Justin Bieber dogo anasubiribkifo tu naona kama kadata

Justin Bieber dogo anasubiribkifo tu naona kama kadata

Hiyo ya Diddy ni propaganda tu
Kwanini wadhani ni propaganda?
Story za diddy hazikuanza leo na si yeye tu mastar wengi zamani walikuwa wanaishi kama mbwa na matendo yao tanarudi kuwatafuna.
Hata usher raymond wanadai alipokabidhiwa kwake aliipata pata.
Mwingine wanayedai alikuwa mharibifu ni jermaine dupri hasa kwa wale vijana wa kriss kross
 
Kwanini wadhani ni propaganda?
Story za diddy hazikuanza leo na si yeye tu mastar wengi zamani walikuwa wanaishi kama mbwa na matendo yao tanarudi kuwatafuna.
Hata usher raymond wanadai alipokabidhiwa kwake aliipata pata.
Mwingine wanayedai alikuwa mharibifu ni jermaine dupri hasa kwa wale vijana wa kriss kross
Propaganda tu hizo hamna kitu hapo endelea kuamini propaganda a.k.a udaku
 
Ni suala la muda tu kitajulikana ila yeye mwenyewe alishasema alipitia trauma kwenye industry ya muziki
Yah dogo kapitia mengi. Kuna ile video kakiwa kanapokea tuzo mmama anakaforce kukakiss kanakataa kama mzaha
 
Anatengeneza pesa tu kupitia mitandao Hana ugonjwa wwt zaidi labda wakutolewa rinda na ddy..

Shenzi kabs
 
Ni suala la muda tu kitajulikana ila yeye mwenyewe alishasema alipitia trauma kwenye industry ya muziki
Alisema wapi mzee mbona mnakua mnapenda kusikiliza propaganda sana yaani Ile AI waliyoitengeneza watu weusi ndio yamekua matamshi yake aisee kweli mtu mweusi ni mbaguzi wa rangi namba moja
 
Ananyea debe Kwa makosa aliyoyafanya Kwa wengine ila Kwa huyo dogo n ubaguzi wa rangi wa mtu mweusi
Kati ya makosa aliyonayo hakuna la huyu dogo, hayo ni maneno ya mtaani na wala yeye kama yeye zaidi ya kusema alifanyiwa mambo mabaya hajawahi kutaja nani alimfanyia. Si ubaguzi, mbona wanamsema kwa usher na usger hajawahi kuthibitisha.
Streets talk hapo hakuna ubaguzi ni watu wanaunga matukio
 
Kati ya makosa aliyonayo hakuna la huyu dogo, hayo ni maneno ya mtaani na wala yeye kama yeye zaidi ya kusema alifanyiwa mambo mabaya hajawahi kutaja nani alimfanyia. Si ubaguzi, mbona wanamsema kwa usher na usger hajawahi kuthibitisha.
Streets talk hapo hakuna ubaguzi ni watu wanaunga matukio
Kwani Justin Bieber katolewa kimziki na diddy
 
Huyu dogo alikua bonge Moja la msanii ila Sasa hivi naona madawa yashampeleka puta naona anasubiri kifo tu sababu hata ngoma mpya hamna kashazeeka na madawa kipi. Kipo nyuma Kwa huyu dogo mwenye sauti ya kipekee kwenye muziki
Umesema mwenyewe kuwa "madawa yanampeleka puta", alafu unauliza "nini kipo nyuma?"
 
Kwani Justin Bieber katolewa kimziki na diddy
Justin alitambulishwa na usher kwa diddy, na wakawa wanangout wakati huo alikuwa mdogo akiwa na umri wa miaka 13 hivi.
Sasa kuna uwezekano hakuwahi kumfanya chochote lakini hayo ni mastory ya mtaa
 
Back
Top Bottom