Lion's Claws
Member
- Apr 3, 2012
- 30
- 14
Nani amchague jambazi? Si ndiyo atakuja kutuibia kabisa! Magamba hawana chao hata wakimleta Askofu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu si alitakaswa na mahakama ya rufaa kama alivyotakaswa Rage.
Hivi nani alikuwa hakimu kiongozi kwenye mahakama ya rufaa na hivi sasa yuko wapi?Mkuu si alitakaswa na mahakama ya rufaa kama alivyotakaswa Rage.
CCM Watashinda kwa kura za Vijijini
Jambazi ni jambazi tu labda kama wangesema sasa ameokoka hapo anaweza kuaminika, laikini Mahakama kumtakasa mtu hiyo ni mpya kabisaMkuu si alitakaswa na mahakama ya rufaa kama alivyotakaswa Rage.
Huyu si ndio yule aliyefungwa kwa ujambazi?kweli MAGAMBA yameishiwa yani yanataka kusimamisha JAMBAZI lakini sina hofu na machalii.
Justin Nyari alishafungwa kwa kosa la jinai. Haruhusiwi kugombea.
Nyari na Banjoo wameandikwa katika vitabu vya Historia ya Arusha kwa kuteka magari kule kikatiti na kingori na kuwaibia pamoja na kuuwa watu wasiokuwa na hatia. Wakijaribu tu kumleta huyu jambazi wajue imekula kwao kwani hakuna mwananchi aliyeko tayari kuona mji wa Arusha ukirejea tena katika ujambazi ambao pioneer wake alikuwa Nyari. Wahindi ndo hawatampa kura kabisa kwa sababu aliwapora wengi Tanzanite wakielekea kusafirisha airport.
Jambazi ni jambazi tu labda kama wangesema sasa ameokoka hapo anaweza kuaminika, laikini Mahakama kumtakasa mtu hiyo ni mpya kabisa
Hivi nani alikuwa hakimu kiongozi kwenye mahakama ya rufaa na hivi sasa yuko wapi?
kwa hiyo wanataka kumuweka jambazi, haishangazi kwani ni sera zaoWanabodi. Habari kutoka Arusha zimemtaja mfanyabiashara maarufu wa madini ya Tanzanite, Justin Nyari ambaye ni Diwani wa Kata ya Marerani ametajwa kuanza mikakati kuwania jimbo hilo. Kwa sasa anasubiri rufaa ya Lema...ameona ni bora kuanza sasa kuonesha nia ya kugombea ili mchakato ukifika iwe rahisi kupiga kampeni. CCM Arusha wanasema safari hii lazima waweke mtu makini mwenye ushawishi.
Wanabodi.
Habari kutoka Arusha zimemtaja mfanyabiashara maarufu wa madini ya Tanzanite, Justin Nyari ambaye ni Diwani wa Kata ya Marerani ametajwa kuanza mikakati kuwania jimbo hilo.
Kwa sasa anasubiri rufaa ya Lema...ameona ni bora kuanza sasa kuonesha nia ya kugombea ili mchakato ukifika iwe rahisi kupiga kampeni.
CCM Arusha wanasema safari hii lazima waweke mtu makini mwenye ushawishi.
Mbona Lema alikuwa jambazi mwizi wa magari na akapewa kura? Arusha mjini hawajali sana historia ya ujambazi wa mtu, muhimu kwao uwe chalii mwenzao tu.
kwa hiyo wanataka kumuweka jambazi, haishangazi kwani ni sera zao