Wee alikuwa ana miaka sijui 14 yule maza over 40s. Kisheria ni kosa sema ikiwa mwanaume watu hufumba macho.Kawaida tu hiyo hamna mtoto wa kiume mdogo Kwa mwanamke
Wee alikuwa ana miaka sijui 14 yule maza over 40s. Kisheria ni kosa sema ikiwa mwanaume watu hufumba macho.Kawaida tu hiyo hamna mtoto wa kiume mdogo Kwa mwanamke
Ifute.We mbona umeweka alama ya kuuliza na huna ulichouliza
Kwahiyo Diddy ndio kamtambulisha Justin Bieber kwenye mzikiJustin alitambulishwa na usher kwa diddy, na wakawa wanangout wakati huo alikuwa mdogo akiwa na umri wa miaka 13 hivi.
Sasa kuna uwezekano hakuwahi kumfanya chochote lakini hayo ni mastory ya mtaa
NiniIfute.
Ulimanisha nini uliposema kuwa madawa yampeleka puta?.... Nashindwa kuelewa kwanini unauliza tatizo.Tatizo sijui nini Kwa huyu dogo
Nimesema kuwa usher alimtambulisha justin kwa didy yani alimu-introduce justin kwa didy na wakawa wanahangout... hope umeelewa.Kwahiyo Diddy ndio kamtambulisha Justin Bieber kwenye mziki
Alama ya kuuliza.Nini
Kwahi ukitambulishwa Kwa shoga na wewe unakua shoga si ndioNimesema kuwa usher alimtambulisha justin kwa didy yani alimu-introduce justin kwa didy na wakawa wanahangout... hope umeelewa.
Propaganda za mtu mweusiP Diddy ndo wakulaumiwa
umeelewa lakini mbona unasoma halafu huelewi... Hapo nimemalizia kwa kuwakmbia baada yahapo justin na diddy wakawa wanahangout sana na justin alikuwa akihudhuria party za diddy. Hicho ndicho chanzo cha haya maneno yote ukizingatia justin wakati huo alikuwa minorKwahi ukitambulishwa Kwa shoga na wewe unakua shoga si ndio
We uliwaona wakihangout mara Kwa mara na kwenye hizo party wewe uliingia ukamuona huyo dogoumeelewa lakini mbona unasoma halafu huelewi... Hapo nimemalizia kwa kuwakmbia baada yahapo justin na diddy wakawa wanahangout sana na justin alikuwa akihudhuria party za diddy. Hicho ndicho chanzo cha haya maneno yote ukizingatia justin wakati huo alikuwa minor
Kwani wewe unayepingana naye ulikuwepo kujua kuwa yanayosemwa si ya kweli?We uliwaona wakihangout mara Kwa mara na kwenye hizo party wewe uliingia ukamuona huyo dogo
Waaambbbrrriiiiieeeee hao Bladifaken wahedMaskini akimuonea huruma tajiri 🤣🤣🤣.
Nendeni VETA bladifakeni mkapate ujuzi.
Inashangaza sana aisee..Maskini akimuonea huruma tajiri 🤣🤣🤣.
Nendeni VETA bladifakeni mkapate ujuzi.
Napingana Naye sababu hamna vitu ulivyoelezea sehemu yeyote ndio maana nikakuuliza ulikuepo kwenye hizo party za Diddy ambazo Bieber alikua anahudhuria maana umesema mara Kwa mara inamaana hua unakuwepo eneo la tukioKwani wewe unayepingana naye ulikuwepo kujua kuwa yanayosemwa si ya kweli?
Kafanya maagano na mashetani kupitia Pdiddy., ni hatari sanaTatizo sijui nini Kwa huyu dogo
Propaganda za kibaguzi za mtu mweusiKafanya maagano na mashetani kupitia Pdiddy., ni hatari sana
Wakapate Ujuzi wa kufa??Maskini akimuonea huruma tajiri 🤣🤣🤣.
Nendeni VETA bladifakeni mkapate ujuzi.