasa sio wale waislamu poa (BAKWATA) basi huko mbeleni anaweza kutokea Rais wanaemtaka waislamu MTENDA HAKI (sio lazima awe muislamu) Basi kwa madaraka yake akatenda haki hata katiak maeneo mliyozoeshwa kubebwa basi mnaona ngoma itakua nzito.Ndo maana moja ya misingi ya Amani ni HAKI hasa waislamu wa sasa ambao sio poa wanapo ona haki ile pale halafu hawapewi automatically watifuata wenyewe.Haki chukua mfano Mpendwa tulie nae sasa kajenga shule za Kata na Barabara katika maeneo yote bila kujali ukanda wa wakristo wala waislamu Bagamoyo, Kigoma na kusini walikosa nn tangu Uhuru??? kwahiyo nashuri Tusikumbushane hayoo ila tujadili namna ya kurekebisha hayo sisi kama wa Tanzania tusonge mbele Mungu ni wawoote na Uislaamu unahimiza saana watu wa jamii tofauti kuishi pamoja kwa kuvumiliana na bila lumdhulumu mwenzie.sisi hatutaki aje Rais mwenye kuwadhulumu kwa vile Tunaogopa kuulizwa siku ya KIAMA.
 
OK OK OK ndo maana nikashauri kua tuongelee namna ya kwenda mbele kama wa Tanzania lakini tukianza kuulizana yaliyotokea nyuma tutajenga jamii isiyo faa nasisitiza hali ya waislam waliyonayo ni ya kusababishiwa. walioanzisha harakati za kudai uhuru ni waislaam.wole wote ambao historia yao imefutwa kwa maksudi kuanzia akina Mkwawa, Alibushiri enzi hizo mpaka uje kwa akina Hassan suleiman,Juma Ponda,mpaka akina Titi Mohammed na Abdulwahidi Sykes ambao huwakuti kwenye historia za maana wote ni waislaam wakati huo nyinyi mkiwa mmelala(vibaraka).Mwl nyerere alikaribishwa na hao wazee na mpaka akawa anafungishwa swaumu na kuomba Dua kwa ajili ya uhuru.Baada ya uhuru utakuta maisha ya Abdulwhid sykes yamefutwa katika Historia binafsi ya TANU (chama kilichokua na misingi ya mgongo wa waislam) na harakati za kudai uhuru. wataalamu na wajuzi ambao wlikua tayari (sio kama wa BAKWATA wanajua lakini DUNIA imewashika) kusema kweli kama marehemu Mufti Shekh Hassan bin Amir mwanasiasa walipokemea hayo mambo akiwa na wengine ulizia yaliyowakuta (hili sikupi).Waislamu walishakua na umoja wao wa nguvu East African Muslimu ASSocation ukavunjwa wakachukuliwa waislamu uchwara ikaundwa BAKWATA (kibaraka wa utawala).shule za waislmu zikataifishwa na wakapigwa chenga kwa kuchanganywa na za wakristo kidogo ambazo kama si zote nyingi zi sharudishwa na akachukuliwa PADRI (mwakilishi wa kanisa jina tunalo) akawekwa kwemye baraza la mitihani na ndo maana kama unakumbuka idadi ya waislaam kuongezeka kidogo ilikua mara ya kusahau akawekwa USTADH KIGOMA ALLY MALIM kua waziri wa Elimu akakuta madudu ya ajabu ndo akaleta mbinu ya kutumia namba kwenye mitihani kama kificho cha majina.Ndo maana pamoja na nia nzuri katika baadhi ya maeneo lakini sababu mojawapo ya kanisa kutaka madaraka ya Rais yapuguzwe ni baada ya kushtuka kua kwa mwamko walio nao waislaamu wa sasa sio wale waislamu poa (BAKWATA) basi huko mbeleni anaweza kutokea Rais wanaemtaka waislamu MTENDA HAKI (sio lazima awe muislamu) Basi kwa madaraka yake akatenda haki hata katiak maeneo mliyozoeshwa kubebwa basi mnaona ngoma itakua nzito.Ndo maana moja ya misingi ya Amani ni HAKI hasa waislamu wa sasa ambao sio poa wanapo ona haki ile pale halafu hawapewi automatically watifuata wenyewe.Haki chukua mfano Mpendwa tulie nae sasa kajenga shule za Kata na Barabara katika maeneo yote bila kujali ukanda wa wakristo wala waislamu Bagamoyo, Kigoma na kusini walikosa nn tangu Uhuru??? kwahiyo nashuri Tusikumbushane hayoo ila tujadili namna ya kurekebisha hayo sisi kama wa Tanzania tusonge mbele Mungu ni wawoote na Uislaamu unahimiza saana watu wa jamii tofauti kuishi pamoja kwa kuvumiliana na bila lumdhulumu mwenzie.sisi hatutaki aje Rais mwenye kuwadhulumu kwa vile Tunaogopa kuulizwa siku ya KIAMA.

Nashukuru kwa nia yako njema, unaonekana kujitahidi weka nia njema ingawa kwa kuumia.Ktk Bold nimependa kitu kimoja ambacho Nyerere alifanya yaani hakuvunjika moyo na alifuta kila njia ili afikie malengo ya kujenga taifa la Tanzania.Akakubali kufuata masharti ya dini ambayo kiuhalisia hakuwa muumini na mwishowe akafanikisha malengo makuu ambayao yalivuka mipaka ya dini na kabila.Sijui kwa nini waislam wengi nao hawakupitia hii njia ili kusoma kipindi ambacho hapakuwa na shule nyingi ambazo hazikuwa chiniya ukristu.Nadhani pia waislam wanahitajia pitia route kam hizo bila kupoteza imani zao kwa mashinikizo.

Haya mambo ya sijui padri nanini yanaweza amsha ubishi na kuondoa nia njema uliyoitangaza.Nasema hivyo kwa sababu pia Wakristu wanweza sema kuwa Malima alifanya kampeni za wazi za kuwapitisha waislam hata kama hawakuwa na vigezo, tayari kuna manung`uniko kuwa NSSF pia imewekwa kimkakati na sasa kuna waislam wamewekwa kila mkoa.Haya manung`uniko yote yanaweza kuwa kweli kamili, kwa kiasi au hata uongo .Yanaweza kuwa ni mapungufu ya mtu mdini aliyejikuta mahali sahihi,akafanya mambo yasiyo sahihi.

Naamini wewe ni muumini mzuri ndio maana unachangaia thread ya dini kwa taili hii.Waumini wengi hujisikia wenyewe kuwa na jukumu la kulazimisha watu wa imani yake ipate nafasi nyingi iwezekanavyo hata kama itamaanisha kuwafuta wengine.Na hili lipo wazi sana ktk vichwa vya waumini na dini na makundi mengine.(ama wasaidie ama wawakandamize wengine). Ninao marafiki waislam ambao hawajakosa kitu cha kihitajikacho kwa mwana wa muislam ila kauli zao juu ya uislam huwa tunafunga tunageuka tukidhnai anataka tutega.

Hakuna ushahidi wa wazi kuwa yaliyowakuta kweli ni mpango wa serikali au kanisa au waislam wenyewe walipoteza dira sehemu.Au ni matokeo ya wanazi ambao wakipata nafasi cha kwanza ki kushambulia kundi fulani wanaloamini kuwa si sahihi,kama ilivyo kwa watu wanaojaribu wafuta wachaga,katk siasa.Hizi mara nyingine ni unazi wa mtu mmoja mmoja kwa wakati wake,ila matokeo yake huwa mabaya kama wengi wamejikuta katka viungo muhimu.Nia ushahidi kabisa wa waislam waliowabana wenzao ili kuepusha uwepo wao kwa hofu ya kukosa uhuru binafsi hasa ktk kukumbushwa kufuata dini.Nina ushahidi mahali Muislam alikosa kazi akapewa Mkristu kwa sabau ya tofauti ya ushia na usunni.Najua wengi mtakimbia hili ila kuna ukweli mkubwa sana.Pia ninayo mifano ya Wakristu kuwabana wengine kwa kuwaona kuwa ni Wakristu sana au Wakristu pungufu, na wengine wakiwakataa waislam kwa hofu ya majinn.Haya yote hayana matokeo mazuri kiujumla.
 
Nafikiri kama WaTz mtatumia akili zenu na kuangalia Hoja hii kiuchumi na kuweka nyume nyuma UDINI basi mtaona namna ilivyowapuruchuka. Lakin mngetazama kwa wenzenu Uganda na hata msumbiji.

Kwani kama nyie mlishindwa kusoma lakin hata kuangalia jirani zako wakoje mnashindwa.

Poleni sana
 
Nashukuru kwa nia yako njema, unaonekana kujitahidi weka nia njema ingawa kwa kuumia.Ktk Bold nimependa kitu kimoja ambacho Nyerere alifanya yaani hakuvunjika moyo na alifuta kila njia ili afikie malengo ya kujenga taifa la Tanzania.Akakubali kufuata masharti ya dini ambayo kiuhalisia hakuwa muumini na mwishowe akafanikisha malengo makuu ambayao yalivuka mipaka ya dini na kabila.Sijui kwa nini waislam wengi nao hawakupitia hii njia ili kusoma kipindi ambacho hapakuwa na shule nyingi ambazo hazikuwa chiniya ukristu.Nadhani pia waislam wanahitajia pitia route kam hizo bila kupoteza imani zao kwa mashinikizo. Haya mambo ya sijui padri nanini yanaweza amsha ubishi na kuondoa nia njema uliyoitangaza.Nasema hivyo kwa sababu pia Wakristu wanweza sema kuwa Malima alifanya kampeni za wazi za kuwapitisha waislam hata kama hawakuwa na vigezo, tayari kuna manung`uniko kuwa NSSF pia imewekwa kimkakati na sasa kuna waislam wamewekwa kila mkoa.Haya manung`uniko yote yanaweza kuwa kweli kamili, kwa kiasi au hata uongo .Yanaweza kuwa ni mapungufu ya mtu mdini aliyejikuta mahali sahihi,akafanya mambo yasiyo sahihi. Naamini wewe ni muumini mzuri ndio maana unachangaia thread ya dini kwa taili hii.Waumini wengi hujisikia wenyewe kuwa na jukumu la kulazimisha watu wa imani yake ipate nafasi nyingi iwezekanavyo hata kama itamaanisha kuwafuta wengine.Na hili lipo wazi sana ktk vichwa vya waumini na dini na makundi mengine.(ama wasaidie ama wawakandamize wengine). Ninao marafiki waislam ambao hawajakosa kitu cha kihitajikacho kwa mwana wa muislam ila kauli zao juu ya uislam huwa tunafunga tunageuka tukidhnai anataka tutega. Hakuna ushahidi wa wazi kuwa yaliyowakuta kweli ni mpango wa serikali au kanisa au waislam wenyewe walipoteza dira sehemu.Au ni matokeo ya wanazi ambao wakipata nafasi cha kwanza ki kushambulia kundi fulani wanaloamini kuwa si sahihi,kama ilivyo kwa watu wanaojaribu wafuta wachaga,katk siasa.Hizi mara nyingine ni unazi wa mtu mmoja mmoja kwa wakati wake,ila matokeo yake huwa mabaya kama wengi wamejikuta katka viungo muhimu.Nia ushahidi kabisa wa waislam waliowabana wenzao ili kuepusha uwepo wao kwa hofu ya kukosa uhuru binafsi hasa ktk kukumbushwa kufuata dini.Nina ushahidi mahali Muislam alikosa kazi akapewa Mkristu kwa sabau ya tofauti ya ushia na usunni.Najua wengi mtakimbia hili ila kuna ukweli mkubwa sana.Pia ninayo mifano ya Wakristu kuwabana wengine kwa kuwaona kuwa ni Wakristu sana au Wakristu pungufu, na wengine wakiwakataa waislam kwa hofu ya majinn.Haya yote hayana matokeo mazuri kiujumla.
yes kwa kiasi fulani tumeanza kwenda pamoja mengine yanahitaji kuelimshana tu mfano ni Rahisi kwa mkristo kujigeuza mwislaamu kwa muda (aka act kama alivyofanya Mzee wetu kwani kwa imani yenu haina shida ingawa kwa imani yetu tunamuita mtu huyo mnafiki na kwa imani yetu mtu huyo akifa bila kutubia mahala pake motoni) kwetu sisi waislamu siruhusiwi hata siku moja kuiga mila ya dini yako kwani imani yako inaamini mungu baba,mwana na roho mtakatifu kwetu tunaamini kua mungu ni mmoja hakuzaa wala kuzaliwa na hafanani na kitu chochote tofauti na hayo nahesabiwa kua namshirikisha mungu na mungu yupo tayari kusamehe dhambi zoote kasoro kumshirikisha au kumfanya anamsaidizi katika uungu wake.so nikijifanya mkristo leo nikatekeleza mojawapo katika ibada yako nimerutadi. ndo kua mahala nilishauri kua yaliyopita tuyaache ushahidi wa mwl Nyerere kuwakwaza waislaamu kwa makusudi upo na yeye akiwa hai aliombwa ajibu hizi shutuma na marehemu DK Othman Harubu hakujibu mpaka anakufa. so Tujadli namna ya kusonga mbele kama watanzania tukiangalia vp kila jamii inaweza kusonga mbele hadi kufikia ustawi mzuuri bila kutumia kejeli au dharau na lugha nyingine ambazo sio nzuri.Nashauri hivyo nikiwa nina uzoefu wa kuishi katika nchi zenye migogoro ya Kidini kikabila tofauti ya kipato mgawanyo mbovu wa ardhi na mgawanyo mbovu wa pato la Taifa. mataizo yao unakuatat yana Historia ya miaka hata 80 nyuma hasa kadri watu wanavyo kaa nayo moyoni siku yakilipuka ni mtihani kaka yangu so nakushukuru unaonekana muelewa.
 
yes kwa kiasi fulani tumeanza kwenda pamoja mengine yanahitaji kuelimshana tu mfano ni Rahisi kwa mkristo kujigeuza mwislaamu kwa muda (aka act kama alivyofanya Mzee wetu kwani kwa imani yenu haina shida ingawa kwa imani yetu tunamuita mtu huyo mnafiki na kwa imani yetu mtu huyo akifa bila kutubia mahala pake motoni)
Mkuu naiona nia yako ya maridhiano ila kama ulivyosema kwa "uchungu",bado kuna element ya kutoaminiana kati yako na Wakristu.Well, sasa mtu kama mwalimu unayesema ameact akitubu kama ulivyosema atatubu kupitia dini gani ili asiende motoni?Je angebaki huko alipo bila kuact asingeenda motoni?

Ingawa siamini sana kama Mzee alikuwa an act au alikuwa kaiwasindikiza waislam.Ni mara nyingi Wakrsitu huwasindikiza waislam na wengin hujikuta wakiingia katk uislam kwa muda au kabisa.Kwa waislam pia wapo wahudhuriao maombi na kubadilika, wapo mabinti wapendao wanaume wa Kikristu tuu, wapo wapendao harusi za Kikristu tuu, na wapo waliozaliwa ktk usilam ila wanauchukia tuu bila kujua au kuwa na sababu nyingine na hivyo kujikuta wakiwasindikiza Wakristu katika matendo yao.


kwetu sisi waislamu siruhusiwi hata siku moja kuiga mila ya dini yako kwani imani yako inaamini mungu baba,mwana na roho mtakatifu kwetu tunaamini kua mungu ni mmoja hakuzaa wala kuzaliwa na hafanani na kitu chochote tofauti na hayo nahesabiwa kua namshirikisha mungu na mungu yupo tayari kusamehe dhambi zoote kasoro kumshirikisha au kumfanya anamsaidizi katika uungu wake.so nikijifanya mkristo leo nikatekeleza mojawapo katika ibada yako nimerutadi.
Naona umeamua iita dini yangu,sidhani kama mimi nina dini+Hata Ukristu si dini na unaitwa dini kwa vile hakuna neno mbadala la kuita mfumo wa imani usio wa kisiasa na utamaduni.

Well, kwa wale waaminio kwa kushawishika na mafundisho ya msingi ya imani fulani , basi huwa wamesoma Theology ya hii imani.Imani ya Utatu wa Mungu haimaanishi uwepo wa Miungu 3,ila uwepo wake.kuna vitu vingi sana vimeumbwa na Mungu vinaweza tokea kwa zaidi ya aina moja ya uhasilia wake.Sifa nyingine ya Mungu kuweza kuwepo kila mahali haipingani an ahii dhana,kwani kama anaweza kuwa kila mahalai na ni muweza wa yote, bado pia ni wazi huwekz kuwa chochote.Wengi wa wapingao utatu hawan asababu ya msingi kwanini Mungu hawezi zaa, na kwanini hastahili fanya haivyo.Mungu kama ana weka kila kitu na kuwepo kila mahali kwa mara moja sidhani kwanini ashindwe zaliwa bila toka Mbunguni?Theology ya Wakristu ni kwamba Yesu kuzaliwa haikuwa kuafafa na bindamu ili mwanadamu aabudiwe,ila kumwonyesha mwanadamu kuwa anaweza ishi bila kutenda dhambi na hivyo kuadhibiwa kwake na Mungu ni kwa haki.Bibli an Al-Quran zinaweka wazi hilo(Yesu hakuwa na dhambi).Kuhusu Utatu kwa wakristu kumaanisha miungu watatu lina matata ,kama ilivyo Mungu mmoja aktk Quran linavyoweza sumbua watu.Kila nisomapo Quran nakuta aya nyingi zikitumia neno "We,TU" na nyingine zinakuwa zinamtaja Muhamad.Wengi wa wasomaji huona kuwa Uislam una miungu wengi,kwani wakati mtu anaongea uumbaji halafu usikie anamquote Mungu akitumi "WE na si I",then its obvious kuwa anaongelea Mungu mwenzie na si Muhamad wala malaika kama ilivyo katika mistari mingine isiyotaja ""Uumbaji.Kwani hakuna Muumbaji mwingine zaidi ya Mungu na Neno Lake.Neno la mugu linaumba,Neno la Mungu hutenda.Yesu ni neno la Mungu.Kwani malaika alimwambia maria nimekuletea neno La Mungu.Na qurani inathibitisha kuwa Yesu aliumba.Na hapa hata wengine waiongezea kwa uwezo wa Mungu atajikuta akiingia ktk mchezo wa Kuku na yai.

Sidhani kama uislam unakukataza soma na kuamini Biblia au Torat,pengine hilo ni geni kwako.Ila ukisoma hivyo vitabu kuna Mengi unaamriwa kufanya ambavyo si kama uislam upendanvyo.Sidhani kama kutekeleza ibaya sahihi ya Kikritu ni dhambi hata kwa mtazamoa wa Kiislam.Otherwise Quan itakuwa imekosea inapowataka waislam kusoma vitabu vyote vilivyotangulia.



ndo kua mahala nilishauri kua yaliyopita tuyaache ushahidi wa mwl Nyerere kuwakwaza waislaamu kwa makusudi upo na yeye akiwa hai aliombwa ajibu hizi shutuma na marehemu DK Othman Harubu hakujibu mpaka anakufa. so Tujadli namna ya kusonga mbele kama watanzania tukiangalia vp kila jamii inaweza kusonga mbele hadi kufikia ustawi mzuuri bila kutumia kejeli au dharau na lugha nyingine ambazo sio nzuri
.Nashauri hivyo nikiwa nina uzoefu wa kuishi katika nchi zenye migogoro ya Kidini kikabila tofauti ya kipato mgawanyo mbovu wa ardhi na mgawanyo mbovu wa pato la Taifa. mataizo yao unakuatat yana Historia ya miaka hata 80 nyuma hasa kadri watu wanavyo kaa nayo moyoni siku yakilipuka ni mtihani kaka yangu so nakushukuru unaonekana muelewa.

Ukiwa mtenda ahki utakubali kuna majibu si kwmba yanajibika au haiyajibiki ila jibu lolote utakalotoa litakuwa na matoke mabaya.Hapo watu wengi wenye bisara huamua yapotezea.Kwa kutoa uchambuzi wa dini nyingine kwa satili fulani inayohitaji kujadili hilo halafu unataka wengine waendelee ni kuwakwanza na kuonyesha kuwa bado hujafungua moyo wako na kuongelea issues kwa urais zaidi.Najua ni ngumu kujizuia ila kama hakuna tukanana ,wala tumia maneno ya kejeli na yasiyoonyesha ukomavu ,ni rahisi kila mtu akaeleze kwa nini anaamini kitu fulani na anachukia kitu fulani.

Kuhusu masuala ya imani si mara zote ushawishi unaweza mbadili mtu dini,kwani imani ni kitu kigumu sana,kwani imani ya mtu humtuma hata kufukia mabonde kwa vitu asivyovielewa au au hata kutopenda visema ingawa anajua kuwa hayupo sahihi.

Mimi bado naamini mtu kama wewe mwenye uchungu sana,ukiamua funguka na kufuatilia vitu kwa umakini unaweza elewa kuwa kuna mengine yalitokea kweli ila mwalimu hakusika kwa makusudi au hata kabisa.najua katk haya unaweza kuwa msaada mkubwa kwa mwaslam ,kwani unaweza wapa moyo wa kuendelea na si kubaki hapa walipoangukia miaka nenda rudi.NI mahali pa kujua waisilam wenye mafweza na elimu dunia kubwa wamefanya nini kwa ajili ya kuendeleza wengine.Mashikh matajiri walao fedha za misikiti na kuwa na familia zinazopeta kwa nasa nao wanahitaji kupata ushauri wenu ,kwa kuwaonyesh akuwa kuibia msikitini angalau kwa sheria zenu nini kinasemwa.
 
Haya mambo yanayo husu Iman hua yanaleta matatizo kama busara haikutumika, zaidi kama hamna uwelewa na ushabiki ukatumika! Bahati mbaya wanasiasa wameanza kiupitia mambo haya kujipatia umaharu na kujinufaisha wao wenyewe na sio iwa mapenzi mema na Mungu muumba! Tunahitaji kua makini katika haya ili tunapo peleka hoja zetu zisije kutufanya tukakosa yote, aman na Iman zetu!
 
Oic ikiingia tz ndipo watakapo acha kuchoma makanisa na kuhamia kwenye kutuchoma wakristo wenyewe
 
Jambo kubwa ni Kwamba Kadhi anataka kula kodi za Watanzania anaposhughulikia masuala ya kidini. Yaani unafanya ibada alafu unalipwa mshahara wa kutoka kwenye kodi kanakwamba idaba hiyo ni maslahi ya nchi.
 
Kama nhi hii ingkuwa ya Kiislamu basi mahakama ya Kadhi ingetakiwa kuwepo. Kila mtanzania anahaki ya kuchangia hoja kuhusiana na kuanzishwa mahakama ya kadhi kwa kuwa kadhi atakuwa anakula kodi za watanzania, hivyo sio sahihi kudai kwamba eti habari ya kuanzanisha mahakama ya kadhi ni jambo la waislamu tu. Mambo ya dini yaishia ndani ya dini. Tunashukuru Muungu Mahakama ya Kadhi haikuanzaishwa wakati watanzania hawana uelewa mkubwa.
 
Wakuu, habari za uhakika ni kwamba mahakama ya kadhi iko kwenye "hatua nzuri" kuanzishwa. Na itaanzia mikoani "eti kwa majaribio" kabla ya kuenezwa nchi nzima. Kuna watu wameandaliwa kwenda nchi za Uganda, Msumbiji na kwingineko tena kwa gharama za serikali "eti kujifunza inavyoendeshwa". Ile hotuba ya JK ya kuwaambia waislamu kuwa hakuna mahakama ya kadhi kumbe ilikuwa dangaya toto kwa umma.
 
well said Sir!

Kwa mara nyingine tena hoja ya Bunge kupitisha sheria ya kurudisha ofisi ya Kadhi Mkuu linajitokeza tena huku waislamu wakitaka Bunge litunge sheria ya kutambua uwepo wake na wakristu wakipiga kelele kuwa kufanya hivyo ni kuvunja Katiba. Hoja yangu leo ni kuwa, Waislamu hawahitaji kibali cha serikali kuanzisha ofisi ya Kadhi Mkuu kushughulikia mambo yao yanayoendana na sheria za Kiislamu.

Waislamu wakae wao wenyewe wapitishe uwepo wa ofisi hiyo na kuendelea na shughuli zao. Ilimradi tu, maamuzi ya ofisi yao hiyo hayaingilii uhuru wa Mtanzania mwingine au utendaji kazi wa sheria zetu za makosa ya uhalifu na jinai. Pia waelewe ya kwamba uwepo wa ofisi ya Kadhi Mkuu ni subject ya Katiba ya Muungano na Mtanzania yeyote kimbilio lake la mwisho ni mahakama ya Kiraia. Zaidi ya yote, watakapoanzisha ofisi hiyo, wajue kuwa isiwalazimishe waislamu wote kutatua matatizo yao kupitia ofisi hiyo isipokuwa wale ambao kwa hiari yao wanataka kufanya hivyo.

Kanisa Katoliki kwa mfano linayo mahakama yake na sheria zinazoliongoza kanisa hilo (Canon Law) na mahakama yake hiyo ina ngazi za rufaa hadi Vaticano. Hata hivyo Mkatoliki ana haki ya kutumia sheria hizo kuhusu masuala mbalimbali ya kanisa lake, lakini anapofanya kosa la jinai, sheria za kiraia (civil law) zinakuwa na mamlaka. Hivyo basi, waislamu wasisubiri Bunge kupitisha ofisi ya Kadhi Mkuu bali waianzishe wao wenyewe huku wakiweka bayana kabisa kuwa ofisi hiyo haitahusika na makosa ya jinai au kupingana na Katiba ya nchi. Then, hakutakuwa na haja ya kugongana!!!
 
kwa nn mnataka itambulike na katiba................kunja siku mtadai hata mahari ya kuolea wake zenu mlipiwe na Serikali nyie!
msio waislamu mnaona kama mambo ya waislamu ni kutaka kuleta vita si ndio. Waacheni waislamu na dini yao na kama hamjajua lengo kubwa hapo ni mahakama kupewa haki yake yaani kesi ikishaamuliwa na kadhi haipingwi na mahakama ya nchi
 
sasa hapo ndo umepagusa japo wenyewe wanajifanya hilo sio lengo lao....nakwambia wakiruhusiqwa tu,wataenda mbali zaidi na kuitaka Serikali iwe inawalipia mahari pindi wanapo oa....sugua goti bila kuchoka!
Jambo kubwa ni Kwamba Kadhi anataka kula kodi za Watanzania anaposhughulikia masuala ya kidini. Yaani unafanya ibada alafu unalipwa mshahara wa kutoka kwenye kodi kanakwamba idaba hiyo ni maslahi ya nchi.
 
Wiki iliyopita nilianzisha thread ambayo mods waliifyekelea mbali. Nadhani iligusa masilahi yao. Leo tena narudia kukisema kile nilichokisema siku ile. Wakati wautoaji wa maoni ya katiba mpya maeneo ya Moshi bar - Ukonga, kulitokea kupishana vibaya sana kwa hoja kati ya waislamu wao kwa wao juu ya mahakama ya kadhi. Alianza ustaadhi mmoja kutoa maoni kuwa ni muhimu mahakama hiyo ikaingizwa kwenye katiba ili kuwezesha waislamu kupata haki zao, hasa katika mambo ya ndoa na mirathi ambayo yamekuwa hayatendewi haki na mahakama za serikali. Amini msiamini, hoja hii iliamsha jazba kwa kinamama waislamu na kuanza kuchangia maoni kwa kuiponda vikali. Walidai kuwa wameshagundua janja ya wanaume wa kiislamu kutaka kuwadhulumu haki zao. Kwamba mahakama ya kadhi inampendelea mwanamume kiasi kwamba hata ikitokea ndoa imevunjika, basi mwanamke hutakiwa kuchukua kile alichokuja nacho tu, kisha aondoke. Ndugu zangu hoja hii ilipingwa vikali sana tena kwa kejeli nyingi, huku wamama wakisifia mfumo wa mahakama tulionao. Hakutokea mwanamume yeyote wa kiislamu aliyethubutu kutia neno lolote juu ya hoja hiyo. So you know who wants it more!
 
Secular state na dini ni vitu mbalimbali,kwa kuwa dini nyingi zina mchango mkubwa kwa maendeleo ya nchi,si vibaya hoja zao zikajadiliwa kwa kina.Waislam wamedai kwa muda mrefu kuwa na mahakama ya kadhi,wataalam wa sheria wakae na kutushauri vizuri ili tusio husika na kadhi tuelewe kinachohitajika ili tutoe maamuzi sahihi.Kama haituhusu wakristo basi wapewe mahakama yao kwa manufaa yao,.aisha yanasonga mbele.
Tungependa hili lipite ili tujadili mambo ya maendeleo na ushindani kuliko kupotezeana muda na maswala ya kiimani
 
Back
Top Bottom