Juma Duni kubaki CHADEMA?

Juma Duni kubaki CHADEMA?

Kwenye picha ya Meza Kuu katika mkutano wa Baraza Kuu la Uongozi wa chama cha CUF kilichoketi huko Zanzibar, anaonekana kada na mwanachama wa CHADEMA na mgombea mwenza wa Urais wa Tanzania kupitia UKAWA Babu Duni Haji akiwa kiti cha mbele kabisa.

Baraza hilo la Uongozi wa CUF limekutana ili kujadili hali ya kisiasa katika Visiwa vya Zanzibar, lakini nimeshangaa kumuona kada wa CHADEMA Babu Duni Haji akiwa "High table" kwenye meza ya viongozi wa CUF, Je, alipata mwaliko au ndio karudi kwenye chama chake cha zamani kimya kimya? ImageUploadedByJamiiForums1447014663.251070.jpg ImageUploadedByJamiiForums1447014679.302261.jpg
 
Kwenye picha ya Meza Kuu katika mkutano wa Baraza Kuu la Uongozi wa chama cha CUF kilichoketi huko Znz,anaonekana kada na mwanachama wa CHADEMA na mgombea mwenza wa Urais wa Tz kupitia UKAWA Babu Duni Haji akiwa kiti cha mbele kabisa.
Baraza hilo la Uongozi wa CUF limekutana ili kujadili hali ya kisiasa ktk visiwa vya Zanzibar,lkn nimeshangaa kumuona kada wa Chadema BABU DUNI HAJI akiwa "High table" kwenye meza ya viongozi wa CUF,Je alipata mualiko au ndio karudi kwenye chama chake cha zamani kimya kimya?View attachment 304690View attachment 304691

Samahani unafahamu UKAWA ni nini?
 
Hao hawana cha maana.

Wakiacha kubwabwaja watakosa ruzuku.
 
Anawakilisha CDM, katumwa na Mbowe. Chadema haikuwasimamisha wanachama wake kwa urais na makamu wake,EL na Duni walikuwa makamanda wa kukodiwa,walichukuliwa kwa mkopo. 1st 11 ilikuwa imejaa kwenye timu mama. Oparesheni imeisha,wameshindwa,kila mmoja anarudi kwake. Hata EL atarudi CCM
 
Anawakilisha CDM, katumwa na Mbowe. Chadema haikuwasimamisha wanachama wake kwa urais na makamu wake,EL na Duni walikuwa makamanda wa kukodiwa,walichukuliwa kwa mkopo. 1st 11 ilikuwa imejaa kwenye timu mama. Oparesheni imeisha,wameshindwa,kila mmoja anarudi kwake. Hata EL atarudi CCM

Hahahaha!!
Mzee wa Tbc1 bado unataka kuingiza watu chaka tena
 
Katiba za vyama vyao zinasemaje? Makubaliano yao wakati anachukua kadi ya CHADEMA yalikuwaje?
 
usije ukashangaa kumuona lowasa kwenye mikutano ya ccm..mmepigwa changa la macho
 
Ukawa ni matapeli tu na uchaguzi zanzibar unarudiwa atakaesusa na asuse tu
 
Si Lazima arudiCUF. Hapo alipo yuko sawa kabisa. Anaweza kuwa CHADEMA na akawa anafany shughuli za CUF. UKAWA sote tuko pamoja.
 
Si Lazima arudiCUF. Hapo alipo yuko sawa kabisa. Anaweza kuwa CHADEMA na akawa anafany shughuli za CUF. UKAWA sote tuko pamoja.

Subiri ruzuku zikianza kuingia ndio utajua kama mko pamoja au maigizo
 
Hao hawana cha maana.

Wakiacha kubwabwaja watakosa ruzuku.

Ulimwombea kifo mzee lowassa na mpaka ulitaja ugonjwa na kusema atakufa ikulu. Kweli wewe una dini wewe. Punguza kumdhihaki Mola wako. Wallahi hii dhambi haitakuacha, lazima ikutafune siku siyo nyingi...
 
Back
Top Bottom