Juma homera unaondoka mbeya na Siri nzito !!

Juma homera unaondoka mbeya na Siri nzito !!

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
2,308
Reaction score
4,687
Aliwahi kusema mwanafalsafa mmoja kwamba kadiri unavyopanua ndivyo wanavyotamani ! Juma homera anaondoka na kuiacha mbeya ikiwa gizani ,maswali yetu Bado alikuwa hajayajibu ! Swali la kwanza ni kweli yule kijana aliyechoma picha ya rais huko ntokela hatutamuona Tena? Swali la pili hivi ni kweli kwamba mdude nyagali hatutamuona Tena? Haya maswali juma ameondoka bila kuwajibu wanambeya !! Hatujui waliko sisi walala hoi hata wewe juma homera hata wewe umeshindwa kupata hata fununu mahali waliko? Mbeya itakukumbuka sana brother
 
Aliwahi kusema mwanafalsafa mmoja kwamba kadiri unavyopanua ndivyo wanavyotamani ! Juma homera anaondoka na kuiacha mbeya ikiwa gizani ,maswali yetu Bado alikuwa hajayajibu ! Swali la kwanza ni kweli yule kijana aliyechoma picha ya rais huko ntokela hatutamuona Tena? Swali la pili hivi ni kweli kwamba mdude nyagali hatutamuona Tena? Haya maswali juma ameondoka bila kuwajibu wanambeya !! Hatujui waliko sisi walala hoi hata wewe juma homera hata wewe umeshindwa kupata hata fununu mahali waliko? Mbeya itakukumbuka sana brother
Atakufa nayeye mda si mrefu...
 
Aliwahi kusema mwanafalsafa mmoja kwamba kadiri unavyopanua ndivyo wanavyotamani ! Juma homera anaondoka na kuiacha mbeya ikiwa gizani ,maswali yetu Bado alikuwa hajayajibu ! Swali la kwanza ni kweli yule kijana aliyechoma picha ya rais huko ntokela hatutamuona Tena? Swali la pili hivi ni kweli kwamba mdude nyagali hatutamuona Tena? Haya maswali juma ameondoka bila kuwajibu wanambeya !! Hatujui waliko sisi walala hoi hata wewe juma homera hata wewe umeshindwa kupata hata fununu mahali waliko? Mbeya itakukumbuka sana brother
ANAKWENDA KUPATA CHEO KIKUBWA, HUYU NI WA KUMWAJIBISHA. AWALETE MDUDE NA YULE KIJANA MDOGO MASIKINI!
 
Aliwahi kusema mwanafalsafa mmoja kwamba kadiri unavyopanua ndivyo wanavyotamani ! Juma homera anaondoka na kuiacha mbeya ikiwa gizani ,maswali yetu Bado alikuwa hajayajibu ! Swali la kwanza ni kweli yule kijana aliyechoma picha ya rais huko ntokela hatutamuona Tena? Swali la pili hivi ni kweli kwamba mdude nyagali hatutamuona Tena? Haya maswali juma ameondoka bila kuwajibu wanambeya !! Hatujui waliko sisi walala hoi hata wewe juma homera hata wewe umeshindwa kupata hata fununu mahali waliko? Mbeya itakukumbuka sana brother
kama damu ya watu hao imemwagika itakuwa juu yake ikimlilia popote aendapo!
 
Aviziwe nayeye afanyiwe kitu mbaya au familia yake popote alipo.
 
ANAKWENDA KUPATA CHEO KIKUBWA, HUYU NI WA KUMWAJIBISHA. AWALETE MDUDE NA YULE KIJANA MDOGO MASIKINI!
Kumwajibisha vipi?
Hivi unaona jinsi Watanzania walivyo, wao ni kuandika tu ndiyo wanajua na siku hizi hata kuandika nako wameacha siyo kivile,

Bado tuko kwenye evolution
 
Write your reply...kuna tofauti ya kukosoa na kutukana
Unafikiri kutukana ndo inakupa uhalali wa kudhulumu haki ya mtu kuishi? Kuna wakati unatukanwa kupima ustahimilivu wako kama kiongozi.Nchi imefitinika hii.Roho za hao vijana zitakuwepo Kila mahali watakapokuwa huku damu zao zikiwa mikononi mwao,machozi na Sauti za jitmai za Familia zao zitakuwa kwenye paji za nyuso zao.
 
Aliwahi kusema mwanafalsafa mmoja kwamba kadiri unavyopanua ndivyo wanavyotamani ! Juma homera anaondoka na kuiacha mbeya ikiwa gizani ,maswali yetu Bado alikuwa hajayajibu ! Swali la kwanza ni kweli yule kijana aliyechoma picha ya rais huko ntokela hatutamuona Tena? Swali la pili hivi ni kweli kwamba mdude nyagali hatutamuona Tena? Haya maswali juma ameondoka bila kuwajibu wanambeya !! Hatujui waliko sisi walala hoi hata wewe juma homera hata wewe umeshindwa kupata hata fununu mahali waliko? Mbeya itakukumbuka sana brother
Kuna watu wanaua wenzao kwa maslahi ya pesa bila kujua nayeye atakufa!
 
Unafikiri kutukana ndo inakupa uhalali wa kudhulumu haki ya mtu kuishi? Kuna wakati unatukanwa kupima ustahimilivu wako kama kiongozi.Nchi imefitinika hii.Roho za hao vijana zitakuwepo Kila mahali watakapokuwa huku damu zao zikiwa mikononi mwao,machozi na Sauti za jitmai za Familia zao zitakuwa kwenye paji za nyuso zao.
ubaya ubwela
 
Aliwahi kusema mwanafalsafa mmoja kwamba kadiri unavyopanua ndivyo wanavyotamani ! Juma homera anaondoka na kuiacha mbeya ikiwa gizani ,maswali yetu Bado alikuwa hajayajibu ! Swali la kwanza ni kweli yule kijana aliyechoma picha ya rais huko ntokela hatutamuona Tena? Swali la pili hivi ni kweli kwamba mdude nyagali hatutamuona Tena? Haya maswali juma ameondoka bila kuwajibu wanambeya !! Hatujui waliko sisi walala hoi hata wewe juma homera hata wewe umeshindwa kupata hata fununu mahali waliko? Mbeya itakukumbuka sana brother
Sitatoa siri nitakazozijua katika nafasi yangu bila ruhusa ya Rais
 
Aliwahi kusema mwanafalsafa mmoja kwamba kadiri unavyopanua ndivyo wanavyotamani ! Juma homera anaondoka na kuiacha mbeya ikiwa gizani ,maswali yetu Bado alikuwa hajayajibu ! Swali la kwanza ni kweli yule kijana aliyechoma picha ya rais huko ntokela hatutamuona Tena? Swali la pili hivi ni kweli kwamba mdude nyagali hatutamuona Tena? Haya maswali juma ameondoka bila kuwajibu wanambeya !! Hatujui waliko sisi walala hoi hata wewe juma homera hata wewe umeshindwa kupata hata fununu mahali waliko? Mbeya itakukumbuka sana brother

Kama wana hatia, huwa hawafiki mbali, toa mda, wanakuwa na maisha ya masononeko na majuto!
 
sisi walala hoi hata wewe juma homera hata wewe umeshindwa kupata hata fununu mahali waliko? Mbeya itakukumbuka sana brother
Mnamuonea bure Homera wa watu hata yeye hajui. Huo uhalifu unafanywa na kikosi maalumu kilichoundwa na Samia kikiongozwa na Abdul. Na hakiwajibiki wala kuwajibishwa na yeyote (wowote).
 
Back
Top Bottom