Julius Mtatiro ndiye 'Sunday Charles'?

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
10,827
4,172
Kwao Kiabakari - Musoma. Kaiba jina, mwenye jina kaenda mahakamani!

Hii ndiyo CUF zaidi ya uijuavyo.

Source: Clouds FM
Huyu jamaa alirudia mtihani enzi hizo darasa la saba ukirudia paper unapewa jina la kilaza aliacha shule ndo hapo mheshimiwa akapewa hilo jina la Julius Mtatiro kiuhalali jina lake ni Sunday Charles na ni kweli kwao ni Kiabakari-Madaraka-Musoma vijijini

jamaa ashawahi kuwa accused na wana CUF wenzanke over this matter...ila akajibu na kudai majina yote manne ni yake yaani Julius Sunday Charles Mtatiro...ila kipindi cha nyuma akiwa anasoma shule y msingi alikua anatumia hilo la Sunday Charles kabla ya kuswitch kwenda Julius Mtatiro kwenye elimu za Juu.
 
Huyu jamaa alirudia mtihani enzi hizo darasa la saba ukirudia paper unapewa jina la kilaza aliacha shule ndo hapo mheshimiwa akapewa hilo jina la Julius Mtatiro kiuhalali jina lake ni Sunday Charles na ni kweli kwao ni Kiabakari-Madaraka-Musoma vijijini
 
jamaa ashawahi kuwa accused na wana CUF wenzanke over this matter...ila akajibu na kudai majina yote manne ni yake yaani Julius Sunday Charles Mtatiro...ila kipindi cha nyuma akiwa anasoma shule y msingi alikua anatumia hilo la Sunday Charles kabla ya kuswitch kwenda Julius Mtatiro kwenye elimu za Juu.
 
jamaa ashawahi kuwa accused na wana CUF wenzanke over this matter...ila akajibu na kudai majina yote manne ni yake yaani Julius Sunday Charles Mtatiro...ila kipindi cha nyuma akiwa anasoma shule y msingi alikua anatumia hilo la Sunday Charles kabla ya kuswitch kwenda Julius Mtatiro kwenye elimu za Juu.

Ulivyoiongelea simpo eti kuswtch yaani hata mdada alieolewa haiwi kirahisi hivyo vilevile na wanaohama. Madhehebu iewje yeye iwe kama kutema udenda unaodondoka. Mada ianzie hapo......
 
Huyu jamaa alirudia mtihani enzi hizo darasa la saba ukirudia paper unapewa jina la kilaza aliacha shule ndo hapo mheshimiwa akapewa hilo jina la Julius Mtatiro kiuhalali jina lake ni Sunday Charles na ni kweli kwao ni Kiabakari-Madaraka-Musoma vijijini

Sasa kama utaratibu ulikuwa "Unaruhusu" kipanga aliyekosa nafasi ya kwenda Fom 1 na mzazi wake hakuwa na mahela ya kumsomesha praiveti, kosa la huyu Sunday liko wapi? Bila shaka bila mbinu hiyo ASINGEKUWA MAHALI ALIPO. Mnajua system siku hizi tofauti, kilaza anaenda fom 1 kiulaini, wakati Sunday anamaliza LY shule za kata za kina Lowasa hazikuwapo. Mie sioni tatizo hapa. Anachoweza kufanya wakimghasi sana, akaape kwa mawaliki, arudie jina lake Sunday Charles na safari iendelee!Haki sawa kwa Wooote!
 
Nimemwona mtatiro asubuhi hapa jamvini,aje atueleze ili haya mambo yasawazishwe,utata mtupu
 
Ngoja nikaongee na washili kule meru, tuone kama hili halitawakera na kumwita tindwa oh! sorry, i mean tendwa mzee wa matamko tupate senema.
 
Back
Top Bottom