Joshua Nassari aiombe radhi CHADEMA

Joshua Nassari aiombe radhi CHADEMA

Ukweli post kama hii inaumiza ubongo kwa vile ina matusi. Nassari ni mbunge hastahili kuitwa malaya kwa sababu tu alionesha siasa ya undugu kwa kumpokea Magufuli.
Pili sifa za magufuli kwa Nassari ni siasa tu. Wakati wa kampeni alishasema Chadema wanampigia kampeni kwa vile wanasema M4C (Magufuli for Change). kama hukuamini hilo kwa nini uamini la kusema "Dogo" ana UCCM ndani yake?
Mwisho. Dogo ni diamond Arumeru. Acheni kumtisha. Utamweka nani chadema amshinde ubunge kama ataenda CCM kwa siasa za chuki?
 
Mtoa Mada hajui siasa, unless kama alipewa/Pata fursa ya kuongea, Nasari hana kosa hapo. Isitoshe sifa za uchapakazi wake zi wazi. Ananiudhi kitu kimoja tu, kugeuza kazi ya Bunge kuwa ufadhili kwa jimbo. Namkubali sana kwenye kutafuta haki za watu wake
 
Someni Kabla Hamjajibu, Mimi Joshua simjui Kiundani wala Sina Chuki naye, Nimetathmini yaliyotokea na Haivumiliki. Kama anajitambua alitakiwa Amponde Magufuli, Huwezi Kukubali Kutumiwa kama, "Condom" Kuwatukana wenzako waliokufikisha ulipo. Na Pia kwa yaliyokuwa yakiendelea Huko Dar es salaam na Kilombero, Joshua Nassari hakupaswa kukutana na Magufuli. Ingekuwa Halima Mdee Ni dada yake Nassari angeenda Kukutana na aliyemweka Rumande kwa sababu za Kishenzi? Sasa hilo ndio naona lilikuwa Kosa Kubwa na Ujinga wa Nassari.
Katika watu wajinga na wapumbavu, wewe ni kinara wao!
 
Zitto alianza kuundiwa Zengwe kwa aina hizi za shutuma....tukawa tunaoneshwa mawasiliano feki baina ya Zitto na Tiss, Bank statement kutoka Ujerumani na hatimaye waraka wakina MMM. Nassari anza kuweka maji kichwani maana wembe upo jirani kuja kukunyoa.....yawezekana ukawa immuned kwa sababu kadhaa ambazo zitto hakuwa nazo.....ila ukitaka kuona tumbo siku zote piga mgongo
 
Hainishangazi Wanaomtetea Joshua Nassari hapa asilimia 99 Ni wale wale Maccm wanaotetea Kila Ugoro wa CCM. Mimi Si aina ya Mtu Ninayetishwa Kubadilisha Msimamo Napokuwa Sahihi. Joshua Nassari Alikosea sana, Ulikuwa Ni Upuuzi na Ujinga Kujitokeza Katika Msafara wa Magufuli ambaye Anahusika Kuwanyanyasa wenzako ati kwa kosa Kuwa Wananchi wamewachagua wao na sio CCM.

Ndio Najua Wakati Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi, alishasifiwa na Lowassa, Mbowe, Halima Mdee, Mnyika, mimi mwenyewe, Na karibu kila Mwanachadema, Kwanini Kwa Kuwa Magufuli alionekana Tofauti na Maccm Vibaka, Mafisadi, Wanafiki, Na Bora Liende, Kama Kikwete.

Pamoja na hayo Magufuli wa sasa pamoja na Kuwa sitasema mengi bado, Niwazi anaelekea Kuwa Nyoka, Mnafiki na Asiyeelewa Kiini cha Matatizo ya Nchi yetu. Bado Ni Dictator (Madictator wakati wote wanaondoa Upinzani kwa gharama yoyote, Kiu yao Kubwa ya Madictator Ni watu wanaojifanya Majasiri lakini ni waoga, dhaifu na wenye Kiu Kubwa ni sifa, katika Kutafuta sifa yupo tayari kukanyaga kanyaga na kuharibu heshima na sifa na maisha mazima ya Mtu mwingine ili apate ujiko wa dakika 15. Ukimpinga dictator anaona ni kama umemvua nguo) Huyu Ni Magufuli ambaye sikumjua.

Sasa Huyu Sio magufuli waliokuwa Wakimsifu Akina Mbowe na wengine Miaka Iliyopita. Wewe Nassari wanaokusifu hapa Ni Maccm, Ulichemsha sana, Ulitia aibu sana, Ulisaliti, Ulionyesha Kutojali. Omba Msamaha Nakushauri Mwanangu!
 
Hainishangazi Wanaomtetea Joshua Nassari hapa asilimia 99 Ni wale wale Maccm wanaotetea Kila Ugoro wa CCM. Mimi Si aina ya Mtu Ninayetishwa Kubadilisha Msimamo Napokuwa Sahihi. Joshua Nassari Alikosea sana, Ulikuwa Ni Upuuzi na Ujinga Kujitokeza Katika Msafara wa Magufuli ambaye Anahusika Kuwanyanyasa wenzako ati kwa kosa Kuwa Wananchi wamewachagua wao na sio CCM.

Ndio Najua Wakati Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi, alishasifiwa na Lowassa, Mbowe, Halima Mdee, Mnyika, mimi mwenyewe, Na karibu kila Mwanachadema, Kwanini Kwa Kuwa Magufuli alionekana Tofauti na Maccm Vibaka, Mafisadi, Wanafiki, Na Bora Liende, Kama Kikwete.

Pamoja na hayo Magufuli wa sasa pamoja na Kuwa sitasema mengi bado, Niwazi anaelekea Kuwa Nyoka, Mnafiki na Asiyeelewa Kiini cha Matatizo ya Nchi yetu. Bado Ni Dictator (Madictator wakati wote wanaondoa Upinzani, Kwa Kuwa Sifa Kubwa ya Madictator Ni watu wanaojifanya Majasiri lakini ni waoga, dhaifu na wenye Kiu Kubwa ya sifa katika Kutafuta sifa yupo tayari kukanyaga kanyaga na kuharibu heshima na sifa ya na maisha mazima ya Mtu mwingine ili apate ujiko wa dakika 15. Ukimpinga dictator anaona ni kama umemvua nguo, Huyu Ni Magufuli ambaye sikumjua.

Sasa Huyu Sio magufuli waliokuwa Wakimsifu Akina Mbowe na wengine Miaka Iliyopita. Wewe Nassari wanaokusifu hapa Ni Maccm, Ulichemsha sana, Ulitia aibu sana, Ulisaliti, Ulionyesha Kutojali. Omba Msamaha Nakushauri Mwanangu!
Nassari endelea kusaidia wana Arumeru, ndio waliokuchagua wakiamini utatatua matatizo yao, miaka mitano sio mingi.......usifuatishe siasa za chuki na za kibinafsi kama za huyu jamaa.
 
Kama Lema amepewa uwaziri kivuli halafu Nassari akatemwa unategemea nini?

Sitegemei Nassari aendelee kukumbatia vigeugeu na wapenda fujo mithili ya Lema.
 
Nassari endelea kusaidia wana Arumeru, ndio waliokuchagua wakiamini utatatua matatizo yao, miaka mitano sio mingi.......usifuatishe siasa za chuki na za kibinafsi kama za huyu jamaa.

You hypocrite Bastard! Leo Hii Unaijua Chuki? Muliomuua Mawazo mnajua chuki, Mliomuua Mwangosi nmnajua chuki, Mnaoleta pingamizi za Uwongo, na Kukamata kamata Wabunge wa Upinzani mnajua chuki, Mliopora Ushindi wa Maalim Seif Mnajua Chuki, Mnaopiga watu wasio na hatia mabomu mnajua chuki, Go to hell, SOB. CCM Niwaambie, North Korea Mafisadi na Walarushwa wananyongwa na Kupigwa Risasi mnafurahia, Lakini Mimi Nitaenda Mbali, Kiini cha Mafisadi Ni wanaong'ang'ania Madaraka hata washindwapo, Wanaotaka madaraka kwa hadaa, njia za Mkato au Turufu, au Kutumia wizi. hao Ndio Kiini hasa cha Ufisadi Kwani kwa asili ya walivyopata Madaraka yao hawaoni sababu ya Kuwajibika kwa Wananchi. HAWA NDIO WANAOTAKIWA WAPIGWE RISASI AU WANYONGWE, I CANT WAIT FOR THAT DAY and AM SERIOUS!
 
You hypocrite Bastard! Leo Hii Unaijua Chuki? Muliomuua Mawazo mnajua chuki, Mliomuua Mwangosi nmnajua chuki, Mnaoleta pingamizi za Uwongo, na Kukamata kamata Wabunge wa Upinzani mnajua chuki, Mliopora Ushindi wa Maalim Seif Mnajua Chuki, Mnaopiga watu wasio na hatia mabomu mnajua chuki, Go to hell, SOB. CCM Niwaambie, North Korea Mafisadi na Walarushwa wananyongwa na Kupigwa Risasi mnafurahia, Lakini Mimi Nitaenda Mbali, Kiini cha Mafisadi Ni wanaong'ang'ania Madaraka hata washindwapo, Wanaotaka madaraka kwa hadaa, njia za Mkato au Turufu, au Kutumia wizi. hao Ndio Kiini hasa cha Ufisadi Kwani kwa asili ya walivyopata Madaraka yao hawaoni sababu ya Kuwajibika kwa Wananchi. HAWA NDIO WANAOTAKIWA WAPIGWE RISASI AU WANYONGWE, I CANT WAIT FOR THAT DAY and AM SERIOUS!
Punguza povu, kutukana hakuwezi kukusaidia kueleweka....u can use normal language na ukaeleweka.....

The way i see u just deviate from strong point here.....I'm talking about Nassari involvement to his people and accountability in helping them......wewe unamshtumu bila sababu za msingi.
 
Nassar hana kosa lolote. Nyie jidaini siasa kali tu,tutawageuka tuwapige mawe hamtaamini.HATUTAKI UJINGA.
 
Ukweli post kama hii inaumiza ubongo kwa vile ina matusi. Nassari ni mbunge hastahili kuitwa malaya kwa sababu tu alionesha siasa ya undugu kwa kumpokea Magufuli.
Pili sifa za magufuli kwa Nassari ni siasa tu. Wakati wa kampeni alishasema Chadema wanampigia kampeni kwa vile wanasema M4C (Magufuli for Change). kama hukuamini hilo kwa nini uamini la kusema "Dogo" ana UCCM ndani yake?
Mwisho. Dogo ni diamond Arumeru. Acheni kumtisha. Utamweka nani chadema amshinde ubunge kama ataenda CCM kwa siasa za chuki?
Hata Shibuda alijidanganya hivyo hivyo.
 
Ok. Sasa naona baadhi yenu Chadema mnataka kufanya siasa za ufanatics.

Hiyo siasa ya "you are either with us or you are against us" ni siasa ya kizamani, ya kutumia nguvu bila akili.

Nassari simjui kabisa japo nimeishi kwa miaka mitatu jimboni kwake.

Ila kitu kimoja nakijua. Nassari amewekwa jimboni na wana arumemeru awe chachu ya maendeleo yao kama mwakilishi wao bungeni.

Hawajamweka pale kuonyeshana ubabe na Magufuli.

Siyo interest yao, siyo interest yake, na kiuhalisia -- na sisi wananchi tunaona-- kama Chadema itajikita kuonyeshana ubabe na Magufuli, huo ndo mwanzo wa mwisho wa Chadema.
Na vise Verser pia.Kama CCM isipoukubali Upinzani hakuna kitatachoendelea.
 
Mleta mada una point nzuri tu.Ukiliongelea hili la akina Halima,Nassri hakustahili hata kupokea with kwa maana kwamba wenzake wapo jela/Rumande.Inawezekana amefanyaje purposely kama anamuona Nasari ni jembe basi wale aliowaweka Rumande ni Matractor....Pili nadhani Magufuli anatamani kuwa na wabunge wa type ya Ukawa,wanaojiamini siyo wale yea boss.Hivyo ni sawa pia na kuwatukana wabunge wa CCM. Ni sawa na kusema wabunge wa upinzani ni bora japo tunawanyanyasa.Vyote viwili vyawezekana.Magufuli anajua wabunge wa CCM bora hakuna
 
Yaan mm sijui niko vip yaan nikichukia kitu namaanisha mfano naichukia ccm kiasi kwamba ccm anapokanyaga natema napita. Ata nikiona sale zao napata kichefuchefu. Nikipanda basi za usafiri nilipokaa akakaa ccm nahama kiti hata kwenye tv nikiona ujinga wao nabanwa na mafua. Ndani kwani kuanzia nguo vyombo nilihakikisha marangi yao yote niliyatoa. Hata magazetin nikiona habali zao napata kikohozi. Naichukia ccm kuzidi kitu chochote duniani. Watu wana moja sizani hata ningekuwa mbunge ningeshikana nayo mikono. Naipenda chadema hata wote wakiondoka mm ntabaki.damu yangu ina rangi za cdm kamwe siwez kusalt chama changu
 
Uliona tetesi? Kwa hiyo unamlaumu kiongozi wako kwa " KUONA TETESI?. Halafu siasa za chuki zitawamaliza Chadema! Kama kweli we ni mkweli na una uchungu na Chadema yako, hujui kuwa Mbowe na Lissu ni majipu kwenye Chama?. Au viongozi wenye uwezo wameisha? Hivi inakuwaje Chama chenye jina kubwa kama hicho kinapokaa zaidi ya miezi sita hakina katibu mkuu? Au Katibu mkuu hana umuhimu wowote huko? Au bado mna ndoto Dr. Slaa atarudi kula matapishi yake?.
 
Back
Top Bottom