Justin Bieber dogo anasubiribkifo tu naona kama kadata

Justin Bieber dogo anasubiribkifo tu naona kama kadata

Najitolea kukusanya michango ya kumpeleka Justin Bieber Sober house, kwa mwenye chochote aje Pm nimpe namba ya mchango kutoa ni moyo utabarikiwa na kupata kikubwa zaidi kwa kile utakachotoa

Bwana awabariki sana Ameen.
Fanya kazi
 
Bad memories zinamtesa.

Akikumbuka aliyofanyiwa na didy ili azidi kupata mafanikio na umaarufu anazidi kuchoka anaona kutumia unga kushusha stress huku akibomoa afya yake.
Hamna hizo ni propaganda tu za watu weusi Ili kumchafua dogo kwakua yupo vizuri kimziki kuzidi wao
 
Huyu dogo alikua bonge Moja la msanii ila Sasa hivi naona madawa yashampeleka puta naona anasubiri kifo tu sababu hata ngoma mpya hamna kashazeeka na madawa kipi. Kipo nyuma Kwa huyu dogo mwenye sauti ya kipekee kwenye muziki
Dogo amepitia mengi sana nadhani ana depression. Akina diddy, mishangazi hadi kuna moja lilimvamia kumkiss wakati wa tuzo laiti angefanyiwa hivyo mwanamke dunia nzima ingemtetea ila kwakuwa alikuwa dogo wa kiume likaonekana jambo la kawaida
Dogo atakuwa na depression kwa aliyopitia
 
Dogo amepitia mengi sana nadhani ana depression. Akina diddy, mishangazi hadi kuna moja lilimvamia kumkiss wakati wa tuzo laiti angefanyiwa hivyo mwanamke dunia nzima ingemtetea ila kwakuwa alikuwa dogo wa kiume likaonekana jambo la kawaida
Dogo atakuwa na depression kwa aliyopitia
Hiyo ya Diddy ni propaganda tu
 
aende mahakamani akaombe kuvunja ndoa awe hurulasivyo atakufa kwa msongo wa mawazo
 
Back
Top Bottom