FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,800
Kabla ya hekaheka za uchaguzi na katika umoja wa ukawa ambao kwa sasa umekuwa ukiwa tuliona "watu wazima na fahamu zao" wakihama vyama kwa maslahi yao. Mmojawapo ni Juma Duni kuondoka CUF na kuhamia chadema kwa maslahi ya kujitafutia muradi wake.
Mambo hayakwenda kama walivyotarajia, Jee, atadai talaka na kurudi kwao au atabaki kwa Mbowe kama mke asiye na sauti?
Halikadhalika, Jee Lowassa atabaki kuwa anaripoti kwa Mbowe? Au Mwenyekiti wa CHADEMA atabaki kuwa mtumwa wa fedha na kuripoti kwa Lowassa?
Kingunge?
Sumaye? (hili jina hunikumbusha Marehemu Somogae wa Mombasa), wa zamani watanielewa.
Chokono.
Mambo hayakwenda kama walivyotarajia, Jee, atadai talaka na kurudi kwao au atabaki kwa Mbowe kama mke asiye na sauti?
Halikadhalika, Jee Lowassa atabaki kuwa anaripoti kwa Mbowe? Au Mwenyekiti wa CHADEMA atabaki kuwa mtumwa wa fedha na kuripoti kwa Lowassa?
Kingunge?
Sumaye? (hili jina hunikumbusha Marehemu Somogae wa Mombasa), wa zamani watanielewa.
Chokono.