Juu ya DOWANS: Mwakyembe ashangaa kutaka kulipa matapeli

Juu ya DOWANS: Mwakyembe ashangaa kutaka kulipa matapeli

Hatukatai kuilipa Dowans,lakini kabla ya kuilipa ni lazima tujue uhalali wa malipo hayo!!

Mitambo wameleta hawakuleta?
Mitambo imejaribiwa haijajaribiwa?
Mkataba ulivunjwa baada ya kuletwa mitambo au kabla?

Ukijibu hayo maswali utajuwa uhalali wa kulipwa Dowans uko wapi.
 
We have failed to learn from similar previous cases! you are right!



Well said, aidha hao washtakiwe, wakilipwa kama alivyosema mwanakijiji waliovunja mkataba washtakiwe, Haponi mtu in either way!



well said, ni popularist and simply is dangerous than any other criminals! wo ndio waliotufikisha hapa, leo hii anasema sema tu na still kuna watu wanampigia makofi! poor Tanzanians!



Yes that is a fact whether we take it or leave it, talking words wont help it, lets all people who have caused this to be accountable. The accountable people still they are on our back to appeasing us!!!! yet some people call them heroes what a shame

Is high time to differentiate btn politics and professional..Mwakyembe is a politician in this case not a leader so to speak ! if he is a leader were was he when this case was filed and listened in the court where was his stand before HUKUMU??

sitta na mwakyembe hawakuvunja mkataba wa dowans na tanesco!!!karamagi did,..
 
Mitambo wameleta hawakuleta?Hawakuleta walirithi ya Richmond
Mitambo imejaribiwa haijajaribiwa?Haikujaribiwa
Mkataba ulivunjwa baada ya kuletwa mitambo au kabla?Hawakuwa na mitambo

Ukijibu hayo maswali utajuwa uhalali wa kulipwa Dowans uko wapi.Uko kwa JK na Mzee wako

Haya kaseme sasa.....
 
Si uliona shida na dhiki tuliokuwa nayo wakati wa Nyerere kwa ubishi wake? Mwisho akasalimu amri, rejea LONRHO wakati wa Nyerere.

watu wanachohoji ni nani analipwa fedha hizi???obviously ni rostam na lowassa and u know it,walishinikiza from the start mkataba uvunjwe,they premeditated it,idris rashid aliridhia mkataba uvunjwe kwa sababu ana mgao wake,..they r simply partners in crime...usiniulize ushahidi sababu mazingira yanaonyesha,.u and i knw it
 
Mwakyembe huna uadilifu wowote,ulificha baadhi ya data wakati wa kamati yako kwa kisingizio cha serikali kuanguka,,,leo waendeleza unafiki ule ule kwa kushangaa,shame on you
 
Mwakyembe huna uadilifu wowote,ulificha baadhi ya data wakati wa kamati yako kwa kisingizio cha serikali kuanguka,,,leo waendeleza unafiki ule ule kwa kushangaa,shame on you

Bora kasema mengi kaficha machache....ulitaka asiseme kabisa? Wewe ukifumania utasimulia kila ulichoona au vipi?
 
Sasa Tutamwona Real Owner wa Dowans Holding SA Ajitokeze Kama Kweli Yeye ni Mwanamme. Watanzania Hatutoi Pesa kwa Malipo Mpaka Tujue Maswala Yafuatayo:
  1. Aliopigia Debe au Lobby On Behalf of Dowans Holding Kuingia Mkataba na Tanesco ni Nani?
  2. Dowans Ilisajiliwa Vipi au Tender Process Ilifanikishwa Vipi?
  3. Aliesaini Mkataba na Kukubali Tanesco wa Saini na Dowans ni Nani? (Najua Jibu Rostam, Lowasa na JK Hawakosi)
  4. Alichukua Uamuzi wa Kwenda ICC Badala ya Kuchallange Validity ya Mkataba wa Tanesco na Dowans ni Nani (Najua Jibu JK na Rostam wapo hapa)
  5. Utaratibu Gani Ulitumika Kumpata Arbitrator wa Kuwakalisha Chini Tanesco na Dowans?
  6. Sababu Gani JK Kakaa Kimya ICC Ilipotoa Maamuzi?
  7. Kwanini Baraza la Mawaziri Alihusishwi Kabla ya Maamuzi ya Mwisho? (Hii Process ya Malipo Inafanyiwa Ikulu)
  8. Kwanini Wizara ya Nishati na Madini na Tanesco Wana Harakisha Kuwalipa Dowans Wakati Bei ya Umeme Imepanda na Pia Hakuna Umeme Wakutosha?
  9. Kwanini Serikali Inalipa Kipaumbele "Dowans" Wakati Wastaafu Wengi Hawajalipwa Miaka Mingi Sasa na Pia Wizara Nyingi Hakuna Pesa (Elimu na Afya)? Serikali Inatoa Wapi Pesa?

hapo kwenye red, Kwa sababu DOWANS ni JK na JK ndiyo DOWANS.
 
Nyambala,

Hata Fizikia kama hiyo Law of Motion uliyoandika, inafanya kazi kwenye speed zote zilizo chini ya speed ya Mwanga. Zaidi ya hapo hiyo Law haifanyi kazi tena.

Nafikiri hawa dawa ni ndigo sana kwangu mie:

1. Wasilipwe hasa pale HUKUMU ikipelekwa mahakamanin Tanzania kusajiliwa.

2. Walipwe ndiyo ila WAHUSIKA wakamatwe na KUPIGWA RISASI uwanja wa TAIFA.
 
Akifafanua kuhusu msimamo wake wa kitaalamu, ambao alisisitiza ni tofauti na wa kisiasa, Dk. Mwakyembe alisema ana shauku ya kujua ni kwa namna gani serikali imepoteza kirahisi kesi hiyo, ambayo alisema hata mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa digrii ya sheria angeweza kuisimamia na kushinda.
HAPO NDO MJUE KWELI MWISHO WA UBAYA NI AIBU.
 
Naanza kuitilia shaka credibilty ya Harrison Mwakyembe. Sababu kubwa ni kutuambia kuwa Richmond Development ni kampuni hewa, wakati tunaona wanashitakiwa huko Merekani, sasa hawa mawakili watakuwa wanaishitaki kampuni hewa? Na hawa majaji wa Merekani kutoka April Mwaka jana wanasikiliza kesi ya kampuni hewa? Hapa panaanza kunifanya nimtilie mashaka huyu Mheshimiwa?

Dowans Holdings S.A. et al v. RDEVCO, LLC



Plaintiffs: Dowans Holdings S.A. and Dowans Tanzania Limited
Defendant: RDEVCO, LLC
Case Number: 4:2010cv01086
Filed: April 2, 2010
Court: Texas Southern District Court
Office: Houston Office
County: Harris
Presiding Judge: Nancy F. Atlas
Nature of Suit: Contract - Recovery of Overpayment and Enforcement of Judgment
Cause: 28:1332
Jurisdiction: Diversity
Jury Demanded By: Plaintiff

Source: Dowans Holdings S.A. et al v. RDEVCO, LLC :: Justia Dockets & Filings
hebu acha kupotosha watu hapa hiyo redvco na rdl ni kampuni mbili tofauti na ndio maana kwenye report ya mwakyembe kulikuwa na hoja ya "trade as kwamba mojawapo ni jina la biashara na hiyo ya redvco ni kampuni ya ku-print i.e printing company nyingine iliyo tia saini na tanesco haipo kwenye usajili wowote.
 
Thank you. Hawa kina Dr. Mwakyembe na Sitta ni mavuvuzela ya CCM tu hawana lolote.

Walidandia hoja ya ufisadi na kujidai wapiganaji kumbe hamna kitu zaidi ya kuchumia tumbo tu.

Vikaragosi vya ufisadi.....mnaishia kulipwa hela ya bia na sigara , wenzenu wakiwafyonya kwa kuwapigia debe. Shame on you, Ptu! natema mate.....
 
Soma vizuri hukumu, mkataba ni baina ya Dowans na Tanesco. ICC huwezi kukiuka hukumu yao na nchi ikikataa kulipa kitachofatia ni kutolewa kwenye uanachama wa ICC, sasa sijui hapo biashara zako utafanya na nani kwani nchi nyingi na bidhaa za biashara kubwa lazima ziidhinishwe na Chemba za biashara. Hapo ndio panakuwa patamu. Hili ni pigo kubwa kwa waTanzania.

Nilisema na ninasema tena, aliyesababisha hili ni yule aliyekurupuka na kuvunja mkataba halali na si yule aliyeweka mkataba.
mzee wa kariakoo hebu punguza uongo icc ina shughulika na kutatua migogoro ya kibiashara pande mbili zikikubaliana na hii ni kupunguza gharama za kesi kwenye mahakama za kawaida. hivyo tunaweza tusitekeleze hii hukumu na tukaendelea kufanya biashara na makampuni mengine. biashara za kimataifa zina kuwa regulated na unctad, na protocol zingine za kibiashara kama acp, eu, nk., hii mikataba ya icc pia hutumika zaidi kwenye nchi zenye serikali vigeu geu, ama sivyo sheria za tanzania au za nchi kakamavu zinafaa tu kutumika pale nia nzuri inapokuwepo kati ya muuzaji na mnunuzi. na si kila mkataba lazima uridhie mambo ya icc, na pia sio nchi zote zinaridhia kwenye usuluhishi wa icc. leo hii mimi ninapo nunua gari japan sio kufanya biashara? na je wakinipatia gari tofauti na nilivyo agiza nitaenda icc? ninaweza kufungua kesi huko japan, naweza nikawasiliana na afisa biashara katika ubalozi wao , naweza wasiliana na chambers of commerce yao nk nk, au naweza nikashitaki tanzania na wao wakatakiwa kuja kujitetea, wakikata mahakama inaweza wapiga marufuku kuleta bidhaa zao tanzania nk nk
 
Utachekwa kwa kusema uongo.

Inanijia picha kwamba wewe utakuwa ndio RA au wakala wake aliyejiunga JF kwa malipo toka kwa RA ili atete hoja zinazomhusu RA. Sawa bwana kazi ni kazi ilimradi mkono uende kinywani japo kuwa hii unafanya kazi haramu.
 
Tukisoma Taratibu Zenyewe za ICC Tunaona Kwamba Serikali ya JK na CCM Wamevunja Sheria za Tanzania na Kudharau Mahakama Kuu ya Tanzania. Tusome Hapa Chini Kutoka Website ya ICC:

Often the parties are from markedly different national, cultural and legal backgrounds.
They want to avoid litigation because they fear bias by national courts, are unfamiliar with national court procedures and want to be spared damaging publicity. ICC arbitration is an attractive alternative because it is international and confidential. Usually, it is less time-consuming and less expensive than litigation.

he Court organizes and supervises your arbitration and helps in overcoming obstacles. It does not itself resolve disputes, a task that is carried out by independent arbitrators. The Court makes every effort to ensure that the award is enforceable in national courts if need be, although in practice the parties usually comply

Under ICC Rules, the parties can choose the arbitrators, the place of arbitration and which rules of law should apply. They can even indicate a target date for completing the arbitration and estimate approximate costs in advance in full confidence that the Court will exercise control over the choice of the arbitrators, over the procedure, over the costs and over the award

Ukisoma Yote Haya Tutaona Jinsi Gani JK na Rostam Wametuchezea Ngoma Watanzania. Wanafikiri Hatujui Jinsi ya Kuresearch na Kupata Information Sahii. Huu Ndio Mwisho wa CCM na JK...
Maamuzi ya ICC yana maanisha serikali imeshindwa,ni aibu kwa serikali na taifa kwa ujumla,Serikali ijiuzulu,iundwe serikali ya mpito.Waliokula njama, kuliibia na kusababisha hasara kubwa kwa taifa letu wafunguliwe mashitaka ya kuhujumu uchumi,ikibidi wanyanganywe urai,wafilisiwe mali zao zote,wanyongwe kama China.Hivi ni vita kama vita vya Kagera au vita vya kuzikomboa nchi kusini mwa Afrika.Mapambano bado yanaendelea.
 
Back
Top Bottom