Juma na Ali Safari Mbili za Maisha

Juma na Ali Safari Mbili za Maisha

Usi-rush, andika kidogo kidogo sehemu nyingine siku ukimaliza ndo sasa unahamishia huku. Otherwise uwe na wewe ni miongoni mwa wale wanapewa mirabaha kuhakikisha mabandiko hayakauki humu.
Asante sana 🙏
Kuna wanaopewa mirabaha?
 
Napenda kuandika ila ni mvivu wa kuandika hapa nilitamani hii story iwe ndefu ila tayali nakua nachoka

Nawezaje Kuandika mabandiko malefu zaidi
Yaani napenda kuandika na pia ni mvivu kuandika mpka kusoma mabandiko malefu najionea tabu🙌
Nimeumia Sana kuona bandiko limeisha Bila kugusia tusisahau kulombana 😭
 
So now umeshatoka meatu?
Hatuwezi kuonana maana huna uwezo wa kujibu kwa ufasaha hoja zangu

Utakua bubu gafla kitu sipendi au sitaki kikutokee
in fact,
hua nikikubalina na mtu kukutana nae macho kwa macho, kwangu mimi huwa ni wakati muafaka wa vitendo mbele kwa mbele,

kama ni lecture nampiga mtu kulingana na muda tuliokubaliana nae with nonstop,

kama ni kula chakula cha mchana au cha usiku hali hua ni ile ile with nonstop, ili hatimae tutimize lengo la kukutana kwa usahihi na ukamilifu wake bila hasara ya muda au rasilimali kupotea bure.

sinaga maeno mengi tukikutana :pulpTRAVOLTA:
 
That's my baby girl nayekujua Sasa 😘

N mwendo wa hasi na chanya kusuguana tuu 💦
Hivi naonekana napenda sana jigijigi et kiasi nikija na story kama hizi naonekana wa ajabu eeeh😅😅

Basi huenda hujui tu nina nyuzi nyingi sana za aina mbali mbali🫰

Ila kupeana utamu ni muhimu mnoo kulinda afya ya akili na tusema amen
 
in fact,
hua nikikubalina na mtu kukutana nae macho kwa macho, kwangu mimi huwa ni wakati muafaka wa vitendo mbele kwa mbele,
Vitendo gani sana kwani mimi na wewe yukikutana lengo ni nini?
Si ni maongezi
kama ni lecture nampiga mtu kulingana na muda tuliokubaliana nae with nonstop,
Mpka hapa nishakugalagaza tayali
Kumbuka umeshindwa kujibu hoja zangu kule
kama ni kula chakula cha mchana au cha usiku hali hua ni ile ile with nonstop, ili hatimae tutimize lengo la kukutana kwa usahihi na ukamilifu wake bila hasara ya muda au rasilimali kupotea bure.
unajipakulia minyama punguza kipimo
sinaga maeno mengi tukikutana :pulpTRAVOLTA:
Chai
 
Mm nakuchukulia poa tuu hata sina hizo akili za kumkariri mtu na aina yake ya uandishi.

Ila kupeana utamu ni muhimu mnoo kulinda afya ya akili na tusema amen
Anyway, hili ndo la msingi 👆 tulombane ili kuweka sawa akili zetu.

Amen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom