Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,513
- 113,640
Wanabodi
Nimekutana Face2Face c̅ Juma Duni Haji al maarufu "Babu Duni" Mwenyekiti, ACT Wazalendo, amesema "ACT Wazalendo wamefarijika sana na hatua mbalimbali ambazo Rais Samia Suluhu Hassan anazochukua kuimarisha demokrasia nchini ambapo kikao cha Bunge cha mwezi October, kitapokea miswada 3 ya kubadili Sheria, kuunda Tume Huru ya Uchaguzi, kubadili sheria ya uchaguzi, na kurekebisha sheria ya Msajili wa vyama vya Siasa.
Juma Duni ameomba serikali itoe ratiba ya utekelezaji".
Msikilize Babu Duni.
View: https://youtu.be/YLjwcGPwzO8?si=cVk4I0D3d30aL32F
Paskali
Nimekutana Face2Face c̅ Juma Duni Haji al maarufu "Babu Duni" Mwenyekiti, ACT Wazalendo, amesema "ACT Wazalendo wamefarijika sana na hatua mbalimbali ambazo Rais Samia Suluhu Hassan anazochukua kuimarisha demokrasia nchini ambapo kikao cha Bunge cha mwezi October, kitapokea miswada 3 ya kubadili Sheria, kuunda Tume Huru ya Uchaguzi, kubadili sheria ya uchaguzi, na kurekebisha sheria ya Msajili wa vyama vya Siasa.
Juma Duni ameomba serikali itoe ratiba ya utekelezaji".
Msikilize Babu Duni.
View: https://youtu.be/YLjwcGPwzO8?si=cVk4I0D3d30aL32F
Paskali