Juma na Ali Safari Mbili za Maisha

Juma na Ali Safari Mbili za Maisha

Vitendo gani sana kwani mimi na wewe yukikutana lengo ni nini?
Si ni maongezi

Mpka hapa nishakugalagaza tayali
Kumbuka umeshindwa kujibu hoja zangu kule

unajipakulia minyama punguza kipimo

Chai
kumbuka,
mimi hua sipiganagi mwenyewe bali napiganiwa na Baba wa Mbingu, na Vyote viujazavyo Ulimwengu.

Na kabisa huwa sigaligali hata kama nikiwa lonely,
Na kamwe siwezi kushindwa kujibu hoja tena kwa kiswahili kabisa? hazo najibu kwa haraka zaidi kuliko kwa lugha nyinginezo. halafu, sikumbuki ikiwa kuna hoja uliileta mbele yangu, ntafurahi ukinikumbusha kabla sijaanza safari niwe nimeijibu,

kiukweli,
nyama hua nakula sana na sijawahi kujivunga :pulpTRAVOLTA:
 
kumbuka,
mimi hua sipiganagi mwenyewe bali napiganiwa na Baba wa Mbingu, na Vyote viujazavyo Ulimwengu.

Na kabisa huwa sigaligali hata kama nikiwa lonely,
Na kamwe siwezi kushindwa kujibu hoja tena kwa kiswahili kabisa? hazo najibu kwa haraka zaidi kuliko kwa lugha nyinginezo. halafu, sikumbuki ikiwa kuna hoja uliileta mbele yangu, ntafurahi ukinikumbusha kabla sijaanza safari niwe nimeijibu,

kiukweli,
nyama hua nakula sana na sijawahi kujivunga :pulpTRAVOLTA:
Angalia tena kule ndani kwako utaona kuna hoja zangu anyway ngoja nikuache tu mkuu 🙏
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom