Uchiwa nghambalu
Member
- Aug 28, 2020
- 51
- 101
Nasikia mtamu kuliko hata asali yenyeweYule mdogo wake namtafuta mwenye mawasiliano yake please
![](http://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji8.png)
Nasikia mtamu kuliko hata asali yenyeweYule mdogo wake namtafuta mwenye mawasiliano yake please
Kakugaia mara ngapi?Hamka kitu huyu, mgawaji tu,
Wanajidhalilishaje,au una chuki tu na udsm?Nimesoma hicho kijarida cha Jalalani, sikuona any contribution aliyoifanya kwa jamii mbali ya kupata hizo political appointments ambazo hazibainishi sababu ya kuzipata kwake. UDSM mnazidi kujidhalilisha.
Atasubiri sana, list ya wenye chama ni ndefu mnoo.Hongera kwake naona wanamtangaza sana huenda akala uteuzi
Yule aliyechumbiwa na mwanamke mwenzake?Yule mdogo wake namtafuta mwenye mawasiliano yake please
Sina chuki na UD wala Juliana, concern yangu ni mwandishi wa jarida kutokuweka contribution aliyofanya maana sidhani kama hakuna matakwa ya sifa za kipekee Ili alumni wa mwezi.Wanajidhalilishaje,au una chuki tu na udsm?
Hiyo page ni mahususi kwa ajili ya kuweka alumni wa hicho chuo,mtu yeyote hata asiye mwanasiasa anaweza kuwa alumni wa mwezi.
Sawa kabisa. Hiyo page ni mahususi kutambua mchango wa kitaaluma katika jamii na kuna vigezo, sio mtu yoyote eti ilimradi alisoma UDSM.Sina chuki na UD wala Juliana, concern yangu ni mwandishi wa jarida kutokuweka contribution aliyofanya maana sidhani kama hakuna matakwa ya sifa za kipekee Ili alumni wa mwezi.
Enheeee huyohuyoooo nina jambo naye mkuuYule aliyechumbiwa na mwanamke mwenzake?
Picha tafadhali au jina watu tumsakeYule mdogo wake namtafuta mwenye mawasiliano yake please
Julieth shonza na milembe wa migodini buzwagi, jaribu kugogle hivi.Picha tafadhali au jina watu tumsake
Watu mna code 😃Julieth shonza na milembe wa migodini buzwagi, jaribu kugogle hivi.
Tena ili Kiki, walipata umaharufu wa aibu.Watu mna code![]()