Retired judge dan petro mapgano is no more

Ngambo Ngali

JF-Expert Member
Apr 17, 2009
3,517
1,360
Jaji Mstaafu Dan Mapigano amefariki Dunia tarehe 15 januari 2011 katika hospitali ya Aga Khan ambako alikuwa amelazwa baada ya kupata stroke.

Maziko yanategemewa kuwa tarehe 19 Januari makaburi ya Kinondoni. Maziko hayo yatatanguliwa na shughuli za mazishi katika uwanja wa Mnazi mmoja.
 
Damn..

Nimepokea habari hizi kwa mshtuko Mkubwa.. R.I.P Hon. Mapigano
 
Back
Top Bottom