Arsenal Gunner
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 10,891
- 17,696
Huyu dogo alikuwa bonge Moja la msanii ila Sasa hivi naona madawa yashampeleka puta naona anasubiri kifo tu sababu hata ngoma mpya hamna kashazeeka na madawa kipi. Kipo nyuma Kwa huyu dogo mwenye sauti ya kipekee kwenye muziki.