Juma Duni kubaki CHADEMA?

Juma Duni kubaki CHADEMA?

Duni angegombea ubunge au uwakilishi angekuwa ana tiketi yake ya mjengoni mda huu.
Haya mambo bwana.
Kubak cdm sizani kama atataka. Itabid achepukie cuf tena

Wewe ndiye mkewe au?
 
Ametumika vibaya sana, wale jamaa na haswa kamanda wao mkuu kaweka mapesa kibindoni pasipo kutembeza mgawo kwa wengine; waasisi wa chama wanalalama, suala la kurudi tena keneza chama sio kipaumbele; wanashindwa hata kutoa pongezi kwa jitihada za kupiga vita UFISADI za JPM; MWAKA HUU CDM WAMESHIKWA PABAYA; Babu Duni kafutika kabisa

Akili yako inaongoza mataahira wenzako
 
Awali ya yote natuma pongezi kwa vijana wa BAVICHA kwa ushiriki wenu mkubwa kwenye zoezi la UHURU na USAFI leo katika maeneo mbalimbali ya nchi, ikiwa ni kuonga mkono uongozi wa Rais JPM.:lock1::lock1::lock1:

Msingi wa andiko langu ni kutaka kujua aliko Babu Duni kwa vile Kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi mkuu, yameambatana na kupotea ghafla kwa Babu Juma Duni aliyekuwa mgombea mwenza wa CDM; Ndugu zangu wa CDM naomba mtujuze aliko Babu Duni kwani kwenye tukio zima la kugombea mwili wa Mawazo hakuonekana; je amesharejea CUF??

Bado jipu lako halijatumbuliwa tu?
Likutumbuliwa utanyamaza.
 
Awali ya yote natuma pongezi kwa vijana wa BAVICHA kwa ushiriki wenu mkubwa kwenye zoezi la UHURU na USAFI leo katika maeneo mbalimbali ya nchi, ikiwa ni kuonga mkono uongozi wa Rais JPM.:lock1::lock1::lock1:

Msingi wa andiko langu ni kutaka kujua aliko Babu Duni kwa vile Kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi mkuu, yameambatana na kupotea ghafla kwa Babu Juma Duni aliyekuwa mgombea mwenza wa CDM; Ndugu zangu wa CDM naomba mtujuze aliko Babu Duni kwani kwenye tukio zima la kugombea mwili wa Mawazo hakuonekana; je amesharejea CUF??
hili swali la kijinga lishaulizwa humu zaidi ya mara 3 , hivi kwanini moderators msiunganishe hii na thread za mwanzo ?
 
Duni Haji yule Msanii wa CCM Chalii! ndembendembe! kifo cha mende! kwisha kabisa! ??? Alikuwa comedian mzuri na nyumbu walimkubali sana!
 
Khaaaaa arudi kuuza urojo na kachumbari? Anasubiri US na Allies wake watengue urais wa Dr JPM
 
Jamani Juma Duni yule mwanasiasa aliyehama CUF na kuhamia CHADEMA na kisha kuwa mgombea mwenza wa UKAWA kwa sasa kapotelea wapi? Je karudi CUF? Simsikii kabisa.

Mtujuze wenye details zozote.
 
Babu Duni yuko njia panda, arudi CUF au abaki CDM. Huku kwa ma-mvi kuna mpunga wa kufa mtu. Wajue yeye na ma- mvi walikuwa mamluki/askari wa kukodiwa,kazi imeisha,DJ hana habari nao
 
Ila Babu Duni namwonea huruma .. kweli yuko njia panda .. wamemmaliza kisiasa. Hope he made his cut!
 
Tunajua kuwa Mh Juma Duni Haji alihamia Chadema ili kukidhi matakwa ya kikatiba na kuwa mgombea mwenza wa Lowassa wakati wa harakati za mabadiliko. Baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu kutangazwa na Lowassa kushindwa, katika matukio mengi yanayohusha viongozi wa Chadema huwa namuona Lowassa, Mbowe, Mbatia, Sumaye na kiasi fulani Kingunge ndo wanaonekana. Nijuavyo mimi, Lowassa hana dhamana yoyote ya uongozi pale Chadema kwa kuwa yeye alikuwa ni mpeperusha bendera tu na hata Juma Duni Haji ilikuwa ni vivyo hivyo. Nini kinaendelea kwa Mh Jma Duni Haji kutoonekana kwenye matukio yanayohusisha Viongozi wa Chadema? Au amesharejea CUF Kimyakimya? Au ni ile Kansa ya Ukanda ndani ya Chadema inasababisha asionekane? Nini hatma yake kwenye Chama hicho mzee huyu ambaye ni Kipenzi cha Wazanzibar wengi hasa wana CUF?. Kwa mwana JF yeyote mwenye ufahamu wa kinachoendelea naomba atujuze.
 
Atarudi CUF, anapokelewa , aliondoka kwa makubaliano maalumu, na makubaliano hayo yameineemesha CUF kuliko chama kingine chote cha vinavyounda UKAWA, na kwa vyovyote kwa shinikizo la jumuiya za kimataifa CUF watapewa ushindi wawo CCM wanapiga mateke tu kwa hiyo matumaini ya Juma Duni Haji yako juu.
 
Back
Top Bottom