Joshua Nassari adanganya "live" ITV

Joshua Nassari adanganya "live" ITV

upuuzi mputu, midata ya kupika unakurupuka nayo kisa kasema Nasari, angesema Lusinde ungekaa kimya

Kwa hiyo aliipika Nassari? au wewe ulimsaidia? ahsante kwa kutujuza hilo.
 
Mkuu, unanichekesha!
Unakataa kisha unakubali, kwa hiyo akiwa katika kampeni ubunge anauvua?

Hujui wakati wa kampeni unasema hovyo hata ukidanganya watu wanapeta tu. Lakini pale yuko kazini kututumikia Watanzania wote, si wa chadema tu, asitudanganye akafikiri tunadanganyika kama wachadema wenzake waliompa kura kwa uongo wake: Watanzania na Ubaguzi Wa Ujinga!
 
Na kujenga International Airport kule Misenye Kagera (kumbuka hata Mwanza hakuna International Airport),
Na kununua meli ya kisasa kwa ajili ya Ziwa Victoria, kubwa kushinda MV Victoria.

To remember only those 2.
pwani aliahidi kujenga viwanda ili kutoa fursa za ajira kwa vijana.cjui ameshajenga ?
 
Hujui wakati wa kampeni unasema hovyo hata ukidanganya watu wanapeta tu. Lakini pale yuko kazini kututumikia Watanzania wote, si wa chadema tu, asitudanganye akafikiri tunadanganyika kama wachadema wenzake waliompa kura kwa uongo wake: Watanzania na Ubaguzi Wa Ujinga!

Mkuu, sheria za uchaguzi za TZ, zinaruhusu kuongopa katika kampeni?
Halafu mkuu, samahani, kwa nini karibu kila uki-comment kitu lazima u-quote hiyo thread yako ya "Watanzania na ubaguzi wa Ujinga"?

Ni theme ya PHD nini mkuu? Sema tukuchangie mawazo ili tukuuite Dr. Zomba.
 
zomba ndugu yangu usifungwe na hizi statistics. Kama kweli unaielewa demography ungejua kuwa kuna data nyingi za life expectancy.

Mbaya zaidi hizi data zinatofautiana kulingana na madhumuni ya organisation iliyoandaa hizo data and in what context. Kwa mfano unadai Nassari amesema life expectancy ni miaka 47. Sijui katumia data za organisation ipi na za mwaka gani.

Wewe unampinga kwa kutumia data za UNDP kuwa life expectancy ni miaka 58.2.

Na mimi naweza kuwapinga wote "live" ITV kwa kutumia data za WHO ambazo zinasema life expectancy at birth ni miaka 55 na life expectancy at age 60 ni miaka 16.

Tanzania National Statistics nayo itakuja na data zake na kuwapiga wote "live" ITV kwa kusema kuwa total life expectancy at birth ni miaka 55 (ambapo kwa wanaume ni 53 na wanawake 55.

Sasa hapo sijui na wewe utadai data za UNDP ni sahihi na kuzipinga data za WHO na Tanzania National Statistics kwa kigezo gani?

Think critically.
 
zomba ndugu yangu usifungwe na hizi statistics. Kama kweli unaielewa demography ungejua kuwa kuna data nyingi za life expectancy.

Mbaya zaidi hizi data zinatofautiana kulingana na madhumuni ya organisation iliyoandaa hizo data and in what context. Kwa mfano unadai Nassari amesema life expectancy ni miaka 47. Sijui katumia data za organisation ipi na za mwaka gani.

Wewe unampinga kwa kutumia data za UNDP kuwa life expectancy ni miaka 58.2.

Na mimi naweza kuwapinga wote kwa kutumia data za WHO ambazo zinasema life expectancy at birth ni miaka 55 na life expectancy at age 60 ni miaka 16.

Tanzania National Statistics nayo itakuja na data zake na kuwapiga wote kwa kusema kuwa total life expectancy at birth ni miaka 55 (ambapo kwa wanaume ni 53 na wanawake 55.

Sasa hapo sijui utadai data za UNDP ni sahihi na kuzipinga data za WHO na Tanzania National Statistics?

Think critically.

Ni walewale. Mnakuja na kila mbinu lakini mnashindwa kutuambia hiyo life expectancy ya Nassari ya miaka 47 imetoka wapi?
 
Zomba adanganya live JF
Asema eti life expectancy ni miaka 58. Angalia data za sasa zinavyomuumbua Zomba, na inawezekana za mwezi huu zikawa ziko sawa na za Muheshimiwa Nassari.

Life expectancy at birth: total population: 53.14 years
male: 51.62 years
female: 54.7 years
Source: CIA World Factbook - Unless otherwise noted, information in this page is accurate as of July 26, 2012
 
Ni walewale. Mnakuja na kila mbinu lakini mashindwa kutuambia hiyo life expectancy ya Nassari imetoka wapi?

Nafikiri wewe uliyeanzisha hii thread ndiyo ungekuwa wa kwanza kabisa kuuliza Nassari ametoa wapi hizo data maana usije ukakuta kazitoa huko huko kwenye source unayoitumia.

Lakini the main issue siyo data zake amezitoa wapi, bali hata source ya data zako siyo authoritative kwa sababu hata serikali ya Jamhuri ya Muungano itakupinga kuwa hauko sahihi kwa kutumia data zake kutoka Tanzania National Statistics.

Hata data za Tanzania National Statistics zinaweza zisiwe za kweli maana kama kila mtu angeleta data za life expectancy za familia zao hapa ungeshangaa na roho yako.

Watu wanakufa nchi hii ni balaa. Kwa mfano wanadai kwa wastani kila saa moja mwanamke mmoja anafariki kwa matatizo ya ujauzito. Hiyo ni sawa na vifo 8,760 kwa mwaka. Mbaya zaidi hivi ni vifo ambavyo vinaweza kuzuilika kabisa. Hapo bado hujaweka vifo vinavyotokana na ajali za kila siku. Hujaweka wanaokufa kutokana na Ukimwi.

Kwa kifupi data zako zinaoana na data za life expectancy za Zanzibar ambako wanadai ni miaka 59.5 kuliko huku Tanganyika ambako ni miaka 53.
 
Sasa wewe unatuambia kuwa amedanganya, wakati kwenye jedwali lako halisemi hiyo taarifa ni ya mwaka gani. kwako ina maana yesterday ni lazima iwe jana. Hebu tupe time range ya hiyo study.
 
Kani hizo si data tu ambazo mtu yeyote mwenye dhamana anaweza kuzipika na zikawa zinatumika kama takwimu halali?

Unadhani matokeo ya sensa ndo yatakuwa ukweli halisi?
Matokeo ya kura huwa ni ukweli halisi?

Kuna tatizo la vijana wetu wakijua kiingereza na kusoma majedwali ndo wanaoona huo ndo uhalisia.kimsingi watafiti na watakwimu wengi wamekuwa , na takwimu tata.Tujikumbushe uhalisia wa maisha na takwimu halisia , je ni aslimia ngapi ya watanzania, wanatapamaji safi na salama?jibu ni alimia 20% pia ni watanzania wangapi wanapata fursa sitahiki za afya ya kimsingi? 75% ya zahanati zetu hazina wataalam , hazina dawa, hazina vifaa, ni kivipi maisha ya mtanzania, yakawa yameboreshwa?khali ya upatikanaji vyakula, hasa asilia imekuwa tatizo, kipato kwa wananchi ni shida, uharibifu wa mazingira kama mavumbi , wadudu, kama TB na maradhi mengine lishe , maji safi ni janga lingine, kwa ujumla mazingira ya maisha ni magumu, kuna majanga, kama ukimwi, maradhi, lishe duni, uduni wa afya ya msingi, ugumu wa maisha , yote haya ni chanzo cha kupunguza umri wa kuishi.
 
Ndiyo wabunge wetu
jamani, tuavumilie tu. Ukiwa na mbunge ambaye ana utoto, ulimbukeni
ukachanganya na kuwa mweupe kichwani lazima ufike mahali
umhurumie.

Mh! ngoja nipite tu! Cdm hataki kukosolewa wasijerusha chupa za bia hapa!
 
Zomba kubali kuwa namba haipandi. Rudi darasani kama hutaki kunyanyaswa. Lakini kumbuka Nasari ni mbunge tu ila inapotokea Waziri Mkuu kuwa Mwongo kwa maslahi ya chama chake na kupuuza maslahi ya Umma wa Watanzania, hilo siyo tatizo?

Namba zinapanda kuliko unavyofikiria na shule zilizonifundisha mie namba, wewe hata kuzifikiria huwezi wacha kuziota.

Mbunge ndio ana tiketi ya kudanganya? wacheni kuwalea hawa watoto kijinga. Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo, nyinyi mnaona kwa kutetea ujinga wao wa kudanganya ndio mnaonesha mapenzi? huo ni Ubaguzi wa Ujinga.
 
Wewe ndugu yangu huwezi ukajiona wewe ndiye zumbu kuku make yeye amesema average ya life expectancy ya mtanzania kwa sasa (2012) halafu wewe unakurupuka na takwimu za 2010 au za mwaka 47. Inaonekana hata wewe hauendi na wakati ndiyo yale yale ya mama waziri wa vijana na ajira mh Kibaka/Kabaka alipompinga mh Lowassa juu ya bomu la ajira kwa vijana. Hivyo hivyo naye akakurupuka na takwimu za 2001. Huu ndio mtindio wa ubongo tulionao wengi wetu katika maswala ya kitaalam na kitaaluma. Bahati mbaya hata UDSM tulizoeshwa kutumia vitabu vya miaka nenda rudi hata tukitoka hapo bado tunakuwa na mawazo ya kutumia vitu vya kizamani tukiamini vinafaa kwa wakati huu. Twende na wakati jamani.

Mbunge Joshua Nassari amedanganya alipokuwa anahojiwa na ITV kwenye viwanja vya bunge Dodoma aliposema "life expectancy" ya Mtanzania ni miaka 47 kwa sasa.

Huo si ukweli kabisa, uwiano wa "life expectancy" ya Mtanzania si chini ya miaka 58 kwa sasa.


tanzania-life-expectancy-at-birth-female-years-wb-data.png

Source: Life expectancy at birth in Tanzania

Na hizi nyingine:

Chanzo kilichotangazwa waziwazi mbele ya waandishi wa habari, hizo takwimu za Nassari za miaka ya utawala wa Nyerere, nna uhakika hata yeye alikuwa bado hajazaliwa.

UNDP wanasema hivi na si hivyo tu wanazitoa rasmi mbele ya waandishi wa habari, unaweza kuzikataa?

expentance.jpg
Director of Economic and Social Research Foundation (ESRF), Dr Bohela Lunogelo (Left) speaks in Dar es Salaam yesterday during the launch of Human Development Report 2011. Center is UNDP’s Economic Adviser, Amarakoon Bandara and UN Resident Coordinator Mr Alberic Kacou. PHOTO | VENANCE NESTORY

By Ludger Kasumuni
The Citizen Reporter
Dar es Salaam. Thursday, 03 November 2011 22:59
Tanzanians now have higher life expectancy fixed at 58.2 years at birth than the rest of the citizens of East African Community (EAC), the 2011 Human Development Report (HDR) released by the United Nations Development Programme (UNDP) shows.

According to the report released yesterday by the UN Resident Coordinator in Tanzania, Mr Alberic Kacou, taking the lead in the EAC in terms of ranking of life expectancy, Kenyans follow Tanzanians with life expectancy of 57.1 years and Rwandans with 55.4 years.

Source: Tanzania

Ndio hizi hapa data zenyewe:

attachment.php


zangu zinatoka hapa: http://hdrstats.undp.org/images/explanations/TZA.pdf


Wabunge wengine sijui wako dunia ipi, yaani hiyo "life expectancy" ni miaka ya Nyerere huko si leo wala jana.

Mpaka sasa sielewi huyu Mbunge anapata faida ipi kuwadanganya umma wa Watanzania kupitia vyombo vya habari.
Aombe radhi haraka sana.
 
Na wewe pia umetoa data za zamani. Takwimu za sasa as of July 26th 2012 ni chini ya 58

Kwa mujibu wa CIA World Fatbook life expectancy ni kama ifuatavyo

male: 51.62 years

female 54.7 years (2012 est)

Source: CIA World Factbook
 
The value for Life expectancy at birth, total (years) in Tanzania was 57.39 as of 2010. As the graph below shows, over the past 50 years this indicator reached a maximum value of 57.39 in 2010 and a minimum value of 43.65 in 1960.
Definition: Life expectancy at birth indicates the number of years a newborn infant would live if prevailing patterns of mortality at the time of its birth were to stay the same throughout its life.
Source: Derived from male and female life expectancy at birth from sources such as: (1) United Nations Population Division. World Population Prospects, (2) United Nations Statistical Division. Population and Vital Statistics Reprot (various years), (3) Census reports and other statistical publications from national statistical offices, (4) Eurostat: Demographic Statistics, (5) Secretariat of the Pacific Community: Statistics and Demography Programme, and (6) U.S. Census Bureau: International Database
 
Walewale waliojazwa Ubaguzi wa Ujinga. Weka wewe takwimu zako za mwaka huu au mwaka jana au mwaka juzi zinazokubaliana na za Joshua Nassari. Mimi nimeweka na source na link unaifata unasoma ukipinga unakuja na zako na source na link.

Mkuu umetoa wrong stats, kwahiyo kwa basis hiyohiyo na wewe umedanganya: facts kama hizi unatoa kwenye DHS zetu ammbazo zipo na projections hadi za July 2012 zipo

My advice is if you want to correct some basi tumia takwimu sahihi... ulichotoa sicho kilicho kwenye vitabu vinavyotumia kujenga hoja kuanzia na watu wa planning, education, afya, and any other social welfare including science na biashara
 
Back
Top Bottom