Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,646
Tufanye umeshinda! Isiwe kesi
Sikuwa nashindana.
Kwa hiyo fanya wewe.
Tufanye umeshinda! Isiwe kesi
Tufanye umeshinda! Isiwe kesi
Achana nalo hilo Mkuu, linazidi kuonesha ujinga wake tu hapa. Ogopa sana hawa CCM wanaokuja na porojo nyingi za USA humu, wakati wanaishi TANDALE tu hapo.Acha uongo mbona huku mtaani kwetu walifariki watu wawili ndani ya siku moja sikuona habari humu
Sent using Jamii Forums mobile app
SawaSikuwa nashindana.
Kwa hiyo fanya wewe.
Acha kufananisha aids na magonjwa ya ajabu ajabu, watu wenye ngoma wanapeta tu ila siyo mapresha sijui sukariJamani watu wenye presha, kisukari, hepatitis, aids, cancer.. etc jificheni, ni hatari.
Kuna article moja nilisoma siku chache zilizopita ilikuwa inasema dawa za ukimwi inaweza tumika kutibu covid kwa sababu ni antivirals. Ila wanaogopa kuipush kwa sababu hizo dawa ni expensive sana.Acha kufananisha aids na magonjwa ya ajabu ajabu, watu wenye ngoma wanapeta tu ila siyo mapresha sijui sukari
Chato ni sawa na safina, milango ilisha fungwaJamani watu wenye presha, kisukari, hepatitis, aids, cancer.. etc jificheni, ni hatari.
Acha ujinga , unafikiri kila mtu Ana akili za kipumbavu Kama zako , nimzushie kifo MTU ili nipate faida gani sasaSi ajabu unazusha tu wewe...
Siku hizi kila anayekufa Tanzania analetwa humu?
Misiba ya mtaani kwenu mnaileta humu ili mseme ni korona?
Shameful!
Kila mtu alileta utashangaa na kuamini kama corona ipo na ni hatariSiku hizi kila anayekufa Tanzania analetwa humu?
Misiba ya mtaani kwenu mnaileta humu ili mseme ni korona?
Shameful!
Wewe utakuwa ni magufuli maana ndie anaetaka kulazimisha aliefariki kwa corona isitajwe hivyo itajwe kitu ingne ili roho yake ipumue ikitajwa corona anasikia hasira hadi kwenye choooSi ajabu unazusha tu wewe...
Kuna wakati mwingine ni bora zaidi mtu kukaa kimya ili kuweka dhana tu juu upumbavu wako kuliko kutoa kauli kupelekea kuondoa shaka yeyote ya kuwa wewe ni mpumbavu.Siku hizi kila anayekufa Tanzania analetwa humu?
Misiba ya mtaani kwenu mnaileta humu ili mseme ni korona?
Shameful!
Home boy Wakati mwingine sikuelewiSiku hizi kila anayekufa Tanzania analetwa humu?
Misiba ya mtaani kwenu mnaileta humu ili mseme ni korona?
Shameful!
😂 😂 😂 😂 😂 😂Siku hizi kila anayekufa Tanzania analetwa humu?
Misiba ya mtaani kwenu mnaileta humu ili mseme ni korona?
Shameful!