Joshua Nassari adanganya "live" ITV

Joshua Nassari adanganya "live" ITV


Fata link nimeweka kwenye post #1 (huwa sikisii) utajuwa, weka source yako inayokubaliana na Nassari kama hujashushuka.
source nyingine hii hapa[TABLE="width: 0"]
[TR]
[TH]Country[/TH]
[TH]2000[/TH]
[TH]2001[/TH]
[TH]2002[/TH]
[TH]2003[/TH]
[TH]2004[/TH]
[TH]2005[/TH]
[TH]2006[/TH]
[TH]2007[/TH]
[TH]2008[/TH]
[TH]2009[/TH]
[TH]2010[/TH]
[TH]2011[/TH]
[TH]2012[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanzania[/TD]
[TD="align: right"]52.26[/TD]
[TD="align: right"]51.98[/TD]
[TD="align: right"]51.7[/TD]
[TD="align: right"]44.56[/TD]
[TD="align: right"]44.39[/TD]
[TD="align: right"]45.24[/TD]
[TD="align: right"]45.64[/TD]
[TD="align: right"]50.71[/TD]
[TD="align: right"]51.45[/TD]
[TD="align: right"]52.01[/TD]
[TD="align: right"]52.49[/TD]
[TD="align: right"]52.85[/TD]
[TD="align: right"]53.14[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Tanzania - Life expectancy at birth - Historical Data Graphs per Year
 
utakuwa unashabikia hilo fao la NSSF lisifutwe ndoo maana unailazimisha ipite 55 tumeshakushitukia na tutakuamini vipi wewe?

Sina fao la NSSF linalonisubiri.
 
Inawezekana hakukurupuka ila source yake ndio haijajulikana bado....hatupaswi kusema mengi ila source nyingine huwa si za kweli

unafanya nini huku unamrithi Mungi karibu kwenye uzinduzi wa jiji................:focus:
 
Last edited by a moderator:
mmepunguziwa miaka ya kuishi tu povu linawatoka!acha uoga kifo kipo tu hata uishi miaka 100
 
Jamani tuache ushabiki kabla ya kuchangia soma habari na uelewe sio unakurupuka kama wale waliokataa posho uku njaa zimewashika
 
Kutokana na ajiria tata na lishe duni, hakuna usalama wa maisha Tanzania. Hivyo, alichosema Joshua Nasari ni zaidi ya ukweli
 
Mbona povu jingi sana mdomoni mkuu? Hiyo taarifa yake imekuathiri vipi wewe? Na je yeye (Mhe. Nassari) ndiye msemaji mkuu wa Idara ya Takwimu TZ hadi umkomalie kiasi hiki?

Mbona wenye mamlaka na ambao tamko lao huwa kama sheria kwa TZ, wakiongopa, povu halikutoki kiasi hiki. Una nini na Mhe. Nassari? Jiweke wazi.
 
source nyingine hii hapa[TABLE="width: 0"]
[TR]
[TH]Country[/TH]
[TH]2000[/TH]
[TH]2001[/TH]
[TH]2002[/TH]
[TH]2003[/TH]
[TH]2004[/TH]
[TH]2005[/TH]
[TH]2006[/TH]
[TH]2007[/TH]
[TH]2008[/TH]
[TH]2009[/TH]
[TH]2010[/TH]
[TH]2011[/TH]
[TH]2012[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanzania[/TD]
[TD="align: right"]52.26[/TD]
[TD="align: right"]51.98[/TD]
[TD="align: right"]51.7[/TD]
[TD="align: right"]44.56[/TD]
[TD="align: right"]44.39[/TD]
[TD="align: right"]45.24[/TD]
[TD="align: right"]45.64[/TD]
[TD="align: right"]50.71[/TD]
[TD="align: right"]51.45[/TD]
[TD="align: right"]52.01[/TD]
[TD="align: right"]52.49[/TD]
[TD="align: right"]52.85[/TD]
[TD="align: right"]53.14[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Tanzania - Life expectancy at birth - Historical Data Graphs per Year

Hiyo inakuonesha kuwa life expectancy yetu ya sasa ni miaka 47 ? halafu hizo data zako zimekuwa presented hapa Seikalini na kwenye vyombo vya habari na zikakubalika? Kama hapana, ujuwe si data za maana.

Data nilizokuwekea mimi, ni za UNDP na zimeletwa Serikalini na ndio zinazokubalika Umoja wa Mataifa.

Hivi huko mashuleni huwa mnafundishwa ujinga?
 
Ndiyo wabunge wetu jamani, tuavumilie tu. Ukiwa na mbunge ambaye ana utoto, ulimbukeni ukachanganya na kuwa mweupe kichwani lazima ufike mahali umhurumie.
Mbaya zaidi mbunge mwenyewe awe wa CCM aliyepita kwa rushwa na kujikomba kwa rais akamteua kuwa Naibu waziri wa Elimu, hakika atakwenda kwenye makongamano ya kimataifa na kudanganya mchana kweupe bila hata aibu kwamba Tanzania ni muungano wa Pemba na Zimbabwe!
 
hiyo inakuonesha kuwa life expectancy yetu ya sasa ni miaka 47 ? Halafu hizo data zako zimekuwa presented hapa seikalini na kwenye vyombo vya habari na zikakubalika? Kama hapana, ujuwe si data za maana.

Data nilizokuwekea mimi, ni za undp na zimeletwa serikalini na ndio zinazokubalika umoja wa mataifa.

hivi huko mashuleni huwa mnafundishwa ujinga?
kama hadi mawaziri wa serikalini wakati mwingine wanafanya mambo ya kijinga unategemea nini lazima mashuleni wafundishe ujinga
 
Mbona povu jingi sana mdomoni mkuu? Hiyo taarifa yake imekuathiri vipi wewe? Na je yeye (Mhe. Nassari) ndiye msemaji mkuu wa Idara ya Takwimu TZ hadi umkomalie kiasi hiki?

Mbona wenye mamlaka na ambao tamko lao huwa kama sheria kwa TZ, wakiongopa, povu halikutoki kiasi hiki. Una nini na Mhe. Nassari? Jiweke wazi.

Kama si msemaji mkuu ajifunze kusema ukweli, mbunge ni kioo cha jamii. Hili analolipata hapa ni somo. Ajifunze, asifikiri yuko kwenye kampeni ambako hata ukiwadanganya yanaingilia huku yanatokea kule. Hapo yuko kwa kazini na mshahara wake tunaulipa sisi.
 
Kama si msemaji mkuu ajifunze kusema ukweli, mbunge ni kioo cha jamii. Hili analolipata hapa ni somo. Ajifunze, asifikiri yuko kwenye kampeni ambako hata ukiwadanganya yanaingilia huku yanatokea kule. Hapo yuko kwa kazini na mshahara wake tunaulipa sisi.

Mkuu, unanichekesha!
Unakataa kisha unakubali, kwa hiyo akiwa katika kampeni ubunge anauvua?
 
upuuzi mputu, midata ya kupika unakurupuka nayo kisa kasema Nasari, angesema Lusinde ungekaa kimya
 
Mbunge Joshua Nassari amedanganya alipokuwa anahojiwa na ITV kwenye viwanja vya bunge Dodoma aliposema "life expectancy" ya Mtanzania ni miaka 47 kwa sasa.

Huo si ukweli kabisa, uwiano wa "life expectancy" ya Mtanzania si chini ya miaka 58 kwa sasa.


tanzania-life-expectancy-at-birth-female-years-wb-data.png

Source: Life expectancy at birth in Tanzania

Na hizi nyingine:

Chanzo kilichotangazwa waziwazi mbele ya waandishi wa habari, hizo takwimu za Nassari za miaka ya utawala wa Nyerere, nna uhakika hata yeye alikuwa bado hajazaliwa.

UNDP wanasema hivi na si hivyo tu wanazitoa rasmi mbele ya waandishi wa habari, unaweza kuzikataa?

expentance.jpg
Director of Economic and Social Research Foundation (ESRF), Dr Bohela Lunogelo (Left) speaks in Dar es Salaam yesterday during the launch of Human Development Report 2011. Center is UNDP’s Economic Adviser, Amarakoon Bandara and UN Resident Coordinator Mr Alberic Kacou. PHOTO | VENANCE NESTORY

By Ludger Kasumuni
The Citizen Reporter
Dar es Salaam. Thursday, 03 November 2011 22:59
Tanzanians now have higher life expectancy fixed at 58.2 years at birth than the rest of the citizens of East African Community (EAC), the 2011 Human Development Report (HDR) released by the United Nations Development Programme (UNDP) shows.

According to the report released yesterday by the UN Resident Coordinator in Tanzania, Mr Alberic Kacou, taking the lead in the EAC in terms of ranking of life expectancy, Kenyans follow Tanzanians with life expectancy of 57.1 years and Rwandans with 55.4 years.

Source: Tanzania

Ndio hizi hapa data zenyewe:

attachment.php


zangu zinatoka hapa: http://hdrstats.undp.org/images/explanations/TZA.pdf


Wabunge wengine sijui wako dunia ipi, yaani hiyo "life expectancy" ni miaka ya Nyerere huko si leo wala jana.

Mpaka sasa sielewi huyu Mbunge anapata faida ipi kuwadanganya umma wa Watanzania kupitia vyombo vya habari.
Aombe radhi haraka sana.

What about Zungu?
 
Back
Top Bottom