Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Duni angegombea ubunge au uwakilishi angekuwa ana tiketi yake ya mjengoni mda huu.
Haya mambo bwana.
Kubak cdm sizani kama atataka. Itabid achepukie cuf tena
Wewe ndiye mkewe au?
Duni angegombea ubunge au uwakilishi angekuwa ana tiketi yake ya mjengoni mda huu.
Haya mambo bwana.
Kubak cdm sizani kama atataka. Itabid achepukie cuf tena
Ukawa hawa tofauti na parapanda theatre group.
Ametumika vibaya sana, wale jamaa na haswa kamanda wao mkuu kaweka mapesa kibindoni pasipo kutembeza mgawo kwa wengine; waasisi wa chama wanalalama, suala la kurudi tena keneza chama sio kipaumbele; wanashindwa hata kutoa pongezi kwa jitihada za kupiga vita UFISADI za JPM; MWAKA HUU CDM WAMESHIKWA PABAYA; Babu Duni kafutika kabisa
Awali ya yote natuma pongezi kwa vijana wa BAVICHA kwa ushiriki wenu mkubwa kwenye zoezi la UHURU na USAFI leo katika maeneo mbalimbali ya nchi, ikiwa ni kuonga mkono uongozi wa Rais JPM.:lock1::lock1::lock1:
Msingi wa andiko langu ni kutaka kujua aliko Babu Duni kwa vile Kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi mkuu, yameambatana na kupotea ghafla kwa Babu Juma Duni aliyekuwa mgombea mwenza wa CDM; Ndugu zangu wa CDM naomba mtujuze aliko Babu Duni kwani kwenye tukio zima la kugombea mwili wa Mawazo hakuonekana; je amesharejea CUF??
hili swali la kijinga lishaulizwa humu zaidi ya mara 3 , hivi kwanini moderators msiunganishe hii na thread za mwanzo ?Awali ya yote natuma pongezi kwa vijana wa BAVICHA kwa ushiriki wenu mkubwa kwenye zoezi la UHURU na USAFI leo katika maeneo mbalimbali ya nchi, ikiwa ni kuonga mkono uongozi wa Rais JPM.:lock1::lock1::lock1:
Msingi wa andiko langu ni kutaka kujua aliko Babu Duni kwa vile Kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi mkuu, yameambatana na kupotea ghafla kwa Babu Juma Duni aliyekuwa mgombea mwenza wa CDM; Ndugu zangu wa CDM naomba mtujuze aliko Babu Duni kwani kwenye tukio zima la kugombea mwili wa Mawazo hakuonekana; je amesharejea CUF??
Wazee wa vidole juu mupoo...Chaga mojaMimi ni mkuu wa mkoa, hapa ofisini kwangu nimeweka picha ya rais Lowasa
Jamani Juma Duni yule mwanasiasa aliyehama CUF na kuhamia CHADEMA na kisha kuwa mgombea mwenza wa UKAWA kwa sasa kapotelea wapi? Je karudi CUF? Simsikii kabisa.
Mtujuze wenye details zozote.