mayenga
JF-Expert Member
- Sep 6, 2009
- 4,118
- 1,966
Aliyewahi kuwa Jaji wa mahakama kuu ya Tanzania,na wakati mwingine akitumika kama Jaji wa mahakama ya rufaa Tanzania(Acting Justice of Appeal)Dan Petro Mapigano amefariki dunia tarehe 15 Jan.2011,Aga Khan Hospital.Mwili wa marehemu utaagwa katika viwanja vya Mnazi Mmoja siku ya Jumatano kuanzia saa nane mchana.Jaji Mapigano mpaka mauti yanamkuta alikuwa ni mmoja wa Mawakili katika Kampuni maarufu ya Uwakili ya FK Law Chambers iliyopo Sea View Dar es Salaam.
Bwana alileta na Ametwaa!
Bwana alileta na Ametwaa!