Huyu haijuwi siasa mkuuSiasa sio uadui mkuu
Ujumbe umeusoma kamanda, mjenge Nassari aifanye kazi ya ubunge kwa nguvu zake zote. Usimkwaze, imeandikwa atakayemkwaza yoyote kati ya hawa, anafaa kufungiwa mwilini jiwe kubwa halafu atupwe baharini, usiwe mmoja wa wakwazaji, jitahidi uwe mmoja wa wasambazaji wa upendo.
Huyu haijuwi siasa mkuu
Sasa umepata mikate mingapi?acha kujitoa ufahamuAlipo upo wewe,watanzania tuna mambo mengi muhimu ya kujitafutia mkate wetu wa kila siku
Mengi tuliopora yalitokana na idara nyeti za watu wa kazi, wanazo taarifa ambazo mimi na wewe tukiambiwa ni za kweli, tutasema ni uongo. Society yetu ina mambo mengi sana ambayo kwa sababu ukubwa ni jalala, yote hayo yanaelekezwa kwa mkubwa CCM. Maalim Seif, mimi na wewe hatumfahamu vizuri, tunamsikia na kumjadili kishabiki. Ninachokwambia sio hypocrisy, ni fact tupu, acha roho mbaya kwa bwana mdogo Nassari. Muache ang'are huu ndio wakati wake, don't scandalise that young fellow, let him shine.Na ile ya Usiue, Mlipomuua Mwangosi na Mawazo Mliujua Upendo? Just take your vivid hypocrisy to hell don't give me that shit! Wezi wa Madaraka Mnajua upendo Leo, Mrudishieni Maalim Seif Ushindi wake ndio mje Mniambie mna Upendo, Rudisheni zile Laptop karibu 120 za Ukawa, Taasisi ya Haki za Binaadamu, Umoja wa Assasi za jamii, Mlizopora ili kufuta Ushahidi kuwa Lowassa aliwashinda! Ndio Mje Kuhubiri Upendo, Waleteni wale wajamaa Mukwere aliyewatuma Kumtesa Ulimboka Ndio Mnieleze habari za Upendo. Dude, just shut the hell up! Habari Ndio hiyo.
Wengine Mnisamehe huwa Wanafiki wananichefua aaah!
Ni kwa kuwa mulugo kakupumbaza ndio maana hata hujui maana ya mkate wa kila siku masikini ya munguSasa umepata mikate mingapi?acha kujitoa ufahamu
Utakufa na kijiba cha roho wakati wenzako cdm wanazidi kuchanua na kung'araKabla ya kumshambulia Nassary tuanze na waliomleta Lowassa maana ule unafiki niliuchukia kuliko nilivyochukia unafiki wa Zito.
Siasa si uadui...
Sishabikii mafisadi mimi. Kama kuna wanaochanua kwa kumpokea fisadi waendelee kuchanua.Utakufa na kijiba cha roho wakati wenzako cdm wanazidi kuchanua na kung'ara
Cdm hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeSishabikii mafisadi mimi. Kama kuna wanaochanua kwa kumpokea fisadi waendelee kuchanua.
Hiyo si ndio itakuwa furaha ya nyinyi wala viwavi?ila ujue hilo jimbo ni mali ya cdm maishaMasikini Nasari... wameakuanzia na kwa walivyo na vijiroho vya hovyo watakusakama mpaka ufukuzwe kama Zitto.
Huyo mmawia ndio wale wale, ambao hawaoni wala hawasikii kwa sababu ya kumpenda mzee wa monduli. Ni kama shabiki anayempenda Messi badala ya kuipenda Barcelona. Wapo tayari kumfuata popote aendapo na kuishabikia timu atakayoichezea kwa sababu ya kumpenda yeye kwanza, yaani Messi.Sishabikii mafisadi mimi. Kama kuna wanaochanua kwa kumpokea fisadi waendelee kuchanua.
Someni Kabla Hamjajibu, Mimi Joshua simjui Kiundani wala Sina Chuki naye, Nimetathmini yaliyotokea na Haivumiliki. Kama anajitambua alitakiwa Amponde Magufuli, Huwezi Kukubali Kutumiwa kama, "Condom" Kuwatukana wenzako waliokufikisha ulipo. Na Pia kwa yaliyokuwa yakiendelea Huko Dar es salaam na Kilombero, Joshua Nassari hakupaswa kukutana na Magufuli. Ingekuwa Halima Mdee Ni dada yake Nassari angeenda Kukutana na aliyemweka Rumande kwa sababu za Kishenzi? Sasa hilo ndio naona lilikuwa Kosa Kubwa na Ujinga wa Nassari.
Niliona tetesi Jana, za habari ya Magufuli akimsifia Joshua Nassari, Kuwa Ni Kijana safi, ambaye Usoni ni Chadema lakini Ndani ni CCM. Haya yalikuwa Ni matusi ya Magufuli kwa Chadema kumtumia Nassari. Ni aibu sana na ni Unafiki Kusema ati mtu safi anayefanya Mema na anayetenda haki Ndani Ni CCM. Ni CCM ipi? Iliyoiba Ushindi wa Urais Bara? Iliyofuta Ushindi wa Zanzibar? Inayohaha Kila Mahali Kuiba Nafasi za Umeya? Iliyowarudisha wezi wote wa Escrow kwenye madaraka? Iliyokalia Uchafu wa Muhimbili, badari, TRA etc? CCM ipi ambayo huyu anazungumzia?
Najua Siku za Nyuma, Mwenyekiti Mbowe alishahudhuria na Kumsifia Kikwete na Magufuli katika Ufuunguzi wa Barabara. Lakini hakufanya hivyo wakati Wabunge na Madiwani wa Chadema wakiwa wamekamatwa na Kufuunguliwa Kesi za Kishenzi. Alichokosea Nassari ni Timing, Kuwepo kwake Ziara za Magufuli kama Kimalaya fulani, Kumemfanya Magufuli amtumie sawia kujihalalisha na Kutukana Vyama.
Joshua Nassari bwana mdogo, Nikuambie Kuwa alichokupa Magufuli sio Sifa Ni Matusi, Nimekuona Kwenye Gazeti Ukichekelea kama juha, kwa sababu hutumii akili. Wakati akina Halima Mdee, Wabunge na Madiwani wa Chadema wakiwa Rumande wewe unapeleka maninii kwenye Ziara za anayetuma unyama huu.
Na Kama Ulilazamika Kwenda, Ulitakiwa Palepale baada ya Kikao Ukanushe, "Sifa" Zile na Useme wewe Upo pale Kama mbunge wa UKAWA na Huoni sawa Kufananishwa na CCM.
Mwisho Nikuambie Nassari Mwanangu, Ulichofanya Ni sawa na Kuwapiga Mateke ya Puani na Masikio, watu mmoja mmoja wa Chadema waliopigwa na Polisi, waliowekwe jela, waliokesha waliotoa fedha, waliokupigania kuwa Mbunge. Ukitaka Kujua CCM hawana Maslahi Na wewe Mwangalie Ole Sendeka! And you are very light weight compered to many! Hata Nikikusikiliza Bungeni Joshua Wewe bado Kabisa Kukua, angalia Usijinyonge Kisiasa.
Na Kwa Ukawa Kama Josua Hatatubu, Mvumilieni amalize Muda wake, lakini akimaliza aende atakako. Msimpe tena Tiketi ya Kugombea Ubunge Arumeru. Ni bora jimbo lipotee Kuliko kuwa na Mbunge anayesaliti Wenzake waliompigania