Juma Duni kubaki CHADEMA?

Juma Duni kubaki CHADEMA?

Haji Duni si mwanachama wa chadema bali ni mwanachama wa CUF , katka kugombea urais wa Tanzania huwa ivi mgombea mwanza hutoka zanzibar na kwakuwa kulikuwa na ukawa ndo ndo wakabalance wakamuweka Duni wa CUF
 
Awali ya yote natuma pongezi kwa vijana wa BAVICHA kwa ushiriki wenu mkubwa kwenye zoezi la UHURU na USAFI leo katika maeneo mbalimbali ya nchi, ikiwa ni kuonga mkono uongozi wa Rais JPM.:lock1::lock1::lock1:

Msingi wa andiko langu ni kutaka kujua aliko Babu Duni kwa vile Kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi mkuu, yameambatana na kupotea ghafla kwa Babu Juma Duni aliyekuwa mgombea mwenza wa CDM; Ndugu zangu wa CDM naomba mtujuze aliko Babu Duni kwani kwenye tukio zima la kugombea mwili wa Mawazo hakuonekana; je amesharejea CUF??
 
Lowasa ndio rais wetu, juma duni ni makamu wa rais , hawa ndio tunaowatambua,
 
Ameshatumika kama ile mipira yetu. Hutakuja kumuona tena huku bara
 
Ameshatumika kama ile mipira yetu. Hutakuja kumuona tena huku bara

Ametumika vibaya sana, wale jamaa na haswa kamanda wao mkuu kaweka mapesa kibindoni pasipo kutembeza mgawo kwa wengine; waasisi wa chama wanalalama, suala la kurudi tena keneza chama sio kipaumbele; wanashindwa hata kutoa pongezi kwa jitihada za kupiga vita UFISADI za JPM; MWAKA HUU CDM WAMESHIKWA PABAYA; Babu Duni kafutika kabisa
 
Duni angegombea ubunge au uwakilishi angekuwa ana tiketi yake ya mjengoni mda huu.
Haya mambo bwana.
Kubak cdm sizani kama atataka. Itabid achepukie cuf tena
 
Awali ya yote natuma pongezi kwa vijana wa BAVICHA kwa ushiriki wenu mkubwa kwenye zoezi la UHURU na USAFI leo katika maeneo mbalimbali ya nchi, ikiwa ni kuonga mkono uongozi wa Rais JPM.:lock1::lock1::lock1:

Msingi wa andiko langu ni kutaka kujua aliko Babu Duni kwa vile Kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi mkuu, yameambatana na kupotea ghafla kwa Babu Juma Duni aliyekuwa mgombea mwenza wa CDM; Ndugu zangu wa CDM naomba mtujuze aliko Babu Duni kwani kwenye tukio zima la kugombea mwili wa Mawazo hakuonekana; je amesharejea CUF??

Ukiwa mtu mzima alafu unakuwa mshambenga ni shida sana
 
Back
Top Bottom