Jumapili hii rais wetu ameshiriki misa katika Kanisa Katoliki parokia ya St. Peter, Oysterbay.
Ulimwombea kifo mzee lowassa na mpaka ulitaja ugonjwa na kusema atakufa ikulu. Kweli wewe una dini wewe. Punguza kumdhihaki Mola wako. Wallahi hii dhambi haitakuacha, lazima ikutafune siku siyo nyingi...
Kuiba kura ndio mujualo CCM.
Kwenye picha ya Meza Kuu katika mkutano wa Baraza Kuu la Uongozi wa chama cha CUF kilichoketi huko Zanzibar, anaonekana kada na mwanachama wa CHADEMA na mgombea mwenza wa Urais wa Tanzania kupitia UKAWA Babu Duni Haji akiwa kiti cha mbele kabisa.
Baraza hilo la Uongozi wa CUF limekutana ili kujadili hali ya kisiasa katika Visiwa vya Zanzibar, lakini nimeshangaa kumuona kada wa CHADEMA Babu Duni Haji akiwa "High table" kwenye meza ya viongozi wa CUF, Je, alipata mwaliko au ndio karudi kwenye chama chake cha zamani kimya kimya?View attachment 304690View attachment 304691
Hao hawana cha maana.
Wakiacha kubwabwaja watakosa ruzuku.
Ukawa ni matapeli tu na uchaguzi zanzibar unarudiwa atakaesusa na asuse tu
Jumapili hii rais wetu ameshiriki misa katika Kanisa Katoliki parokia ya St. Peter, Oysterbay.
Hiyo signature yako ungeiweka kwa Kiswahili ujumbe ungwafikia wengi sana.
Faizafox ni mdini anachukia wakristo..ila sasa ni zamu yetu...Hata maombi yangu unayajuwa? Huo uongo wako sasa unavuka mipaka. Sijawahi kusema Lowassa atakufa wapi hata siku moja. Ingawa ni ukweli kuwa Lowassa ni mgonjwa lakini mimi si mtabiri wa vifo.
Nnajuwa wote tutakufa kwa wakati wetu na wote tunatembea na umauti.
Lakini Lowassa ni mgonjwa kweli, ikiwa ukisoma huelewi basi hata picha huoni?
Ni jambo jema sana kumtanguliza Mungu mbele.