Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Jukwa la wahariri ni kijiwe tuu wanamtishia nyau Mhe.Mkuchika!. Liko kama kikao cha harusi cha watu fulani kutangaza kususia kufanya sherehe yao ukumbi fulani. Hili jukwaa halina any legal status wala registration ya aina yoyote. Afadhali kidogo MOAT japo haipo kisheria imesajiliwa kama kampuni.
Chombo halali chenye nguvu ya kisheria kumuadhibu Mkuchika ni Media Council of Tanzania (MCT) na Tanzania Journalist Association(TAJA) ambacho nadhani kiko ICU.
Wahariri wa Jukwaa la wahariri hawana ubavu wa kweli kumuadhibu Mkuchika ni magazeti machache tuu ndiyo yenye uwezo wa kweli haswa yale ambayo wahariri wake ni wamiliki kama Kubenea wengine hawana jeuri hiyo kwa vile wamiliki wanajikomba serikalini hiv
yo huo ndio mwanzo wa kugeukana na kusalitiana.
Mtathibitisha kauli yangu soon. Mhe. Mkuchika ni JK type, mbabe,Jeuri, hasikilizi wala hashauriki. Kumshauri JK kumuadhibu Mkuchika ni kesi ya nyani kuipeleka kwa ngedere
.....Lakini wengi wa wahariri walio na msimamo ndiyo habari zao zinauzika ati.
Unadhani nani bado anasoma Uhuru na daily news?