Joshua Nassari aiombe radhi CHADEMA

Joshua Nassari aiombe radhi CHADEMA

Baada ya exploit ya Condor Dragon enzi zile bcstimes.com, niliweza kutumia fursa na utaalamu wangu kuwa na admin privileges za bcstimes forum kwa kipindi fulani. Hii iliniwezesha kusoma private messages aka PM communications za kila mchangiaji wa bcstimes.com. Na kuna mambo mengi niliweza kujifunza.
Umechanganya madesa mkuu
 
Huu Uzi atakuwa kaandika yule mbunge lemi mana ye ndo kivuruge na yupo sahihi siku zote mambo ya mzitto yalianza hivi hivi.
 
Kwanza Marandu inabidi uombe radhi kwa kuongezea maneno ya uwongo.Magufuli hakusema ndani ni ccm,alisema ndani mpenda maendeleo. Lakini tuulizane hapa,Nassari alikuwa pekee mtu wa chadema pale kwenye mapokezi? Kwa nini asakamwe yeye tu.
Kulikuwa na Mh Meya wa jiji la Arusha,kulikuwa watu wengi tu wa chadema. Pili Mh Msigwa alimpokea waziri mkuu Mjaliwa lakini hayajasemwa. Tatu Mbunge Mh prof Jay juzi alikuwa na waziri wa mifugo jimboni kwake kutatua mgigoro wa wakulima wa miwa,mbona haulizwi chochote?
Hawalioni hili wanataka kumzulia dogo janja.
 
Huu Uzi atakuwa kaandika yule mbunge lemi mana ye ndo kivuruge na yupo sahihi siku zote mambo ya mzitto yalianza hivi hivi.
Safari atabugiii men amwache awaletee maendeleo wapiga kula wake.
 
We huwajui wameru ni wanafki sana, watakuchekea usoni wanakuua moyoni
 
Nafikiri zile sifa alizozitoa Nassari kwa Magufuli kuhusu jkusanyaji kodi ndio malipo yake kapewa na Magufuli.
Kwa mbunge wa upinzani kumpokea kiongozi wa kiserikali kwenye eneo lake la uwakilishi ni sawa,hivyo hakuna kosa.
Nafikiri Nassari anapaswa kushauriwa kuwa makini zaidi ili asitengeneze mazingira ya shaka kwa wenzake na pia azuie hisia zake dhidi ya Wapinzani wa chama chake kwa maana kuwa huu ni mwanzo wa uchaguzi.
Kwangu Mimi hili la kusifiwa na kuambiwa eti ni MwanaCCM kwa ndani alipaswa kulikanusha kwa ndani akizingatia alishaonesha Mahaba kwa Uongozi wa Magufulj wakati maumivu ya chama change kuhusu Hila za uchaguzi yakiwa bado MAKALI SANA.
 
Sikujua Ni Kwanini Wajamaa walinutukama Vile, Nilisoma Kwenye Gazeti tu, Na Ukisoma text ya Mistari Michache Unaweza Ukaelewa Tofauti sana na Mtu Ukimsikiliza. Ndio Maana Nikatoa maneno ya hasira kwa Nassari, Ingawa babo naona Ingekuwa Mimi Nassari Nisingehudhuria.

Lakini Ukweli Ni Kuwa Nilichemka sana, Maana baada ya Kumsikiliza Mh. Magufuli (Video Nzima) wala Hakutukana Chadema au hata Kukejeli Maka ilivyoonekana Kwenye Gazeti.
Na Kwa Hilo I was too hard to Hon. Nassari for No reason I am so sorry! Ukiamua kuwaomba radhi wenzako sawa tu, Lakini Sio Kwa Uzito ule niliodhani au hata ulazima haupo. Nimejifunza Kitu, Kama sijasikia mwenyewe, sitamhukumu mtu. Na Pia Nimekosea sana Kuamini Kuwa Mh. Magufuli alitukana wakati haikuwa Kweli Nimejisikia Vibaya sana.

Niombe Radhi Ingawa Hasira yangu ni ilitokana na yanayoendelea Tanzania Kisiasa Kwa sasa.

For this I am proud of him too!

Next time usikurupuke tena kiazi wewe!

Ahya mtafute Nassari ukamuombe radhi.
 
N what do you use for brains? testicles? I thought so, Mimi Nazuia Kuwa Maarufu, Kwa Mpunga wangu Tanzania wote Ngenijua, Lakini Mimi Nazungumzia Siasa Kwa Kuwa Kuna Mambo Nina Uzalendo nayo Kama Mwanadamu. Nimekuwa Mwanaharakati Muda Mefu tu, mfano hii Video ni ya June, 2014


Wenye cha kujisifia huwa hawajitangazi maana Sifa zao hufika kabla wao kujieleza. Yaani majina,yao hutangulia kabla ya sura.
Ukiona anayewalazimisha afahamike hata mkimpa jukumu ni jipu tuuu
 
Chadema wana matatizo sana... Mda si mrefu Nasari atakuwa Zitto
 
Sikujua Ni Kwanini Wajamaa walinutukama Vile, Nilisoma Kwenye Gazeti tu, Na Ukisoma text ya Mistari Michache Unaweza Ukaelewa Tofauti sana na Mtu Ukimsikiliza. Ndio Maana Nikatoa maneno ya hasira kwa Nassari, Ingawa babo naona Ingekuwa Mimi Nassari Nisingehudhuria.

Lakini Ukweli Ni Kuwa Nilichemka sana, Maana baada ya Kumsikiliza Mh. Magufuli (Video Nzima) wala Hakutukana Chadema au hata Kukejeli Maka ilivyoonekana Kwenye Gazeti.
Na Kwa Hilo I was too hard to Hon. Nassari for No reason I am so sorry! Ukiamua kuwaomba radhi wenzako sawa tu, Lakini Sio Kwa Uzito ule niliodhani au hata ulazima haupo. Nimejifunza Kitu, Kama sijasikia mwenyewe, sitamhukumu mtu. Na Pia Nimekosea sana Kuamini Kuwa Mh. Magufuli alitukana wakati haikuwa Kweli Nimejisikia Vibaya sana.

Niombe Radhi Ingawa Hasira yangu ni ilitokana na yanayoendelea Tanzania Kisiasa Kwa sasa.

For this I am proud of him too!


ni vizuri umekubali ulikurupuka huo ni uungwana ... siku zingine zakuambiwa changanya na zakwako

Good day! Mkuu
 
Mleta mada si mwanasiasa ni kanjanja flani hivi aaiyejielewa na asiyejua nini maana ya siasa
 
Kama Kuna cha Kumwomba Nassari radhi ni Kimoja Tu, Kwamba Niliongea Kwa Hisia Kali sana. Na sio from nowhere, Ni Kwa Unyanyasaji Unaoendelea. Kwa Hilo naweza Kuomba radhi kwake na Kwa wale waliodhani Nina chuki naye au Ninataka au Nimetumwa kumundermine, Ukweli Ni Kuwa Message yangu Kwake sijabadilisha.

Kuna Mapunguani ambao ati wanadai Mimi sijui siasa, Wala sio Kujisifu kwa Kufuatilia Porojo za Watu hao, Mimi Uwezo wangu wa Siasa Ni Mara 1000 Zaidi yao. samahanini sana I think they should know this!

Nachoweza Kusema Ni Kuwampa Nassari Mwanangu mfano halisi, Kuna Senator mmoja wa Marekani ambaye mwaka 2000 Aligombea Kama Mgombea Mwenza wa Albert Gore kwa Tiketi ya Democrats, Jina lake ni Joe Lieberman, Well Kukawa na Mizengwe, Al Gore akashidwa na GW. Bush, mtoto wa GH Bush, Huyu Lieberman akaendelea Kuwa Senator baada ya hapo, Lakini Tabia Mbaya ya Lieberman ilikuwa siku zote anakaa Upande wa Wapinzani wa chama chake. Mwaka 2004 Wakamtema, Akagombea kama Mgombea Binafsi Akshinda kwa Shida sana. Mwaka 2010 Upepo Ukabadilika na hakutia mguu.

Josia Mwangi Kariuki, alikuwa Katika chama chake, lakini hadithi yake ni tofauti, Unafiki wake yeye alikuwa ni Fisadi wa Kupita Kiasi lakini akawa anaenda kwa wananchi akatumia Uwezo wake wa Kuongea akaweka picha kwa wananchi kuwa Viongozi wengine, hata Rais Jomo Kenyatta mwenyewe walikuwa mafisadi na Wachafu. Walimuua Vibaya na Maiti yake ilikutwa ikionyesha Kuwa Waliomuua walikuwa na Chuki ya ajabu dhidi yake.

Wananchi walimlilia sana, kwani wakati ule waliamini kuwa JM Kariuki ndiye Kiongozi aliyekuwa msafi na tumaini lao. Lakini Miaka kama 40 baadaye wakati wa Kugawana Mirathi na Mashamba yake Ndio Wakenya wanashangaa Jinsi JM alivyokuwa Fisadi.

Mifano Iko Mingi sana, Huo Mfano haufai sana kwani Unaonyesha Mafisadi walichafuana. Lakini Nachotaka Kusema Siasa ina a lot of moving parts, Jitahidi sana Usiharibu uhusiano au Usifanye jambo la kueleweka Vibaya na Waliokupigania (Chama Chako) Na Usiwape tafsiri Kuwa Unafanya mambo ambayo hata kama sio kwa Makusudi yanahalalisha matendo au maneno mabaya Juu yao.

Ningekuwa na Chuki Nisingesema yote haya, Mfitini hasemi wazi, Nina Nia Njema na Demokrasia Tanzania.

KILICHOWEZESHA MISIBA YA MWAFRIKA NI HULKA YA USALITI

 
Katika hali isiyotarajiwa Mbunge wa Kawe Halima Mdee amemtaja Dk.Magufuli kuwa ni Jembe kwenye mkutano Goba katika uwekaji wa jiwe la msingi ujenzi barabara ya Mbezi Mwisho kwenda Goba mpaka Tangi Bovu.

Aidha, wananchi wa Goba (Wote CHADEMA na CCM) wamempokea Dk.Magufuli kwa shangwe wakimwita "JEMBE JEMBE" Clip ya video angalia hapo chini.

Pia alikuwepo Mbunge wa Jimbo la Ubungo Mh.John Mnyika na wote kwa pamoja wamesema "MAENDELEO HAYANA CHAMA"
Inatumika nguvu kubwa sana kumuelewesha huyu jamaa.

Naapa katu hataekewa. Anavyoandika tu kuna vitu vingi sana ndani yake.

Tumpe muda kidogo roho yake ikitua anaweza akaelewa, kwa sasa anaonekana kama muhanga wa jambo fulani,
hasira
muhemko
chuki
na hapo alipo yu radhi kumwaga damu.
 
Inatumika nguvu kubwa sana kumuelewesha huyu jamaa.

Naapa katu hataekewa. Anavyoandika tu kuna vitu vingi sana ndani yake.

Tumpe muda kidogo roho yake ikitua anaweza akaelewa, kwa sasa anaonekana kama muhanga wa jambo fulani,
hasira
muhemko
chuki
na hapo alipo yu radhi kumwaga damu.
Mkuu mi mwenyewe nilimtilia shaka kwamba hili andiko lake sio kwakuwa anauchungu sana na upinzani ama Chadema ila anachuki binafsi kwa Nasari.

Kuna kitu kimoja ambacho viongozi wengi wa upinzani hawajakisoma kuwa siasa za mihemuko awamu hii zinanafasi ndogo sana.

Wananchi kwa sasa wanamsikiliza kiongozi anaetetea maslahi yao,anaewakilisha maoni yao, anaewajali muda wote.

Ushauri wapinzani kama hawana mbinu ya kukosoa utawala wa Magufuli bora waungane nae kuliko kushikana uchawi wenyewe kwa wenyewe.
 
Back
Top Bottom