zomba, usije ukajidanganya kuwa watu wote JF hawana akili. Reading between the line, kilichokusukuma kuweka mada JF sio kupenda usahihi wa takwimu za Nassari bali ni kumuumbua.
Nasema hivi kwa sababu, wakati Nassari anayaongea hayo aliyoongea, hakuwa amebanwa au kutakiwa kujibu swali fulani zaidi ya kwamba alikuwa anatoa maoni yake juu ya jambo ambalo limeshaamriwa. Nikisoma kilicho nyuma ya mada yako, inaonekana ulikaa muda mrefu ukisubiri siku moja akosee jambo umuandame.
Umemalizia na 'Aombe radhi haraka sana' ambayo ndio hasa msingi wa mada yako. Labda nikupe mfano mzuri wa uongo ambao ulitakiwa uombewe radhi mkuu-hovyo zomba; soma hapa
Hiyo link itakupa fursa ya kujua tofauti ya maoni na ushahidi. Na kudhihirisha kuwa uongo ulikuwa mkubwa, mpk leo Jemedari aliyesema 'fulani' muongo hajapewa nafasi ya kulithibitishia bunge kuwa 'kweli fulani' muongo. Waliomba ushahidi na sasa hawautaki
Jamani jamani, tunawaponza wawakilishi wetu bungeni. Kufanya hivi hatuwajengi kabisa yaani mbunge anachemka mnamtetea atajirekebisha vipi?
Mbona Mulugo kashambuliwa sana humu JF? NASSARI popote pale ulipo tambua wanaokutetea hawakutakii mema ndugu yangu, kubali kurekebishwa na uone kama hiyo ni hatua moja mbele katika kujifunza.
WOte wewe na NASSARI sasa nimegundua mna matatizo ya lugha. Inawezekana kabisa NASSARI hajui hata alichokuwa akiongelea vivyo hivyo na wewe hujui unachokibishia......
Haya bwana asante kwa kunijulisha kuwa sijui.........nilisahau kuwa kila kitu Tanzania hii ni siasa....ndio maana mtu akisema ataifanya Kigoma kuwa kama Dubai TUNAMSHANGILIA KWA KUWA TU NI MWENZETU
safi sana mkuu, hiyo ndiyo ya kweli wale wote wanaotaka kumbeba NASSARI mbeleko zao zitaishia kupasuka vipande vipande. Huyu dogo ni miongoni mwa wanasiasa ambao vichwa ni vyeupe mno.....
Jamani jamani, tunawaponza wawakilishi wetu bungeni. Kufanya hivi hatuwajengi kabisa yaani mbunge anachemka mnamtetea atajirekebisha vipi? Mbona Mlugo kashambuliwa sana humu JF? NASSARI popote pale ulipo tambua wanaokutetea hawakutakii mema ndugu yangu, kubali kurekebishwa na uone kama hiyo ni hatua moja mbele katika kujifunza.
......
Haya bwana asante kwa kunijulisha kuwa sijui.........nilisahau kuwa kila kitu Tanzania hii ni siasa....ndio maana mtu akisema ataifanya Kigoma kuwa kama Dubai TUNAMSHANGILIA KWA KUWA TU NI MWENZETU....
Na kujenga International Airport kule Misenye Kagera (kumbuka hata Mwanza hakuna International Airport),
Na kununua meli ya kisasa kwa ajili ya Ziwa Victoria, kubwa kushinda MV Victoria.
mbunge joshua nassari amedanganya alipokuwa anahojiwa na itv kwenye viwanja vya bunge dodoma aliposema "life expectancy" ya mtanzania ni miaka 47 kwa sasa.
Huo si ukweli kabisa, uwiano wa "life expectancy" ya mtanzania si chini ya miaka 58 kwa sasa. Kuna tofauti kati ya uongo na kutokujua.sina uhakika na source,
kuna tofauti kubwa kati ya uongo na kutokujua.sina uhakika na source yake,lakini kumbuka kuwa kuna source nyingi sana ambazo zinatoa takwimu.labda kwanza ungemuuliza muhusika source yake.........hata hivyo source yako inaonyesha kuwa life expectancy ilikuwa miaka 47 mwaka 2009,miaka miwili na nusu iliyopita,muda ambao sio mkubwa sana.labda ungemuita kuwa yuko nyuma na wakati,kidogo ningekuelewa........
Mbunge Joshua Nassari amedanganya alipokuwa anahojiwa na ITV kwenye viwanja vya bunge Dodoma aliposema "life expectancy" ya Mtanzania ni miaka 47 kwa sasa.
Huo si ukweli kabisa, uwiano wa "life expectancy" ya Mtanzania si chini ya miaka 58 kwa sasa.
Mpaka sasa sielewi huyu Mbunge anapata faida ipi kuwadanganya umma wa Watanzania kupitia vyombo vya habari.
Aombe radhi haraka sana.....[/QUOTE]
Nassari yupo sahihi kulingana na source aliyoisoma yeye, na ili suala la life nexpectancy ya mtanzania imeongelewa na watu tofauti kulingana na criterial tofauti so izo data ulizotoa sina imani nazo ila kwa taarifa zaidi nenda kasome kitabu cha POPULATION GEOGRARHY,au DEMOGRAPHIC IN TANZANIA' na tuachane na ushabiki wa vyama , tuongee uhalisia wa mambo.
Hii graph yako haieleweki, Hiawezi kutumika kumkosoa Nassari.Upande wa mlalo (horizontal) inaonyesha muda, Upande wa wima (vertical) unaonyesha namba tu ambazo hazina tafsiri. umejuaje kama ni miaka???? Uwe mwangalifu unapokosoa kwa takwimu.Mi naweza kusema Hizo 52 - 60 ni uzito wa mtanzania wakati wa kufariki!! je nitakuwa nimekosea??? Pamoja na kuwa umeonyesha chanzo lakini haitoshi kufanya ukosoaji.
Nassari yupo sahihi kulingana na source aliyoisoma yeye, na ili suala la life nexpectancy ya mtanzania imeongelewa na watu tofauti kulingana na criterial tofauti so izo data ulizotoa sina imani nazo ila kwa taarifa zaidi nenda kasome kitabu cha POPULATION GEOGRARHY,au DEMOGRAPHIC IN TANZANIA' na tuachane na ushabiki wa vyama , tuongee uhalisia wa mambo.
Mbunge Joshua Nassari amedanganya alipokuwa anahojiwa na ITV kwenye viwanja vya bunge Dodoma aliposema "life expectancy" ya Mtanzania ni miaka 47 kwa sasa.
Huo si ukweli kabisa, uwiano wa "life expectancy" ya Mtanzania si chini ya miaka 58 kwa sasa.
kikwete atuombe radhi kwa kutudanganya ya kuwa atatuletea maisha bora kwa kila mtanzania, lakini zaidi sana kwa kushindwa kutekeleza dhana aliyoiasisi ya kujivua gamba ndani ya ccm, lakini atuombe radhi kwa kuiporomosha thamani ya shilingi yetu, kikwete ATUOMBE RADHI WATANZANIA KWA KUSHINDWA KUSIMAMIA UCHUMI KWA NJIA IPASAYO, TAZAMA MAFUTA YA PETROL, DIEZEL NA MAFUTA YA TAA HAKUNA NCHI NZIMA!!!!!!!!!!!!!! Kikwete kapewa nini na wafanyabiashara wa madawa ya kulevyaaaa!!!! alituambia "orodha ya wafanyabiashara wa madawa ya kulevya ninayo" au biashara hiyo ni halali nchini kwetuuuuu!!!!!!!
Ebu soma hii kama inashabihiana ya ya kwako,....mana 2010 yako ni above 58
[h=1]Tanzania Demographics Profile 2012[/h]Home > Tanzania
[TD="class: c"][h=2]Population[/h]43,601,796 (July 2012 est.) note:
estimates for this country explicitly take into account the effects of excess mortality due to AIDS; this can result in lower life expectancy, higher infant mortality, higher death rates, lower population growth rates, and changes in the distribution of population by age and sex than would otherwise be expected
[h=2]Age structure[/h]
0-14 years:
42% (male 9,003,152/female 8,949,061) 15-64 years:
55.1% (male 11,633,721/female 11,913,951) 65 years and over:
2.9% (male 538,290/female 708,445) (2011 est.)
[h=2]Median age[/h]
total:
18.5 years male:
18.2 years female:
18.7 years (2011 est.)
[h=2]Population growth rate[/h]1.96% (2011 est.)
[h=2]Birth rate[/h]31.81 births/1,000 population (2011 est.)
[h=2]Death rate[/h]11.92 deaths/1,000 population (July 2011 est.)
[h=2]Net migration rate[/h]-0.29 migrant(s)/1,000 population (2011 est.)
[h=2]Urbanization[/h]
urban population:
26% of total population (2010) rate of urbanization:
4.7% annual rate of change (2010-15 est.)
[h=2]Major cities - population[/h]DAR ES SALAAM (capital) 3.207 million (2009)
[h=2]Sex ratio[/h]
at birth:
1.03 male(s)/female under 15 years:
1.01 male(s)/female 15-64 years:
0.98 male(s)/female 65 years and over:
0.75 male(s)/female total population:
0.98 male(s)/female (2011 est.)
[h=2]Infant mortality rate[/h]
total:
65.74 deaths/1,000 live births male:
72.42 deaths/1,000 live births female:
58.87 deaths/1,000 live births (2011 est.)
[h=2]Life expectancy at birth[/h]
total population:
53.14 years male:
51.62 years female:
54.7 years (2011 est.)
[h=2]Total fertility rate[/h]4.02 children born/woman (2011 est.)
[h=2]HIV/AIDS - adult prevalence rate[/h]5.6% (2009 est.)
[h=2]HIV/AIDS - people living with HIV/AIDS[/h]1.4 million (2009 est.)
[h=2]HIV/AIDS - deaths[/h]86,000 (2009 est.)
[h=2]Major infectious diseases[/h]
degree of risk:
very high food or waterborne diseases:
bacterial diarrhea, hepatitis A, and typhoid fever vectorborne diseases:
malaria and plague water contact disease:
schistosomiasis animal contact disease:
rabies (2009)
[h=2]Nationality[/h]
noun:
Tanzanian(s) adjective:
Tanzanian
[h=2]Ethnic groups[/h]mainland - African 99% (of which 95% are Bantu consisting of more than 130 tribes), other 1% (consisting of Asian, European, and Arab); Zanzibar - Arab, African, mixed Arab and African
[h=2]Religions[/h]mainland - Christian 30%, Muslim 35%, indigenous beliefs 35%; Zanzibar - more than 99% Muslim
[h=2]Languages[/h]Kiswahili or Swahili (official), Kiunguja (name for Swahili in Zanzibar), English (official, primary language of commerce, administration, and higher education), Arabic (widely spoken in Zanzibar), many local languages note:
Kiswahili (Swahili) is the mother tongue of the Bantu people living in Zanzibar and nearby coastal Tanzania; although Kiswahili is Bantu in structure and origin, its vocabulary draws on a variety of sources including Arabic and English; it has become the lingua franca of central and eastern Africa; the first language of most people is one of the local languages
[h=2]Literacy[/h]
definition:
age 15 and over can read and write Kiswahili (Swahili), English, or Arabic total population:
69.4% male:
77.5% female:
62.2% (2002 census)
[h=2]School life expectancy (primary to tertiary education)[/h]
total:
9 years male:
9 years female:
9 years (2007)
[h=2]Education expenditures[/h]6.8% of GDP (2008)
[h=2]Maternal mortality rate[/h]790 deaths/100,000 live births (2008)
[h=2]Children under the age of 5 years underweight[/h]16.7% (2005)
[h=2]Health expenditures[/h]5.1% of GDP (2009)
[h=2]Physicians density[/h]0.008 physicians/1,000 population (2006)
[h=2]Hospital bed density[/h]1.1 beds/1,000 population (2006)
[/TD]
[TD="class: noprint"]
ShareThis
inShare
[/TD]
[TD="colspan: 2, align: center"]
Source: CIA World FactbookUnless otherwise noted, information in this page is accurate as of July 19, 2012
[/TD]
Mbunge Joshua Nassari amedanganya alipokuwa anahojiwa na ITV kwenye viwanja vya bunge Dodoma aliposema "life expectancy" ya Mtanzania ni miaka 47 kwa sasa.
Huo si ukweli kabisa, uwiano wa "life expectancy" ya Mtanzania si chini ya miaka 58 kwa sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.