Dogo1
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 1,356
- 580
Omba radhi kwa niaba yake ili umalize kinyongo ulichonacho mkuuJoshua Nassari anatakiwa aombe Radhi, Nyie CCM, you can not talk me down by your apparent hypocrisy!
Omba radhi kwa niaba yake ili umalize kinyongo ulichonacho mkuuJoshua Nassari anatakiwa aombe Radhi, Nyie CCM, you can not talk me down by your apparent hypocrisy!
Siasa za ugomvi, siasa za kupigana na mamlaka ndizo wanazozipenda. Yale maneno ya mzee Mkapa pale Jangwani mwaka jana wakati wa kampeni, yaliwaudhi watu lakini message ilikuwa delivered.Kuna member mmoja ali-comment mahali last year kwamba ,Nasari lazima ataundiwa zengwe na team Lowassa ili hilo jimbo alichukue Sioi Sumari next election"
Naona figisu zimeanza mapema sana!!
Hata hivyo Nasari na Prof J hawazimudu siasa za kianaharakati za CDM ambazo umahiri wako katika kujenga chama unapimwa kwa wewe kuhojiwa na polisi mara nyingi ama kulala mahabusu.
Mh. Nassari, mimi ni mkazi wa jimboni kwako kitongoji cha Nambala. Wewe ni mbunge wetu na unatuwakilisha sisi wanajimbo. Hawa akina Marandu, wazushi, wafitina ndo hawatutakii mazuri jimboni. Tulio wengi na tulio kupigia kura tunakufananisha na marehemu Filipokujombe, mwana ccm, lakini mpenda maendeleo ya watu wote. Achana na siasa zisizo na tija kama za akina Marandu. Hapa ni kazi tu, CDM mbele.
Punguza temperature au mihemuko Marandu kha!!Nassari anatakiwa aombe radhi
aNiliona tetesi Jana, za habari ya Magufuli akimsifia Joshua Nassari, Kuwa Ni Kijana safi, ambaye Usoni ni Chadema lakini Ndani ni CCM. Haya yalikuwa Ni matusi ya Magufuli kwa Chadema kumtumia Nassari. Ni aibu sana na ni Unafiki Kusema ati mtu safi anayefanya Mema na anayetenda haki Ndani Ni CCM. Ni CCM ipi? Iliyoiba Ushindi wa Urais Bara? Iliyofuta Ushindi wa Zanzibar? Inayohaha Kila Mahali Kuiba Nafasi za Umeya? Iliyowarudisha wezi wote wa Escrow kwenye madaraka? Iliyokalia Uchafu wa Muhimbili, badari, TRA etc? CCM ipi ambayo huyu anazungumzia?
Najua Siku za Nyuma, Mwenyekiti Mbowe alishahudhuria na Kumsifia Kikwete na Magufuli katika Ufuunguzi wa Barabara. Lakini hakufanya hivyo wakati Wabunge na Madiwani wa Chadema wakiwa wamekamatwa na Kufuunguliwa Kesi za Kishenzi. Alichokosea Nassari ni Timing, Kuwepo kwake Ziara za Magufuli kama Kimalaya fulani, Kumemfanya Magufuli amtumie sawia kujihalalisha na Kutukana Vyama.
Joshua Nassari bwana mdogo, Nikuambie Kuwa alichokupa Magufuli sio Sifa Ni Matusi, Nimekuona Kwenye Gazeti Ukichekelea kama juha, kwa sababu hutumii akili. Wakati akina Halima Mdee, Wabunge na Madiwani wa Chadema wakiwa Rumande wewe unapeleka maninii kwenye Ziara za anayetuma unyama huu.
Na Kama Ulilazamika Kwenda, Ulitakiwa Palepale baada ya Kikao Ukanushe, "Sifa" Zile na Useme wewe Upo pale Kama mbunge wa UKAWA na Huoni sawa Kufananishwa na CCM.
Mwisho Nikuambie Nassari Mwanangu, Ulichofanya Ni sawa na Kuwapiga Mateke ya Puani na Masikio, watu mmoja mmoja wa Chadema waliopigwa na Polisi, waliowekwe jela, waliokesha waliotoa fedha, waliokupigania kuwa Mbunge. Ukitaka Kujua CCM hawana Maslahi Na wewe Mwangalie Ole Sendeka! And you are very light weight compered to many! Hata Nikikusikiliza Bungeni Joshua Wewe bado Kabisa Kukua, angalia Usijinyonge Kisiasa.
Na Kwa Ukawa Kama Josua Hatatubu, Mvumilieni amalize Muda wake, lakini akimaliza aende atakako. Msimpe tena Tiketi ya Kugombea Ubunge Arumeru. Ni bora jimbo lipotee Kuliko kuwa na Mbunge anayesaliti Wenzake waliompigania
Bora sasa Unafiki Umeweka Pembeni Unajitaja wazi Uko Upande gani, Mzee wangu Alinacha! ota tusasa wewe unahorojoka nini? alichofanya nassari ni kwenda sawa na watu wake. watu wa arusha kwa sasa ni watu wa magufuli. nyie kaeni kalaka bao kama mtakuta kitu arusha 2020.
a
Punguza temperature au mihemuko Marandu kha!!
We ukisufiwa huwa unaomba radhi!?
Siasa sio uhadui, naanza kukubali juu ya mkwe wa Lowasa na vigisuvigusi anazopigwa Hero Nassari, mbunge kijana lakn mwenye kujua nini maana ya uongozi na kuongoza!
By the way we Marandu ni mrombo na Jushua ni Mumeru iyo pilipili ya Meru inakuwashia nini!?
Nassari anatakiwa aombe radhi kwa wenzake, he did something which would be ok, but was at a wrong time and very thoughtless. There is no need to be palling around with CCM leaders, regardless who does it, I would say the same thing if the same thing was Done at this moment, by Mbowe, Lissu, Msigwa, Lowassa or whoever. It will be selfish and equally betrayal to those who are being oppressed now. I am aware and I said it in the original presentation, am aware when Magufuli was still the Minister for Works and Infrastructure, he was once praised by Mbowe, Halima, Mnyika and many other. I for one Liked Magufuli a lot. But then nothing bad was going on, Neither Magufuli was in a possition to send the Police to oppress members of opposition as it is Now.
Now I should say again yes am very angry at these hypocrites, these bastards who are here pretending to praise Nassari, and I have spent a Moment to go through samples of them they are all CCM. What make you think they are defending Nassari genuinely or because he facilitate himself to Magufuli as a puppet.
They Went far as to say I was brought to UKAWA by Lowassa, None sense, I have said it a thousand times, Lowassa Don't Know me, I've never meet him, I've never meet with any CHADEMA leader, I got into Campaigning for UKAWA because I hated What CCM, was, is and will do to Tanzania. I said somewhere b4, that If Magufuli was Running out of CCM I would Support him 10X over! I have no hate to nobody in particular. My Anger is due to the Fact that there is One part CCM, Which think that it has a Tittle did over Tanzania and if not elected it use any means to grab power even by Fiat. That is what I hate! That is my anger.
Here is a video of me, to Prove it! This Video was taken in Late September 2015
NISEME TENA JOSHUA NASSARI ANATAKIWA AWAOMBE RADHI WENZAKE WA UKAWA.
Marandu huko sawa.lakini dahhh punguza siasa Kali .Umesoma tu Kichwa cha habari cha uzi, Usingejibu hivi!
We mleta mada acha UJUHA, Nassari ana akili kuliko wewe na ndiyo maana yupo bungeni na wewe hata uhakika wa mlo wa siku huna badala yake unashinda JF kupiga majungu.
Hivi huoni aibu kuandika kwa Kiingereza kibovu namna hii. Si afadhali tu uandike kwa Kiswahili. Kwani utakosa nini?Nassari anatakiwa aombe radhi kwa wenzake, he did something which would be ok, but was at a wrong time and very thoughtless. There is no need to be palling around with CCM leaders, regardless who does it, I would say the same thing if the same thing was Done at this moment, by Mbowe, Lissu, Msigwa, Lowassa or whoever. It will be selfish and equally betrayal to those who are being oppressed now. I am aware and I said it in the original presentation, am aware when Magufuli was still the Minister for Works and Infrastructure, he was once praised by Mbowe, Halima, Mnyika and many other. I for one Liked Magufuli a lot. But then nothing bad was going on, Neither Magufuli was in a possition to send the Police to oppress members of opposition as it is Now.
Now I should say again yes am very angry at these hypocrites, these bastards who are here pretending to praise Nassari, and I have spent a Moment to go through samples of them they are all CCM. What make you think they are defending Nassari genuinely or because he facilitate himself to Magufuli as a puppet.
They Went far as to say I was brought to UKAWA by Lowassa, None sense, I have said it a thousand times, Lowassa Don't Know me, I've never meet him, I've never meet with any CHADEMA leader, I got into Campaigning for UKAWA because I hated What CCM, was, is and will do to Tanzania. I said somewhere b4, that If Magufuli was Running out of CCM I would Support him 10X over! I have no hate to nobody in particular. My Anger is due to the Fact that there is One part CCM, Which think that it has a Tittle did over Tanzania and if not elected it use any means to grab power even by Fiat. That is what I hate! That is my anger.
Here is a video of me, to Prove it! This Video was taken in Late September 2015
NISEME TENA JOSHUA NASSARI ANATAKIWA AWAOMBE RADHI WENZAKE WA UKAWA.
Vuvuzela wewe! Nassari aombe radhi anakula kwako?Oh yea, Naweza Kuwalisha wewe, familia yako yote na Nassari Mwenyewe maisha yenu yote. Unajibu utumbo tuu. Nassari anatakiwa aombe radhi kwa wakati huu akuna sababu ya kuzurura na wapuuzi wa CCM. Kwa wanachofanya Dar, Kilombero, Zanzibar. Na Najua hasira zenu CCM, Mnaraha Mmempata mpumbavu wa kutumia sasa mi namshtua!
Jinga sana huyu jamaa, hajielewiHivi huoni aibu kuandika kwa Kiingereza kibovu namna hii. Si afadhali tu uandike kwa Kiswahili. Kwani utakosa nini?