Justin Bieber dogo anasubiribkifo tu naona kama kadata

Justin Bieber dogo anasubiribkifo tu naona kama kadata

Napingana Naye sababu hamna vitu ulivyoelezea sehemu yeyote ndio maana nikakuuliza ulikuepo kwenye hizo party za Diddy ambazo Bieber alikua anahudhuria maana umesema mara Kwa mara inamaana hua unakuwepo eneo la tukio
Hizo party sikuwepo kama ambavyo wewe unayepinga hukuwepo. Na nimekwambia ndio chanzo cha hizi habari za mtaani maana officially hakuna mashtaka yoyote yalifunguliwa juu ya diddy kumfanyia chochote Justin, lakini mitaa inaongea kwamba alifanyiwa.
 
Anavyoonekana hapo anaonekana kabisa anakula sumu ya Peru au ya Pakistani wazungu wanapenda kujaribu kila kitu wakati kuna vitu vingine sio vya kujaribu kabisaa..
 
Hizo party sikuwepo kama ambavyo wewe unayepinga hukuwepo. Na nimekwambia ndio chanzo cha hizi habari za mtaani maana officially hakuna mashtaka yoyote yalifunguliwa juu ya diddy kumfanyia chochote Justin, lakini mitaa inaongea kwamba alifanyiwa.
Kumbe udaku wa mtaani okay
 
Vijana wa siku hizi bana. Huyo dogo anaumwa ndio maana hata muziki amesimama kwa muda tena sasa hivi ana afadhali namke wake amekuwa sapoti kubwa sana kwa huyu dogo. Tafuteni habari vizuri he is sick msimsingizie mambo ya hovyo.
 
Vijana wa siku hizi bana. Huyo dogo anaumwa ndio maana hata muziki amesimama kwa muda tena sasa hivi ana afadhali namke wake amekuwa sapoti kubwa sana kwa huyu dogo. Tafuteni habari vizuri he is sick msimsingizie mambo ya hovyo.
Tunauliza tu mkuu sisi ni mashabiki zake
 
Tunauliza tu mkuu sisi ni mashabiki zake
Justin Bieber has been diagnosed with Ramsay Hunt syndrome, a rare neurological disorder that has caused paralysis in his face. He announced this in a video posted to Instagram. Bieber had initially canceled the North American leg of his international Justice World Tour last summer after revealing he has Ramsay Hunt syndrome. (Ingia google itakusada instead ya kuja huku kama udaku)
 
Back
Top Bottom