Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Na hiyo ripoti ingeathiri vipi uchaguzi wa Tarime ? Je, ni vibaya wananchi kwa ujumla wao wakijua ukweli wa mambo ? Je, hiyo ripoti ingetolewa ina maana ingesaidia CCM na Chadema haingeshinda ? Kwa hakika nashindwa kuelewa msimamo wa hili jukwaa !!
Kuhusiana na wao kuacha kutoa ripoti mimi nilishawajaji kuwa wamegeuka kuwa wanasiasa. Sikuona sababu yoyote ya wao kuihusisha ripoti yao na kampeni za uchaguzi. Niliamini kuwa waliifanya kazi yao professsionally lakini nilipomsikia Sakina akisema kuwa wameamua kuiweka kabatini rip[oti yao kwa kuhofia kujiingiza kwenye kampeni, nikabaini kuwa it was a political move