ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,748
- 42,182
- Thread starter
- #41
Fire 🔥 🔥Mm nakuchukulia poa tuu hata sina hizo akili za kumkariri mtu na aina yake ya uandishi.
Anyway, hili ndo la msingi 👆 tulombane ili kuweka sawa akili zetu.
Amen
Fire 🔥 🔥Mm nakuchukulia poa tuu hata sina hizo akili za kumkariri mtu na aina yake ya uandishi.
Anyway, hili ndo la msingi 👆 tulombane ili kuweka sawa akili zetu.
Amen
kumbuka,Vitendo gani sana kwani mimi na wewe yukikutana lengo ni nini?
Si ni maongezi
Mpka hapa nishakugalagaza tayali
Kumbuka umeshindwa kujibu hoja zangu kule
unajipakulia minyama punguza kipimo
Chai

Angalia tena kule ndani kwako utaona kuna hoja zangu anyway ngoja nikuache tu mkuu 🙏kumbuka,
mimi hua sipiganagi mwenyewe bali napiganiwa na Baba wa Mbingu, na Vyote viujazavyo Ulimwengu.
Na kabisa huwa sigaligali hata kama nikiwa lonely,
Na kamwe siwezi kushindwa kujibu hoja tena kwa kiswahili kabisa? hazo najibu kwa haraka zaidi kuliko kwa lugha nyinginezo. halafu, sikumbuki ikiwa kuna hoja uliileta mbele yangu, ntafurahi ukinikumbusha kabla sijaanza safari niwe nimeijibu,
kiukweli,
nyama hua nakula sana na sijawahi kujivunga![]()
karibu sana ukiona inafaa,Angalia tena kule ndani kwako utaona kuna hoja zangu anyway ngoja nikuache tu mkuu 🙏

Noma 😅karibu sana ukiona inafaa,
i'm available for everyone of you![]()
iko upande gani tena hiyo noma ndugu mdau?Noma 😅

Kuna sehemu wanapiga band hapa sasa kuna mtu kila time anasema noma sanaiko upande gani tena hiyo noma ndugu mdau?![]()
alaah kumbe leo ni sikukuu?Kuna sehemu wanapiga band hapa sasa kuna mtu kila time anasema noma sana

Poleee😅alaah kumbe leo ni sikukuu?
aise nilisahau kabisa![]()
kwahiyo bado uko unafakamia mipombe michunguuuuuu, right?🐒Poleee😅
Tokaaaaa 😅kwahiyo bado uko unafakamia mipombe michunguuuuuu, right?🐒
kumeza mpaka ukaze sura na kungata meno kweli ndrugu zango? aise kweli mnavumilia mengi dah 🐒Tokaaaaa 😅
Hapana mimi ni mwanamke siwezi Kunywa pombe za kunikomazakumeza mpaka ukaze sura kweli ndrugu zango?🐒
Okay,Hapana mimi ni mwanamke siwezi Kunywa pombe za kunikomaza
Sijakomaa na pombe ila akili ninayo mwili mzimaOkay,
kwahiyo bado hujakomaa sio?
haiuzwi kwa wenye umri wa chini ya miaka 18, tafadhali kunywa kistaarabu