Julius Nyerere (1987): Msingi wa Amani ni HAKI! Bila haki, huwezi kupata utulivu wa kisiasa

Julius Nyerere (1987): Msingi wa Amani ni HAKI! Bila haki, huwezi kupata utulivu wa kisiasa

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
8,551
Reaction score
20,346
GT
Haya sasa wale wajinga wajinga ambao hamtaki kutamka.neo haki sikilizeni hii.
Kiufupi HAKI ni matendo na AMANI ni Matokeo
Mfano Heshima ni matokea lazima kuna matendo lazima uyafanye kupata heshima

 
GT
Haya sasa wale wajinga wajinga ambao hamtaki kutamka.neo haki sikilizeni hii.
Kiufupi HAKI ni matendo na AMANI ni Matokeo
Mfano Heshima ni matokea lazima kuna matendo lazima uyafanye kupata heshima

View attachment 3491809
Unapoenda kudai haki yako, kwa kuwa unadhani kuna haki umenyang’anywa, zingatia amani. Kama utadai haki kwa kuvunja amani utavikosa vyote
 
Unapoenda kudai haki yako, kwa kuwa unadhani kuna haki umenyang’anywa, zingatia amani. Kama utadai haki kwa kuvunja amani utavikosa vyote
Haki haiombwi inadaiwa. Huwezi kudai kitu kwa lelemama lazima kukaza ikiwezekana kuwakosesha amani wafitini
 
Nyerere ndo architecture wa hii katiba ya mwaka 1977 ambayo ndo chanzo cha hii mess ambayo inatutesa

Sijui kwanini anapewa sifa hivyo
Nyerere genuine angekuwa mpenda haki asingekubali hii katiba iwepo
 
Matatizo yanayotokea sasa nchini ni matokeo aliyofeli Baba wa Taifa katika uongozi wake na hata baada ya kun'gatuka mwaka 1984.
Hayati Mwalimu JK alishindwa kabisa kukubali mfumo wa vyama vingi nchini Tanzania. Licha ya maoni muhimu ya kuzingatia aliyopewa na wasomi wanasheria majaji wataalam mbalimbali juu ya Tanzania iingie au isiingie kwenye mabadiliko ya kisiasa Duniani mfumo wa vyama vingi.
 

Attachments

  • TUJIKUMBUSHE PENGINE MATOKEO YA DUA YA WATANZANIA NI KUTOKANA NA HAYA..mp4
    2.1 MB
Back
Top Bottom